03/06/2026
Upepo wa 'injili' za uongo unazidi kuvuma kwa kasi ulimwenguni. Usipokuwa na mafundisho sahihi ni rahisi kupeperushwa.
Karibu tujifunze Biblia pamoja katika ibada ya Mafundisho ya Neno la Mungu.
Ni hapa hapa kanisani FPCT Guluka Kwalala Gongo la Mboto Mwisho wa Lami.
Kila siku ya Jumatano saa 10:00-11:30 Jioni.
Mungu akubariki sana.