KKKT UKONGA

KKKT UKONGA UKONGA LUTHERAN CHURCH OFFICIAL PAGE

.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 17 May 2026.Siku ya Bwana kabla ya Pentekoste, (Exaudi - Usikie kuomba kwetu)Ibad...
21/05/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 17 May 2026.
Siku ya Bwana kabla ya Pentekoste, (Exaudi - Usikie kuomba kwetu)

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kishe Mhando akishirikiana na mchungaj Ismail Mwipile .

Zaburi ya leo: Zaburi 119 : 121 - 128
Somo la kwanza: Warumi 8 : 26 - 30
Neno Kuu: MUNGU UTUSIKIE KATIKA KUOMBA KWETU.



⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 03 May 2026.Siku ya Bwana ya Nne baada ya Pasaka, (Kantate Domino - Mwimbieni Bwa...
04/05/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 03 May 2026.
Siku ya Bwana ya Nne baada ya Pasaka, (Kantate Domino - Mwimbieni Bwana wimbo mpya)

Ibada imeongozwa na Mwinjilisti Annah Mwigune akishirikiana na Mwal Mama Chaula.

Zaburi ya leo: Zaburi 57 : 7 - 11
Somo la kwanza: Ufunuo wa Yohana 15 : 2 - 4
Neno Kuu: NJOONI TUMSIFU MUNGU WETU.

Somo limesomwa na Mzee Magreth Masuwe.

Matangazo yamesomwa na Mzee Greyson Chalambo.


⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe. Ibada ya Jumapili 19 Aprili 2026.Siku ya Bwana ya Pili baada ya Pasaka.Ibada imeongozwa na Mchungaj...
22/04/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili 19 Aprili 2026.
Siku ya Bwana ya Pili baada ya Pasaka.

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kishe Mhando akishirikiana na Mwal Samwel Mkumbo.

Zaburi ya leo: Zaburi 23
Somo la kwanza: Waebrania 13 : 20 - 21
Neno Kuu: MCHUNGAJI MWEMA HUTOA UHAI WAKE KWA AJILI YA KONDOO.

Somo limesomwa na Mzee Elizabeth Mafuwe.

Matangazo yamesomwa na Mzee Elisifa Elisifa Muna.


⛪️

Mwal SAMWEL MKUMBOSomoLIFE'S PROPHECY KUTUMIA KWA UNABII WA MAISHA YAJAYO Luka 1:26 ➡️Tumia muda mwingi sana kukaa na Mu...
16/04/2026

Mwal SAMWEL MKUMBO
Somo
LIFE'S PROPHECY
KUTUMIA KWA UNABII WA MAISHA YAJAYO

Luka 1:26
➡️Tumia muda mwingi sana kukaa na Mungu kuzungumzia unabii wa maisha yako mpaka nafsi yako itakapotokea na kukubali
yohana 6:63
NDANI YA NAFSI KUNA VITU VITATU
👉kuna hisia
👉utashi
👉maamuzi

📝Roho huwa inaelewa haraka na kupokea kwasababu roho asiliyake ni Mungu lakini sio nafsi ( kwasababu kuna hisia maamuzi, na utashi)
Ndio maana daudi alikuwa anazungumza sana na nafsi yake
Isaya 45:11-13
📝Nafsi inauwezo wa kuzuia mambo yako ya kiroho yasitokee
➡️Jufunze kuisemesha nafsi yako kuwa Mungu anajua mwisho wetu na mambo yatakayo kuja baadae wakati sisi tunasubiri bado.
😁Ni raha kiasi gani kujua kuwa Mungu ameshajua kuwa unabii wa maisha yetu na anakuruhusu uende kwake.
😥Nafsi yako ukishindwa kuidhibiti utatamka mabaya na hayatatokea .
Matendo ya mitume 3,4,5
➡️Tumia muda mwingi sana kukaa na Mungu kuzungumzia unabii wa maisha yako Mbaka nafsi yako itakapotokea na kikubal


⛪️

Mwal SAMWEL MKUMBOSomoLIFE'S PROPHECY KUTUMIA KWA UNABII WA MAISHA YAJAYOWaamuzi 13:1-13MAMBOO YA KUYAFANYA ILI KUFANIKI...
16/04/2026

