16/04/2026
Mwal SAMWEL MKUMBO
Somo
LIFE'S PROPHECY
KUTUMIA KWA UNABII WA MAISHA YAJAYO
Luka 1:26
➡️Tumia muda mwingi sana kukaa na Mungu kuzungumzia unabii wa maisha yako mpaka nafsi yako itakapotokea na kukubali
yohana 6:63
NDANI YA NAFSI KUNA VITU VITATU
👉kuna hisia
👉utashi
👉maamuzi
📝Roho huwa inaelewa haraka na kupokea kwasababu roho asiliyake ni Mungu lakini sio nafsi ( kwasababu kuna hisia maamuzi, na utashi)
Ndio maana daudi alikuwa anazungumza sana na nafsi yake
Isaya 45:11-13
📝Nafsi inauwezo wa kuzuia mambo yako ya kiroho yasitokee
➡️Jufunze kuisemesha nafsi yako kuwa Mungu anajua mwisho wetu na mambo yatakayo kuja baadae wakati sisi tunasubiri bado.
😁Ni raha kiasi gani kujua kuwa Mungu ameshajua kuwa unabii wa maisha yetu na anakuruhusu uende kwake.
😥Nafsi yako ukishindwa kuidhibiti utatamka mabaya na hayatatokea .
Matendo ya mitume 3,4,5
➡️Tumia muda mwingi sana kukaa na Mungu kuzungumzia unabii wa maisha yako Mbaka nafsi yako itakapotokea na kikubal
⛪️