30/09/2022
[30/09, 2:21 am] +255 782 287 711: KESHA LA ASUBUHI
Ijumaa 30/09/2022
*KILA MUUMINI ASAIDIE KUENEZA INJILI*
*Basi Yesu akawaambia tena akasema, "Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.* Yohana 8:12
📜 Wale wanaomfuata Yesu watakuwa watenda kazi pamoja na Mungu. Hawatatembea gizani, bali wataipata njia ya kweli ambapo Yesu, aliye nuru ya ulimwengu, huongoza njia; na wanapokunja hatua zao kuelekea Sayuni, wakisogea kwa imani, watapata uzoefu angavu katika mambo ya Mungu. Utume wa Kristo unaofahamika kidogo mno, unaeleweka kwa ufinyu mno, uliomwita kutoka kwenye kiti cha enzi cha Mungu hadi kwenye fumbo la madhabahu ya msalaba wa Kalivari, utaifungua akili zaidi na zaidi, na itaonekana kuwa katika kafara ya Kristo hupatikana chemichemi na kanuni ya kila utume mwingine wa upendo. Ni upendo wa Kristo ambao umekuwa kichocheo cha kila mfanyakazi wa kweli wa Kimishenari katika miji, mijini, katika barabara kuu na njia za dunia.
📜 Kanisa limepangwa duniani kwa kusudi la umishenari, na ni muhimu sana kuwa kila muumini binafsi wa kanisa awe mfanyakazi mwaminifu pamoja na Mungu, akijazwa na Roho, akiwa na fikra za Kristo, aliyekamilishwa katika huruma ya Yesu Kristo, na hivyo basi akitimia kila juhudi kulingana na uwezo wake aliopewa katika uokoaji wa roho. Kristo anataka kuwa kila mtu ambaye angependa kuitwa kwa jina Lake afanye kazi Yake kuwa ya kwanza na ya juu kabisa, na kushirikiana bila ubinafsi na wajumbe wa mbinguni katika kuwaokoa wale wanaoangamia ambao Kristo aliwafia.
🔘 *Kutumia vibaya nyenzo au mvuto au mtaji wowote wa akili au mwili ukiokabidhiwa ni kumwibia Mungu au kuuibia ulimwengu; kwa maana ni kuzigeuza nguvu kuwa njia nyingine zaidi ya ile ambayo Mungu alipanga kuwa zinapaswa kusonga mbele kwa ajili ya wokovu wa ulimwengu. Kristo alipokuwa hapa duniani, aliwatuma wanafunzi Wake kuutangaza ufalme wa Mungu katika uyahudi yote, na katika mfano huu alifunua waziwazi kuwa ni jukumu la watu Wake wakati wote kutoa kwa wengine elimu waliyonayo ya njia, ya uzima, na ya kweli. Katika kazi zake zote Yesu alitafuta kufundisha kanisa Lake kwa ajili ya kazi ya umishenari, na idadi yao ilipoongezeka, utume wao ungeenea, hadi hatimaye ujumbe wa injili ungezunguka ulimwengu kupitia huduma zao.*
*MUNGU AKUBARIKI SANA*👮♂️
[30/09, 4:46 am] Abner Joshua: KESHA LA ASUBUHI
Ijumaa 30/09/2022
*KILA MUUMINI ASAIDIE KUENEZA INJILI*
*Basi Yesu akawaambia tena akasema, "Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.* Yohana 8:12
📜 Wale wanaomfuata Yesu watakuwa watenda kazi pamoja na Mungu. Hawatatembea gizani, bali wataipata njia ya kweli ambapo Yesu, aliye nuru ya ulimwengu, huongoza njia; na wanapokunja hatua zao kuelekea Sayuni, wakisogea kwa imani, watapata uzoefu angavu katika mambo ya Mungu. Utume wa Kristo unaofahamika kidogo mno, unaeleweka kwa ufinyu mno, uliomwita kutoka kwenye kiti cha enzi cha Mungu hadi kwenye fumbo la madhabahu ya msalaba wa Kalivari, utaifungua akili zaidi na zaidi, na itaonekana kuwa katika kafara ya Kristo hupatikana chemichemi na kanuni ya kila utume mwingine wa upendo. Ni upendo wa Kristo ambao umekuwa kichocheo cha kila mfanyakazi wa kweli wa Kimishenari katika miji, mijini, katika barabara kuu na njia za dunia.
📜 Kanisa limepangwa duniani kwa kusudi la umishenari, na ni muhimu sana kuwa kila muumini binafsi wa kanisa awe mfanyakazi mwaminifu pamoja na Mungu, akijazwa na Roho, akiwa na fikra za Kristo, aliyekamilishwa katika huruma ya Yesu Kristo, na hivyo basi akitimia kila juhudi kulingana na uwezo wake aliopewa katika uokoaji wa roho. Kristo anataka kuwa kila mtu ambaye angependa kuitwa kwa jina Lake afanye kazi Yake kuwa ya kwanza na ya juu kabisa, na kushirikiana bila ubinafsi na wajumbe wa mbinguni katika kuwaokoa wale wanaoangamia ambao Kristo aliwafia.
🔘 *Kutumia vibaya nyenzo au mvuto au mtaji wowote wa akili au mwili ukiokabidhiwa ni kumwibia Mungu au kuuibia ulimwengu; kwa maana ni kuzigeuza nguvu kuwa njia nyingine zaidi ya ile ambayo Mungu alipanga kuwa zinapaswa kusonga mbele kwa ajili ya wokovu wa ulimwengu. Kristo alipokuwa hapa duniani, aliwatuma wanafunzi Wake kuutangaza ufalme wa Mungu katika uyahudi yote, na katika mfano huu alifunua waziwazi kuwa ni jukumu la watu Wake wakati wote kutoa kwa wengine elimu waliyonayo ya njia, ya uzima, na ya kweli. Katika kazi zake zote Yesu alitafuta kufundisha kanisa Lake kwa ajili ya kazi ya umishenari, na idadi yao ilipoongezeka, utume wao ungeenea, hadi hatimaye ujumbe wa injili ungezunguka ulimwengu kupitia huduma zao.*
*MUNGU AKUBARIKI SANA*👮♂️