05/06/2026
IBADA MAALUM YA UKOMBOZI WA FAMILIA NA KUBOMOA MADHABAHU ZOTE ZINAZOKUFUATILIA.
▪︎Hapa Kanisani EAGT MLIMA WA FARAJA , Tazara Mchicha jijini Dar es salaam.
▪︎ Maombi na Maombezi yataongozwa na ASKOFU AIDAN MABUGA na Kutuongoza katika Maombi maalum ya kumshukuru Mungu, kwa kufika Nusu Mwaka.
▪︎USIPANGE KABISA KUKOSA