Gate of Life Lango La Uzima Wa Milele Huduma Ya Kimataifa

Gate of Life Lango La Uzima Wa Milele Huduma Ya Kimataifa GOSPEL FOR ALL NATIONS

01/01/2023

Pokea mwaka wa kuongezeka kiuchumi

31/12/2021
14/11/2021

F.uchumi
>Tambua kipato chenu
>Ishi sawa na kipato chako
>Kumbuka akiba(mbinguni na duniani)
>Ubunifu wa kuongeza kipato unahitajika kabla hujakuwa na famili kubwa.
>Kusamamia miradi na kuisimamisha ilete faida
>Mwanamke ni mbunifu ni K**a mkufu kwa mumewe
G.usafi
>Mazingira binafsi
>Mazingira kijamii
>Nguo
>Nyumba.
>Chumba Cha ndoa kinahitaji usafi zaidi na kupendeza
>Usafiri wa mwili / mavuzi yanyolewe

H.ndugu na jamii

> Penda watu wote waliopo ndani ya nyumba yako
>Penda ndugu wa mke/ mume wako
>Penda majirani na ndugu jamaa na marafiki
>Waheshimu watu wote.

14/11/2021

D.tendo la ndoa,1KOR7:4-5,Mke Hana amri juu ya mwili wake Bali mumewe, hivyo hivyo mume Hana amri juu ya mwili wake Bali mkewe.msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda mfupi ili mpate faragha kwa kusali mkajiane Tena shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.
>Msinyimane(K**a wewe umechoka kwa kazi za nyumbani Basi mwenzio atakuwa amechoka kwa kazi kutafuta kipato, hivyo neno la kuchoka kwenu lisiwepo.)
>Mwili ulionao ni wa mwenzio yeye ndio anawajibu wa kuupigia hesabu jinsi ya kuutumia wakati wowote bila kuzuiwa na mtu, hivyo usimzuie kwa kuwa si wako
- utavaa mavazi anayopenda mwenzio kwa kuwa ndio mwili wake
-utajipamba vile anapenda mwenzio sababu ndio mwili wake
> Toa kila anapohitaji
> Wakati wa tendo usivae nguo, au ukiwa chumbani usivae nguo
> Zijue hisia za mwenza wako, ikibidi aseme ni wapi anaguswa au analostarehe zaidi
>Ridhika na mke/mme uliyenaye
>Ridhika na alichonacho mke/mume
>Ridhika na saizi aliyonayo mwenza wako, kwamba ni ndogo,kubwa,Pana,nyembamba ni ya kwako, inapwaya au inabana ni ya kwako
>Mapenzi huwa Bora zaidi pale watu wanapozoeana

*NB* UKIONA HAKURIDHISHI UJUE WEWE NDO UNASHIDA,,,,KWA NINI?

•K**a ni mwanaume utaona hakuridhishi sababu unakumbuka historia za wanawake uliowahi kuwa nao kabla yake, mambile yao, staili zao na unalinganisha hivyo utaona ni K**a hajafiti, ukifuta dhana hiyo utajua jinsi ya kumtumia na atakupendeza tu,
✓ pia K**a mwanamke ni hivyo hivyo ukikumbuka wanaume wa zamani lazima wa Sasa utaona anaupungufu au Bora hivyo fanya K**a ndio amefungua bikra yako.
∆wanandoa msichoshane kitandani Sana K**a hamtakutana Tena, fanyeni kwa afya
∆sauti ya mwanamke Ina unaingeza udadisi kwamwanaume, isipokuwepo inaondoa Radha ya mapenzi
∆mwanamke asiyetoa sauti ni K**a mwanaume anajichua,
∆maneno ya kuchombeza ni muhimu, unaguswa sema, K**a aizamishe zaidi sema,

E.mtindo wa tendo
> Mtindo unategemea Sana mtu uliyenaye kwamba anafiti kwenye eneolipi
>Ikibidi muulize ni staili gan anaipenda

14/11/2021

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA NDOA.
A.Kumjua mwenza wako Sana/kumsoma vizuri mwenza wako.
>Ni kipi hakipendi /anakichukia
> Kipi anakipenda / anakifurahia
> Udhaifu wake Nini?
> Ubora wake upo eneo gani?
>Kusoma alama za nyakati,yaani wakati ana uchungu,huzuni,hasira,furaha au stress,( ukivijua vitakusaidia kujua jinsi ya kuongea nae ,kumuingia na kukwepa migogoro isiyo na sababu.

