DCCT Church

DCCT Church Kanisa la Uanafunzi Tanzania(Dcct), ni Kanisa lenye maono ya kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu Kristo,Math 28:19.. Kanisa lina wachungaji Wawili Mch.

kanisa lipo Ubungo riverside,Dar es salaam, Mkabala na Hotel ya Landmark. Kiongozi Faraja Mhalila na Mch. Msaidizi Emmanuel Eliya
Kanisa lina Ibada
Siku ya Jumapil: saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:00 Mchana(Ibada kuu)
Siku ya Jumanne: saa 10:30 jioni hadi saa 12:30 jioni(fundisho la biblia)
Siku ya Alhamis: saa 10:30 jioni hadi saa 12:30jioni (Maombi na Maombezi)

Zaburi 29:11[11]BWANA atawapa watu wake nguvu; BWANA atawabariki watu wake kwa amani. Pokea nguvu na baraka wiki hii kwa...
18/05/2026

Zaburi 29:11
[11]BWANA atawapa watu wake nguvu;
BWANA atawabariki watu wake kwa amani.

Pokea nguvu na baraka wiki hii kwa Jina la Yesu Kristo.

Uwe na wiki njema.

Amina

27/04/2026

Bwana Yesu Asifiwe!

Pokea baraka za BWANA kwa wiki hii nzima,kwenye afya,kazi,biashara,shule na mengineyo..

Hesabu 6:24-26
[24]BWANA akubarikie, na kukulinda;
[25]BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;
[26]BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani.

Uwe na wiki njema na ya baraka sana!Nimekuombea mwanangu..

Amina.

Pst.Emmanuel

Matukio ya ibada ya leo katika picha,tumemuona Mungu sana.Bishop Goodluck Phinel amefundisha "Nguvu ya Agano" na kuongoz...
26/04/2026

Matukio ya ibada ya leo katika picha,tumemuona Mungu sana.

Bishop Goodluck Phinel amefundisha "Nguvu ya Agano" na kuongoza maombi.

3 Yohana 1:2[2]Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, k**a vile roho yako ifanikiwavyo. Nimekuo...
01/04/2026

3 Yohana 1:2
[2]Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, k**a vile roho yako ifanikiwavyo.

Nimekuombea mwanangu, kwenye mwezi huu wa 4 ufanikiwe,ufanikiwe,ufanikiwe sana kwa Jina la Yesu Kristo.

Heri ya mwezi mpya!

Pst.Emmanuel

Pokea Baraka za BWANA kwa wiki hii!Hesabu 6:24-26[24]BWANA akubarikie, na kukulinda; [25]BWANA akuangazie nuru za uso wa...
23/03/2026

Pokea Baraka za BWANA kwa wiki hii!

Hesabu 6:24-26
[24]BWANA akubarikie, na kukulinda;
[25]BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;
[26]BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani.

Uwe na wiki njema kwa Jina la Yesu Kristo.

Amina!

Matukio ya ibada ya Jana Jumapili tar 08/03/2026 katika picha.Ilikua ni siku ya 3 ya Semina na kilele cha siku ya wanawa...
09/03/2026

Matukio ya ibada ya Jana Jumapili tar 08/03/2026 katika picha.Ilikua ni siku ya 3 ya Semina na kilele cha siku ya wanawake Duniani...

1.Tulimuabudu Mungu na Kumsifu sana
2.Tuliomba
3.Tulisikiliza ujumbe mzuri wa Neno la Mungu kutoka kwa Apostle Goodluck Phinel kutoka City of Shilloh Tegeta.
4.Wanaume wakaandika jumbe mbalimbali kwa wanawake wa Dcct za upendo,kutia moyo,matumaini na kuzibandika kwenye ubao.
5.Mama Mchungaji,Eng.Christina nae akawataka wanaume kuwahudumia kwa Chakula wanawake wote baada ya ibada.
6.Wanaume wakiongozwa na Apostle Goodluck na Mzee Job wakawahudumia kwa Chakula wanawake wote. 😂...ilipendeza sana!
7.Mwisho Tukala chakula pamoja kwa upendo...

Ilikua siku njema sana na Utukufu kwa Bwana Yesu.

Mithali 31:25
[25]Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
Strength and honour are her clothing; and she shall rejoice in time to come.

Karibu sana kwenye mkesha wa maombi,ni leo hii 20/02/2026...Tunaanza saa 4:30 usiku hadi alfajiri..Mungu akubariki sana!
20/02/2026

Karibu sana kwenye mkesha wa maombi,ni leo hii 20/02/2026...Tunaanza saa 4:30 usiku hadi alfajiri..Mungu akubariki sana!

Bwana Yesu Asifiwe!Kumb 15:6a[6]Kwani BWANA, Mungu wako, atakubarikia, k**a alivyokuahidi; Nimemkumbusha BWANA ahadi yak...
16/02/2026

Bwana Yesu Asifiwe!

Kumb 15:6a
[6]Kwani BWANA, Mungu wako, atakubarikia, k**a alivyokuahidi;

Nimemkumbusha BWANA ahadi yake kwako,na Ubarikiwe sana wiki hii...

Amina!

Uwe na wiki njema...

Pst.Emmanuel Mhalila

Matukio ya ibada ya Jana Jumapili 15/02/2026 kwenye picha,Mwinjlisti Dale Collins kutoka Marekani alihudumu...Yohana 14:...
16/02/2026

Matukio ya ibada ya Jana Jumapili 15/02/2026 kwenye picha,Mwinjlisti Dale Collins kutoka Marekani alihudumu...

Yohana 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Funguo 3 za msingi ili kanisa lipate kutembea sawasawa na kumjua BABA vizuri.

1.Funguo ya Kwanza ni maisha ya Toba
2.Funguo ya pili ni ubatizo wa maji.Kila moja ni lazima ubatizwe kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.
3.Funguo ya tatu ni kupokea zawadi ya Roho Mtakatifu.

Mungu akubariki sana.

Day 31/40Kutoka 1:7[7]Na wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuzidi kuwa wengi, nao wakaendele...
05/12/2025

Day 31/40

Kutoka 1:7
[7]Na wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuzidi kuwa wengi, nao wakaendelea na kuongezeka nguvu; na ile nchi ilikuwa imejawa na wao.

Uzae sana,uongezeke mno,uzidi sana na uendelee kuongezeka na ujae kwenye familia,huduma,kazi unayofanya,biashara na ata shule unayosoma..

Ustawi sana kwa Jina la Yesu Kristo. Nimekuombea!

Uwe na siku njema!

Karibu sana mpendwa!
16/04/2025

Karibu sana mpendwa!

Address

Ubungo Riverside, Opp Landmark Hotel
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255714523534

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DCCT Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category