14/11/2021
D.tendo la ndoa,1KOR7:4-5,Mke Hana amri juu ya mwili wake Bali mumewe, hivyo hivyo mume Hana amri juu ya mwili wake Bali mkewe.msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda mfupi ili mpate faragha kwa kusali mkajiane Tena shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.
>Msinyimane(K**a wewe umechoka kwa kazi za nyumbani Basi mwenzio atakuwa amechoka kwa kazi kutafuta kipato, hivyo neno la kuchoka kwenu lisiwepo.)
>Mwili ulionao ni wa mwenzio yeye ndio anawajibu wa kuupigia hesabu jinsi ya kuutumia wakati wowote bila kuzuiwa na mtu, hivyo usimzuie kwa kuwa si wako
- utavaa mavazi anayopenda mwenzio kwa kuwa ndio mwili wake
-utajipamba vile anapenda mwenzio sababu ndio mwili wake
> Toa kila anapohitaji
> Wakati wa tendo usivae nguo, au ukiwa chumbani usivae nguo
> Zijue hisia za mwenza wako, ikibidi aseme ni wapi anaguswa au analostarehe zaidi
>Ridhika na mke/mme uliyenaye
>Ridhika na alichonacho mke/mume
>Ridhika na saizi aliyonayo mwenza wako, kwamba ni ndogo,kubwa,Pana,nyembamba ni ya kwako, inapwaya au inabana ni ya kwako
>Mapenzi huwa Bora zaidi pale watu wanapozoeana
*NB* UKIONA HAKURIDHISHI UJUE WEWE NDO UNASHIDA,,,,KWA NINI?
•K**a ni mwanaume utaona hakuridhishi sababu unakumbuka historia za wanawake uliowahi kuwa nao kabla yake, mambile yao, staili zao na unalinganisha hivyo utaona ni K**a hajafiti, ukifuta dhana hiyo utajua jinsi ya kumtumia na atakupendeza tu,
✓ pia K**a mwanamke ni hivyo hivyo ukikumbuka wanaume wa zamani lazima wa Sasa utaona anaupungufu au Bora hivyo fanya K**a ndio amefungua bikra yako.
∆wanandoa msichoshane kitandani Sana K**a hamtakutana Tena, fanyeni kwa afya
∆sauti ya mwanamke Ina unaingeza udadisi kwamwanaume, isipokuwepo inaondoa Radha ya mapenzi
∆mwanamke asiyetoa sauti ni K**a mwanaume anajichua,
∆maneno ya kuchombeza ni muhimu, unaguswa sema, K**a aizamishe zaidi sema,
E.mtindo wa tendo
> Mtindo unategemea Sana mtu uliyenaye kwamba anafiti kwenye eneolipi
>Ikibidi muulize ni staili gan anaipenda