B.kuacha ukale na kuvaa upya.
01.yaani unaachana na tabia za kwenu, sahau chakula Cha kwenu, sahau zawadi za mama au baba yako, nenda kajifunze vitu vipya utakavyo vikuta, na kuvifanya ndio vya kwako na uviishi endapo havifarakani na Mungu.
*Vaa mavazi yanayo mpendeza mwenza wako
*Chakula
*Mtindo wa maisha
*Kudeka
*Uvivu
*Uchapakazi
NB,:ni marufuku kusema kwetu nilizoea dagaa hiki sijazoea, nyumbani nilizoea tv siwezi kusikiliza redio.
02. Asikupangie mtu jinsi ya kuishi na mke/ mumeo ,ishi vile wewe unamjua ,
03. Usimlazimishe mwenzio kitu ambacho kinaonekana hajakifurahia

C.tabia
∆tabia huaribu ndoa💞
∆tabia hujenga ndoa
∆wivu hujenga ndoa
∆ wivu huaribu ndoa
∆ tabia ni uchawi
√ uwe mvumilivu
√ uwe na Siri
√upendo
√ unyenyekevu
√kuheshimu ndoa
√ kuepuka utani

14/11/2021

*NDOA*
•MATH 19.5, Sababu hiyo mtu atamuacha babaye na mamaye ,ataamvatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.
>Ndoa ni tendo la rohoni.
>ndoa ni agano /makubaliano ya watu wawili kuwa mwili mmoja Kati ya me na ke.
>Ni ukamilifu wa watu wawili,ni muunganiko wa jinsi mbili me na ke
>Jinsi moja haziwezi kuutengeneza ndoa,/hakuna ndoa ya jinsia moja.(tukirejea maandiko math 19:5 na mwanzo 2:24, mwanaume atawaacha wazazi wake ataambatana na mke yaani jinsi ke .na mwanamke atawaacha wazazi wake ataambatana na mumewe yaani jinsi me.
~hivyo ndoa lazima zikutane jinsi mbili me na ke
~hivyo hupaswi kumtumia mke kinyume na maumbile, sababu mkundu hauwakilishi jinsi ya Aina yeyote.
~ hivyo Basi ni wapotashaji wanaotetea ndoa za jinsi moja.
> Ndoa ni ya watu wawili akiongezeka mwingine ni shetani,(yaani ni rahisi kuharibu ndoa yako)
>Ndoa ni zawadi tumepewa na Mungu,hivyo tuitumie vizuri!,ikupe;- amani
-furaha
-faraja
-upendo.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA NDOA.
A.Kumjua vizuri mwenza wako,/ kumsoma mwenza wako.

11/11/2021

Bwana akukumbuke katika katika JINA LA YESU , majira haya!!sema amen

K**a YESU ni BWANA ..mtumkieK**a YESU ni NJIA... ifuate.
13/08/2021

K**a YESU ni BWANA ..mtumkie
K**a YESU ni NJIA... ifuate.

27/06/2021

Jumapili njema!

Kwa maana leo katika mji wa daudi kwa ajiri yenu mtoto amezaliwa ndiye kristo Yesu..na hi ndio ishara kwenu mtamkuta mto...
24/12/2020

Kwa maana leo katika mji wa daudi kwa ajiri yenu mtoto amezaliwa ndiye kristo Yesu..na hi ndio ishara kwenu mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto katika hori ya kulishia ng'ombe ( math 2:11-12). Lango la uzima inawatakia sikuku njema, tule tufurahi tujue huyu Yesu ndio amekuja kwa ajiri yangu na yako, ndio mwakozi wako wa kukufanya umuone Mungu endapo utakubali kwamba alikuja kwa ajiri yetu, Mungu Ni wa rehema kiasi ambacho ameweka wokovu duniani , tafadhari ,usichelewa ukapotea bure ukaacha wokovu huu ukupite. Na k**a hujamuamini Yesu kuwa BWANA na MWOKOZI wa maisha yako , Amini Leo ili Mungu akuhesabie haki kwa kuamini leo. Sema maneno haya" Kanzia Leo naamini kuwa Yesu ndio MWOKOZI wa maisha yangu na kwamba alitolewa kwa ajiri yangu., Ili nipate kuokolewa" k**a umesema maneno haye sema AMENI, na k**a tayari umemuamini Bwana k**a MWOKOZI wako. Sema BWANA NIBARIKI

Address

Temeke
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gate of Life Lango La Uzima Wa Milele Huduma Ya Kimataifa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share