KKKT UKONGA

KKKT UKONGA UKONGA LUTHERAN CHURCH OFFICIAL PAGE

.Bwana Yesu Kristo Asifiwe.Ibada ya Jumapili leo Imeongozwa na Mwinjilist Annah Mwigune Pamoja na Mtumishii Grace kagonj...
10/08/2026

.
Bwana Yesu Kristo Asifiwe.
Ibada ya Jumapili leo Imeongozwa na Mwinjilist Annah Mwigune Pamoja na Mtumishii Grace kagonji

Zaburi ya leo: Zaburi 65:1-6
Somo la Kwanza:Mathayo 5:14-16
Neno Kuu: HAKI HULETA AMANI NA USTAWI

Somo la kwanza limesomwa na Mzee wa Kanisa: France Tarimo

Matangazo yemesomwa na Mzee wa Kanisa: Mpapasingo.

Amen🙏


⛪️

Taarifa❗️ Misa ya kumuaga Marehemu Erasmina william Makundi itafanyika usharikani kuanzia saa 6:00 Mchana na baada ya mi...
05/08/2026

Taarifa❗️ Misa ya kumuaga Marehemu Erasmina william Makundi itafanyika usharikani kuanzia saa 6:00 Mchana na baada ya misa mwili wa mpendwa wetu utaelekea Makaburi ya Kinondoni

Lala salama mzee wetu Geoffrey John Sanga

TANZIA..!! Mchungaji kiongozi pamoja na Uongozi wa Kanisa la KKKT UKONGA kwa masikitiko makubwa sana wanawatangazia kifo...
05/08/2026

TANZIA..!!
Mchungaji kiongozi pamoja na Uongozi wa Kanisa la KKKT UKONGA kwa masikitiko makubwa sana wanawatangazia kifo cha Mzee wa kanisa Marehemu Geoffrey Sanga dkilichotokea Tarehe 2/8/2026 Alfajiri

Marehemu enzi za uhai wake alikuwa mzee wa kanisa wa jumuiya ya FFU

Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi......!


.Bwana  Yesu Asifiwe.Ibada ya jumapili 19 Julai 2026.Siku ya Bwana ya Saba (7) baada ya Utatu.Ibada imeongozwa na  Mchun...
21/07/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.

Ibada ya jumapili 19 Julai 2026.

Siku ya Bwana ya Saba (7) baada ya Utatu.

Ibada imeongozwa na Mchungaj Yusufu Mnyawami Mchungaji wa Usharika wa Mkimbizi Akisaidiana na Mwinjilist Annah Mwigune Mwinjilisti wa usharika wa ukonga

Zaburi ya leo : Zaburi 21:6-13

Somo la kwanza: Mathayo 8:1-4
Neno Kuu: NEEMA YA MUNGU YATOSHA.
Somo limesomwa na Mzee Godwin Aloyce

Matangazo yamesomwa na Mzee Vumilia Mmari


⛪️

.Ibada ya Jumapili ya leo tarehe 12 Julai 2026.Siku ya Bwana ya sita baada ya Utatu. Upendo wa Mungu na utawaleIbada ime...
15/07/2026

.
Ibada ya Jumapili ya leo tarehe 12 Julai 2026.

Siku ya Bwana ya sita baada ya Utatu. Upendo wa Mungu na utawale

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kiongozi Kishe Mhando akishirikiana na mchungaji Dct Kadiva pamoja na Mwinjilist Annah Mwigune.

Ibada iliyoambatana na uingizwaji kazini wa wazee wa kanisa pamoja na viongozi wa vikundi

Somo la kwanza (1 Yohana 3: 17 - 20) lilisomwa na Mzee Raphael Msola.

Matangazo yalisomwa na Mzee Isaac Mshana.


Askofu wa KKKT DMP Dkt Alex Gehaz Malasusa alipokuwa akitembelea ofisin hizo Ambazo kwa sasa zinamilikiwa na Mamlaka ya ...
12/07/2026

Askofu wa KKKT DMP Dkt Alex Gehaz Malasusa alipokuwa akitembelea ofisin hizo Ambazo kwa sasa zinamilikiwa na Mamlaka ya mapato Tanzania nchini TRA

Matukio Ya weeekBwana Yesu asifiweIbada ya uzinduzi wa kitega uchumi KKKT DMP UKONGA HOUSE Ibada ambayo imeongozwa na As...
12/07/2026

Matukio Ya weeek

Bwana Yesu asifiwe
Ibada ya uzinduzi wa kitega uchumi KKKT DMP UKONGA HOUSE
Ibada ambayo imeongozwa na Askofu Alex Gehaz Malasusa , akishirikiana na Dean Chediel Lwiza na Mkuu wa Jimbo Mch Frank Kimambo pamoja na Mchungaji Kishe Mhando


.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 17 May 2026.Siku ya Bwana kabla ya Pentekoste, (Exaudi - Usikie kuomba kwetu)Ibad...
21/05/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 17 May 2026.
Siku ya Bwana kabla ya Pentekoste, (Exaudi - Usikie kuomba kwetu)

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kishe Mhando akishirikiana na mchungaj Ismail Mwipile .

Zaburi ya leo: Zaburi 119 : 121 - 128
Somo la kwanza: Warumi 8 : 26 - 30
Neno Kuu: MUNGU UTUSIKIE KATIKA KUOMBA KWETU.



⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 03 May 2026.Siku ya Bwana ya Nne baada ya Pasaka, (Kantate Domino - Mwimbieni Bwa...
04/05/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 03 May 2026.
Siku ya Bwana ya Nne baada ya Pasaka, (Kantate Domino - Mwimbieni Bwana wimbo mpya)

Ibada imeongozwa na Mwinjilisti Annah Mwigune akishirikiana na Mwal Mama Chaula.

Zaburi ya leo: Zaburi 57 : 7 - 11
Somo la kwanza: Ufunuo wa Yohana 15 : 2 - 4
Neno Kuu: NJOONI TUMSIFU MUNGU WETU.

Somo limesomwa na Mzee Magreth Masuwe.

Matangazo yamesomwa na Mzee Greyson Chalambo.


⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 19 Aprili 2026.Siku ya Bwana ya Pili baada ya Pasaka.Ibada imeongozwa na Mchungaj...
22/04/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 19 Aprili 2026.
Siku ya Bwana ya Pili baada ya Pasaka.

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kishe Mhando akishirikiana na Mwal Samwel Mkumbo.

Zaburi ya leo: Zaburi 23
Somo la kwanza: Waebrania 13 : 20 - 21
Neno Kuu: MCHUNGAJI MWEMA HUTOA UHAI WAKE KWA AJILI YA KONDOO.

Somo limesomwa na Mzee Elizabeth Mafuwe.

Matangazo yamesomwa na Mzee Elisifa Elisifa Muna.


⛪️

Address

Ukonga, Ilala
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KKKT UKONGA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share