Mwal SAMWEL MKUMBO
Somo
LIFE'S PROPHECY
KUTUMIA KWA UNABII WA MAISHA YAJAYO
Waamuzi 13:1-13
MAMBOO YA KUYAFANYA ILI KUFANIKIWA KWENYE MAISHA YAKO

➡️Ongeza shauku yako yakutamani kujua mambo mema yajayo mbele kuliko maswali yw kupoteza imani.
shauku yako iwe ni kupata yale yaliyo mema , maswali ya kuvuruga imani shetani anayatengeneza sana

➡️Mungu anaposema nawe kwaajili ya unabui wa maisha yako sikiliza kwa makini sana sana ili uwe na uhakika wa mambo yajayo
➡️wakati wa neno / mahubiri yanapopita kuwa makini sana kwenye kusikiliza
samwel 3:1-18
➡️Unapokuwa unahitaji kufanikiwa hakikisha unawatu waliokutangulia ( Au unakuwa chini ya mtu anayekushauri na kukusaidia). mfano Yesu na wanafunzi, Elia na Elisha, Eli na Samweli.

Mambo ya kuyaombea
👉Unatakiwa kupata watu watakaosimsms na wewe kaa ukaribu au kwa umbali watakao simama na wewe mbaka unabii wa maisha yako utimie.
👉Mungu atakuweka kwa mtu ambaye ana roho njema ndani yake yenye shauku kuhakikisha kila Mungu alichokwambia kinatokea.
Hesabu 15


⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe.Ibada ya Jumapili, Siku ya Bwana ya Kwanza (1) baada ya Pasaka ( Quasimodogeniti-Kama watoto wachang...
16/04/2026

.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumapili, Siku ya Bwana ya Kwanza (1) baada ya Pasaka ( Quasimodogeniti-Kama watoto wachanga)

👉🏼Zaburi ya leo: Zaburi 145 : 1 - 9
👉🏼Somo la kwanza: Matendo 22 : 6 - 16

Neno kuu: YESU KRISTO AJIDHIHIRISHA KWA WANAFUNZI WAKE.

Ibada imeongozwa na Mwinjilisti Annah Mwigune akishirikiana na Mwal Samwel Mkumbo.

👉🏻Somo la kwanza limesoma na Mzee Christina Kiula.

👉🏻Matangazo yamesomwa na Mzee Lonard Ombaeli.

⛪️

.Bwana Yesu Asifiwe.Ibada ya Jumatatu ya Pasaka leo tarehe 6 April 2026. 👉🏼Zaburi ya leo: Zaburi 66:8-16👉🏼Somo la kwanza...
07/04/2026

.

Bwana Yesu Asifiwe.
Ibada ya Jumatatu ya Pasaka leo tarehe 6 April 2026.

👉🏼Zaburi ya leo: Zaburi 66:8-16
👉🏼Somo la kwanza: Isaya 26:16-19

Neno kuu: YESU MFUFUKA KAA PAMOJANASI.

Ibada imeongozwa Mchungaji Kishe Mhando akisaidiana na Mchungaji.

👉🏻Somo la kwanza limesoma na Mzee Elizabeth Mafuwe.


⛪️

UTARATIBU WA IBADA JUMA LA PADAKA ⛪️
02/04/2026

UTARATIBU WA IBADA JUMA LA PADAKA

⛪️

..Bwana Yesu Asifiwe.Siku ya Bana ya mwisho kabla ya Pasaka(Palmarum- Siku ya Mitende)Ibada imeongozwa na Mchungaji Kish...
30/03/2026

..
Bwana Yesu Asifiwe.

Siku ya Bana ya mwisho kabla ya Pasaka
(Palmarum- Siku ya Mitende)

Ibada imeongozwa na Mchungaji Kishe Mhando akishirikiana ma P/W Peniel Lupatu

👉🏼Zaburi ya leo: Zaburi 98:1-5
👉🏼Somo la kwanza: Mathayo 21:1-11

Neno kuu:NDIYE MBARIKIWA AJAYE KWA JINA LA BWANA

📍Somo la kwanza limesomwa na Mzee Christina Kiula
📍Matangazo yamesomwa na Mzee Elisifa Muna.



Ratiba ya kuuaga mwlili wa ndugu EMANUEL JOSIAH   #
24/03/2026

Ratiba ya kuuaga mwlili wa ndugu EMANUEL JOSIAH
#

Address

Ukonga, Ilala
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KKKT UKONGA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share