KARIBU FREEMANBASE
Je, Unatafuta taasisi ya watu wenye nia moja wanaoshiriki mawazo, mipango na matarajio yake? Je, Unatamani ukuaji wa kibinafsi, kujiboresha au kutoa huduma kwa wengine kupitia mtazamo ulio nao au mfumo uliokwishaanzisha? Ukiwa ndani ya Freemanbase utafurahia faida nyingi zikiwemo:-
(01) Maendeleo binafsi katika mageuzi ya kujitambua na kukua. (02) Kupata mtandao wa watu wa ki
wango chako watakaosimama karibu na wewe kutatua changamoto na ushindani wa maisha. (03) Kujipata katika nguvu ya Uongozi, kujenga ujuzi, maarifa mapya na kuongeza uwezo wa kutatua changamoto. (04) Kujenga maisha kupitia historia na tamaduni zinazotambulisha mila na urithi wa kiasili. (05) Kufurahia matukio ya kijamii na shughuli zinazokuza furaha na urafiki. SIFA ZA KUWA MWANACHAMA
(01) IMANI - Amini katika mungu mmoja. (02) KUJITAMBUA - Tambua unachokitaka
(03) KUTUNZA SIRI - Zuia nafsi yako kusema chochote utakachokiona au kukisikia. (04) KAZI HALALI - Kazi ni kipimo cha utu wako. Hakikisha inatambuliwa na jamii yako. (05) UMRI MIAKA 18+ - Ni kuhakiki uwezo wako katika kufanya maamuzi. Kukamilisha kwa sifa hizo itatoa fursa ya kujaza fomu ya usajili ili, kutambuliwa kuwa mwanachama wa Freemanbase. Mojawapo ya njia mbili inaweza kutumika ili kukamilisha usajili wa Mwombaji. USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO
Njia hii ni rahisi, salama na yenye gharama nafuu. Anayeomba uanachama atawasiliana na idara ya usajili ili kulipia ada yake ambayo ni USD 36. Ada hii ni kwaajili ya kuhakikisha mambo yafuatayo
(01) Kuhakiki Nia ya Mwombaji. (02) Kupata Fomu ya Usajili. (03) Kupata namba ya huduma ya Uanachama. (04) Kupata Kitambulisho cha Uanachama
Baada ya malipo ya Ada kufanyika, hatua za kujaza fomu huanza kwa kufuata mwongozo utakaotolewa, ikiwa ni pamoja na Mwombaji wa Uanachama kutuma taarifa binafsi zilizo sahihi, kama zitakavyoulizwa. USAJILI WA KUKUTANA ANA KWA ANA NA KIONGOZI WA FREEMANBASE
Usajili kwa njia hii hufanyika kwa mfumo wa kikao kilichoratibiwa, ambapo mwenye kuhitaji kuwa Mwanachama hupata fursa ya kukutana ana kwa ana na Kiongozi mwandamizi wa Freemanbase. Kiongozi huyo atatoa elimu na kujibu maswali yote kwa lengo la kutoa mwanga katika Nia ya mwenye kuhitaji kusajiliwa. Ada ya Usajili kwa njia hii ni USD 1000 Kwa kikao au makutano yoyote yatakayofanyika katika nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki. Hata hivyo ili kuingizwa kwenye utaratibu wa kukutana na Kiongozi mwandamizi wa Freemanbase ni lazima kufanya malipo ya awali kwa nusu ya ada iliyotajwa ili kuhakikisha Nia ya Mwombaji na pia kurahisisha uratibu wa kikao cha usajili huo. Wasiliana Nasi ili kukamilisha Nia yako. Siku iliyopo ni leo, Usingoje Kesho. Kwa Mtu yeyote aliyembali na ukanda wa Afrika Mashariki, mwenye uhitaji wa kukutana na Kiongozi wa Freemanbase ili kusajiliwa au kupewa elimu juu ya Freemanbase anapaswa kuwasiliana na Freemanbase Makao makuu ili kupatiwa Mwongozo
MAWASILIANO YETU
FREEMANBASE HQ OFFICE
S.L.P; 86266 Dar-es-salaam, Tanzania
E-mail; [email protected]
WhatsApp and Telegram only. +255 (0) 658 685 324
Website: http://www.freemanbase.org
YouTube channel: https://youtube.com/c/FreemanBaseTV
AFRIKA MASHARIKI
INCHI; Ethiopia, Tanzania, Kenya, Uganda, Mozambique, Sudan, DRC, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi, Madagasca, Somalia, Elitria. MAKAO MAKUU AFRIKA MASHARIKI
Tanzania- Dar es salaam
E-mail: [email protected]
Facebook: https://www.facebook.com/freemanbase13/
Instagram https://instagram.com/freemanbase_e.a_216?ig
Kenya
E-mail: [email protected]
Facebook: https://www.facebook.com/freemanbaseKenya
Instagram: https://instagram.com/freemanbasekenya?ig
East Africa Groups: https://www.facebook.com/groups/124663201454744/? Instagram: https://instagram.com/peacefullandfmb?igshid=NjZiMGI4OTY=