06/10/2024
ASSALAAM ALAYKUM...
KHERI.... KHERI... KHERI...
huu ni wito katika kheri kwako MUislam ana usie MUislam...
WAISLAM WENZETU, wa wilaya ya UBUNGO, KATA YA KWEMBE, MTAA WA MICHUNGWANI, wapo katika ujenzi wa MSIKITI katika eneo Hilo, ila wamekwama sehemu fulani katika kukamilisha ujenzi wao, hivyo wanaomba SADAKA YAKO, na Inshallah Allah atakuhesabia miongoni mwa WENYE KUINEZA NA KUITETEA DINI YAKE...
MAOMBI YAO HAYO HAPO CHINI...
CHOCHOTE ULICHONACHO KITAPOKELEWA KWA SHUKRAN KUBWA MNO...
Assalam alaykum ndugu yangu pole sana na majukumu tuna ujenzi wa msikiti na sasa tunataka kuchimba shimo la choo upande wa nyuma wa vyoo vya akina mama la ukubwa wa 12ft * 12ft tunaomba sana sadaka yako ili tufanikishe zoezi
Bado vitu tunavyohitaji ni k**a ifuatavyo kwa mujibu wa fundi
1. Playwood - 4 @ 15,000 = 60,000
2. Misumari ya ceiling 1kg @ 5,000 = 5,000
3. Misumari 3" - 1kg @ 4,000 = 4,000
4. Misumari 4" - 1kg @ 4,000 = 4,000
5. Matofali 5" - 800 @ 1,200 = 960,000
6. Nondo 12mm - 12pcs @ 25,000 = 300,000
7. Cement - 35bags @ 18,000 = 630,000
8. Milunda - 20pcs @ 4,000 = 80,000
9. Mbao 1*10 - 15pcs @ 16,000 = 240,000
10. Mbao 2*4 - 10pcs @ 8,000 = 80,000
11. Binding wire - 5kg @ 5,000 = 25,000
12. Kokoto Lori 1 @ 350,000
13. Mchanga lori 2 @ 150,000 = 300,000
14. Ujenzi wa tofali - 800pcs@400 = 320,000
15. Fundi mbao+nondo+zege - 300,000
16. Vibarua kuchimba shimo - 600,000
17. Nondo 8mm - 2pcs @ 14,000 = 28,000
Wenu katika Imani
Othman Ahmed Shebe
Katibu WA masjid Ahmad
(0783788744 na 0652788744 na 0744822597) kwa mawasilino