10/08/2025
Tutakuwa na Mkutano Mkubwa wa Injili PHM Calvary Temple โ Mji Mpya kuanzia Jumapili tarehe 10 hadi Jumapili tarehe 17 Agosti 2025, kuanzia saa 9:00 alasiri kila siku.
Askofu Elibariki Kishai, Mch. Martha Baraka na Mch. Baraka Kikombe watahudumu, wakileta Neno la wokovu, uponyaji na ufufuo wa kiroho.
Waimbaji watakaohudumu: Mwananyamala Kisiwani Choir, Revival Choir โ Kinondoni, Gibo Mwakibombaki, Mwazembe, Senga, Amani Choir, GNC Choir na Enhankore Choir.
๐ฑ Mawasiliano: โชโช+255 713 341 124โฌโฌ / โชโช+255 752 773 473โฌโฌ
Karibisha wengine, tuhudumiwe pamoja!