28/04/2026
Archbishop Dr. Bruno Mwakibolwa (wa kwanza kulia) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CPCT, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Israel nchini Tanzania Mheshimiwa Gideon Behar akifuatiwa na Mwenyekiti wa CPCT Taifa Mtume Dr. Vernon Fernandes pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu CPCT Bishop Godwin Yonna.