EAGT 'Mlima wa faraja' church

EAGT 'Mlima wa faraja' church Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from EAGT 'Mlima wa faraja' church, Religious organisation, Dar es Salaam.

▪︎Kanisa la EAGT Mlima wa Faraja] chini ya ASKOFU AIDAN MABUGA lililopo Tazara mchicha, Dar es salaam - Tanzania

🕒 Ibada ya Kwanza _ Saa 12:30 Asubuhi
🕒 Ibada ya Pili_ Saa 4:00 Asubuhi
🕒 Ibada ya tatu_ Saa 9:30 Jioni

▪︎Karibu Uabudu Nasi 🤝🤝

05/06/2026

IBADA MAALUM YA UKOMBOZI WA FAMILIA NA KUBOMOA MADHABAHU ZOTE ZINAZOKUFUATILIA.

▪︎Hapa Kanisani EAGT MLIMA WA FARAJA , Tazara Mchicha jijini Dar es salaam.

▪︎ Maombi na Maombezi yataongozwa na ASKOFU AIDAN MABUGA na Kutuongoza katika Maombi maalum ya kumshukuru Mungu, kwa kufika Nusu Mwaka.

▪︎USIPANGE KABISA KUKOSA

NI JUMAPILI HII, ▪︎Hapa Kanisani EAGT MLIMA WA FARAJA , Tazara Mchicha jijini Dar es salaam.▪︎ Maombi na Maombezi yataon...
03/06/2026

NI JUMAPILI HII,
▪︎Hapa Kanisani EAGT MLIMA WA FARAJA , Tazara Mchicha jijini Dar es salaam.

▪︎ Maombi na Maombezi yataongozwa na ASKOFU AIDAN MABUGA na Kutuongoza katika Maombi maalum ya kumshukuru Mungu, kwa kufika Nusu Mwaka.

▪︎USIPANGE KABISA KUKOSA

IBADA YA JUMAPILI EAGT MLIMA WA FARAJA CHURCH Tar. 31. 05. 2026▪︎Tunafurahia uweponi mwa Bwana, Karibu Uabudu nasi Hapa ...
01/06/2026

IBADA YA JUMAPILI
EAGT MLIMA WA FARAJA CHURCH
Tar. 31. 05. 2026

▪︎Tunafurahia uweponi mwa Bwana,
Karibu Uabudu nasi Hapa EAGT TAZARA MCHICHA - Dar es salaam kwa Askofu Aidan Mabuga.
▪︎ Tunamwona Mungu akiponya, akifungua wote waliofungwa na akiokoa na kurejesha Furaha kwa wote waliokata Tamaa.

31/05/2026

LIVE SUNDAY SERVICE . 31 MAY 2026 . MNENAJI : BISHOP AIDAN MABUGA

*Habari Picha*▪︎ HITIMISHO LA KONGAMANO LA WANAWAKE W.W.I JIMBO LA TEMEKE KWA MWAKA 2026.
30/05/2026

*Habari Picha*
▪︎ HITIMISHO LA KONGAMANO LA WANAWAKE W.W.I JIMBO LA TEMEKE KWA MWAKA 2026.


29/05/2026
29/05/2026

TUWAPATE WAPI WANAWAKE WAOMBOLEZAJI

▪︎Barikiwa na Nyimbo Nzuri toka kwa BARAGUMU KWAYA, wakihudumu katika Kongamano la Wanawake linaloendelea katika kanisa la EAGT TEMEKE - Dar es salaam.

🙏🏿🙏🏿🙏🏿

Ujumbe : UMUHIMU WA KUTOA KWA MOYO WA KUPENDA.▪︎ Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa...
28/05/2026

Ujumbe : UMUHIMU WA KUTOA KWA MOYO WA KUPENDA.

▪︎ Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni heri kutoa kuliko kupokea.
[ Matendo 20:35 ] .

▪︎ Bado hujachelewa kwani Kongamano linaendelea na kuna walimu na Masomo mazuri yameandaliwa kwaajili yako ewe Mwanamke.

27/05/2026

MAKUSUDI YA W.W.I

▪︎Barikiwa na Nyimbo Nzuri toka kwa W.W.I KWAYA JIMBO LA TEMEKE, wakihudumu katika Kongamano la Wanawake linaloendelea katika kanisa la EAGT TEMEKE - Dar es salaam.

▪︎Bado hujachelewa, Walimu na Masomo mbalimbali yameandaliwa kwaajili yako ewe Mwanamke.

🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  : Askofu wa Jimbo la Temeke AIDAN MABUGA akifungua Kongamano la Wanawake [ W.W.I JIMBO LA TEMEKE ] kwa Mwaka 2026.▪️ B...
26/05/2026

:
Askofu wa Jimbo la Temeke AIDAN MABUGA akifungua Kongamano la Wanawake [ W.W.I JIMBO LA TEMEKE ] kwa Mwaka 2026.

▪️ Bado hujachelewa kwani Kongamano ndio limeanza na Kuna Walimu na Masomo mazuri yameandaliwa kwaajili yako ewe Mwanamke.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255755656749

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when EAGT 'Mlima wa faraja' church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share