Ukombozi Church Dar es Salaam

Ukombozi Church Dar es Salaam Kiongozi mkuu ni mtu wa Mungu Nabii BG Malisa, mhubiri wa kipindi cha SAA YA KUFICHUA kupitia STAR TV

Ni jumapili hii ya tarehe 07/06/2026 usipange kukosa kongamano hili kubwa la" NGUVU YA KUSHINDA VITA VYA KATIKATI"litaan...
05/06/2026

Ni jumapili hii ya tarehe 07/06/2026 usipange kukosa kongamano hili kubwa la" NGUVU YA KUSHINDA VITA VYA KATIKATI"litaanza muda saa nne kamili asubuhi (4:00 asubuhi) Mahali ni kanisa la ukombozi TEGETA Skanska na kuongozwa na Mwana wa Nabii BG MALISA MCH FIRE

Usikose siku ya Alhamisi hii kwenye MAOMBI ya KUFUNGA & KUFUNGULIWA, kuanzia saa 11:00 jioni na kuendelea. Mwana wa Nabi...
02/06/2026

Usikose siku ya Alhamisi hii kwenye MAOMBI ya KUFUNGA & KUFUNGULIWA, kuanzia saa 11:00 jioni na kuendelea. Mwana wa Nabii BG Malisa Mch FIRE atakuwepo kukuhudumia.

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTE JININI DAR ES SALAAMMarko 13:10  Na sharti Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote....
31/05/2026

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTE JININI DAR ES SALAAM

Marko 13:10 Na sharti Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote.

Endelea kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii pia tuko mubashara Ukombozi Tv

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JININI DAR ES SALAAMMwanzo 12:2  nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki,...
31/05/2026

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JININI DAR ES SALAAM

Mwanzo 12:2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JININI DAR ES SALAAMEndelea kujiunganisha na kongamano hili maalum la ukombozi wa nyota...
31/05/2026

🔴 KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JININI DAR ES SALAAM

Endelea kujiunganisha na kongamano hili maalum la ukombozi wa nyota linalofanyika hapa kanisa la Ukombozi Tegeta Skanska

Endelea kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii pia tuko mubashara Ukombozi Tv

♦️ KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JIJINI DAR ES SALAAMZaburi 35:18  Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kat...
31/05/2026

♦️ KONGAMANO LA UKOMBOZI WA NYOTA JIJINI DAR ES SALAAM

Zaburi 35:18 Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.

Usipange kukosa kwenye 𝗞𝗢𝗡𝗚𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗔𝗢𝗠𝗕𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗨𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗬𝗢𝗧𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 jumapili ya tarehe 𝟯𝟭/𝟬𝟱/𝟮𝟬𝟮𝟲 katika kanisa la Ukombo...
29/05/2026

Usipange kukosa kwenye 𝗞𝗢𝗡𝗚𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗔𝗢𝗠𝗕𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗨𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗬𝗢𝗧𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 jumapili ya tarehe 𝟯𝟭/𝟬𝟱/𝟮𝟬𝟮𝟲 katika kanisa la Ukombozi Tegeta jijini Dar es salaam. Ni kuanzia 𝘀𝗮𝗮 𝟰:𝟬𝟬 𝗮𝘀𝘂𝗯𝘂𝗵𝗶 na nyote mnakaribishwa SANA. 𝗠𝘁𝘂 𝘄𝗮 𝗠𝗨𝗡𝗚𝗨 𝗡𝗮𝗯𝗶𝗶 𝗕𝗚 𝗠𝗮𝗹𝗶𝘀𝗮, atakuwepo kukuhudumia.

𝗧𝘂𝗽𝗶𝗴𝗶𝗲 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝘇𝗼 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶:
+𝟮𝟱𝟱 𝟳𝟲𝟲 𝟲𝟳𝟱 𝟵𝟴𝟯
+𝟮𝟱𝟱 𝟳𝟴𝟮 𝟮𝟭𝟰 𝟬𝟵𝟳
+𝟮𝟱𝟱 𝟳𝟭𝟳 𝟳𝟬𝟮 𝟰𝟮𝟱
+𝟮𝟱𝟱 𝟳𝟰𝟲 𝟮𝟴𝟴 𝟰𝟱𝟭

Address

Skanska, Tegeta DSM
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 12:00 - 22:00
Wednesday 16:00 - 20:00
Thursday 12:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 20:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ukombozi Church Dar es Salaam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category