31/01/2019
Tunapenda kuwakaribisha sana katika mikutano makini iliyopewa jina la NYUMBANI HATIMAYE ni katika kanisa la Waadventista wa Sabato S**A pamoja na makanisa ya Waadventista wa Sabato kote Tanzania.Waweza kufuatilia matangazo haya kupitia kituo cha TV cha Hope Channel Tanzania,Morng Star Radio na pia kupitia Application ya TAMC au mtandao wa Tune in.Ni ujumbe wa muhimu sana katika maisha yako
USIPANGE KUKOSA