FPCT G-Kwalala

FPCT G-Kwalala Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from FPCT G-Kwalala, Religious organisation, Dar es Salaam.

RATIBA ZETU:
Jumatano: Mafundisho (Saa 10:00-11:30 Jioni)
Ijumaa: Maombi & Maombezi
Saa 4:00 Asubuhi - 9:00 Alasiri
Jumapili: Saa 3:30 Asubuhi - 6:30 Mchana

Upepo wa 'injili' za uongo unazidi kuvuma kwa kasi ulimwenguni. Usipokuwa na mafundisho sahihi ni rahisi kupeperushwa.Ka...
03/06/2026

Upepo wa 'injili' za uongo unazidi kuvuma kwa kasi ulimwenguni. Usipokuwa na mafundisho sahihi ni rahisi kupeperushwa.

Karibu tujifunze Biblia pamoja katika ibada ya Mafundisho ya Neno la Mungu.

Ni hapa hapa kanisani FPCT Guluka Kwalala Gongo la Mboto Mwisho wa Lami.

Kila siku ya Jumatano saa 10:00-11:30 Jioni.

Mungu akubariki sana.

31/05/2026

Karibu kufuatilia na kutazama mahubiri ya ibada ya siku ya leo Jumapili ya Mei 31, 2026. tunaamini Mungu ataenda kusema nawe juu ya kile chochote kilicho katika moyo wako na atagusa hitaji lako.

Mungu akubariki sana. Usiache kutuambia unatufuatilia kutoka wapi na namna gani umebarikiwa na neno la siku ya leo.

Uchovu wa juma zima usikufanye ukose ibada ya kesho! Karibu, tumalize mwezi kwa kumshukuru Mungu na kuzitaka baraka zake...
30/05/2026

Uchovu wa juma zima usikufanye ukose ibada ya kesho! Karibu, tumalize mwezi kwa kumshukuru Mungu na kuzitaka baraka zake ziwe juu yetu katika mwezi mpya wa Juni unaokuja mbele yetu.

Tutaabudu, tutasifu, tutaomba, tutasikiliza neno la Mungu na tutabarikiwa.

FPCT Guluka Kwalala ni mahali sahihi. Karibu sana na Mungu akubariki.
🇹🇿

24/05/2026

Karibu, fuatilia mahubiri ya sikuya leo katika ibada ya jumapili kutoka hapa Guluka Kwalala.

Ujumbe wa leo utakujenga na kukuimarisha rohoni kwani BWANA anaenda kusema na wewe kupitia mtumishi wake aliyemuandaa.

Tafadhari usiache kutuachia maoni unatufuatilia ukiwa wapi na umepata nini kupitia neno la leo.

Mungu akubariki sana.

MSIACHE KUKUSANYIKA K**A ILIVYO DESTURI YA WENGINE...Karibu, jumuika nasi siku ya kesho tumuabudu Mungu pamoja.         ...
23/05/2026

MSIACHE KUKUSANYIKA K**A ILIVYO DESTURI YA WENGINE...

Karibu, jumuika nasi siku ya kesho tumuabudu Mungu pamoja.

Ile semina tuliyoingojea kwa hamu inaanza leo rasmi. Muda ni saa 10:00 jioni hapa hapa FPCT Guluka Kwalala.Semina hii it...
21/05/2026

Ile semina tuliyoingojea kwa hamu inaanza leo rasmi. Muda ni saa 10:00 jioni hapa hapa FPCT Guluka Kwalala.

Semina hii itaendeshwa kwa siku 3 (Leo Alhamisi, kesho Ijumaa na Jumapili). Njoo upokee maarifa ya ki-Ungu na ujazo mpya wa Roho Mtakatifu.

Kanisa lipo Gongo la Mboto Mwisho wa Lami karibu na shule za Highmount.

Mungu akubariki sana!

Karibu katika Semina ya PENTEKOSTE itakayokuwepo hapa kanisani FPCT Guluka Kwalala kuanzia siku ya Alhamisi, Ijumaa na J...
19/05/2026

Karibu katika Semina ya PENTEKOSTE itakayokuwepo hapa kanisani FPCT Guluka Kwalala kuanzia siku ya Alhamisi, Ijumaa na Jumapili.

Pentekoste ni muhimu kwetu kwani ndipo aliposhuka Roho Mtakatifu (Matendo ya Mitume 1:8).

Mkaribishe na mwenzako, kwa pamoja tuje tujifunze kwa kina kuhusu imani yetu.

Mungu akubariki sana.

17/05/2026

PGS CHOIR | FPCT GULUKA KWALALA | LIVE CHURCH SERVICE (PERFORMANCE) | 17.05.2026

17/05/2026

Karibu tazama mahubiri pamoja na maombi na maombezi ya ibada ya Jumapili ya leo Mei 17, 2026 kutoka hapa FPCT Guluka Kwalala. Mungu akubariki sana.

10/05/2026

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757867350

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FPCT G-Kwalala posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to FPCT G-Kwalala:

Share