Ufalme WA MUNGU Kwanza

Ufalme WA MUNGU Kwanza Lengo letu ni K*toa mafundisho ya NENO LA MUNGU na kutatua Changamoto zinazo wakabiri Vijana. Utafu

INJILI MITAANI.Wiki iliyopita Tulipata muda mzuri wa kwenda Kijiji cha Shapela Tabora Vijijini na Vijana wetu wa kanisa ...
28/05/2026

INJILI MITAANI.

Wiki iliyopita Tulipata muda mzuri wa kwenda Kijiji cha Shapela Tabora Vijijini na Vijana wetu wa kanisa la Fpct Nzega kwenda kuhubiri injili na kufanya ushuhudiaji wa kaya kwa Kaya

Kwa neema ya Mungu, tuliweza kufikia zaidi ya familia 76, na watu 42 waliamua kumkabidhi Kristo maisha yao. Na ushuhuda ni kwamba Mganga mkuu wa kijiji hicho naye aliokoka.

Hatua yetu inayofuata ni kuendelea na programu za ufuatiliaji na uanafunzi, ili kuwasaidia waongofu wapya kukua katika imani yao na kuwa zaidi k**a Kristo kupitia malezi ya kiroho ya makusudi, kujifunza Biblia, na ushirika wa waamini.

Tunashukuru kwa maombi Yenu wapendwa na kwa michango yenu kwaajiri ya Kupeleka Injili Vijijini.

Kwa mawasiliano zaidi tumia namba hii +255 75109109
Mtumishi Edward Moses.

22/05/2026

7 MISTAKES NEW MINISTRIES MAKE

I have noticed that many ministries don't collapse because they lacked power. They collapse because they are ignorant. If your ministry is new, avoid these mistakes:

1. TRYING TO GROW TOO FAST

Many new ministries are obsessed with numbers, crowds and visibility. Growth is beautiful, but unhealthy growth can destroy a young ministry.

Some ministries want branches, media presence and large crowd before they even have stable structures, trained workers or even financial discipline.

2. PROMOTING PEOPLE TOO QUICKLY

One dangerous mistake is giving titles or positions before testing loyalty, maturity consistency and humility.

Some people are faithful for a few months and suddenly become leaders. Ministry leadership should not be based only on excitement or availability.

3. FIGHTING PEOPLE ONLINE

Some new ministries waste too much energy trying to defend themselves, argue, respond to critics, or prove points on social media.

Not every trending news deserves your attention. Not every attack deserves a response. Sometimes silence protects focus.

4. LACK OF FAITH IN THEIR UNIQUENESS

A ministry can lose its uniqueness by trying too hard to look like another ministry. Not every ministry is called to operate the same way.

You can admire grace without abandoning identity. Believe in your vision even if many people don't believe in it yet.

5. LACK OF MENTORSHIP

Many young ministries isolate themselves too early. Nobody can correct them. Nobody can advise them.

Isolation is dangerous in ministry. Even strong leaders need wise voices around them.

6. IGNORING THEIR FAMILIES

This is especially for the married. Some ministers sacrifice their homes while trying to grow their assignment.

A ministry that grows publicly while collapsing privately is not true success. Your spouse and children should not become victims of ministry.

7. POOR BOUNDARIES WITH MEMBERS

Boundaries protect both the leader and the people. Many early ministry scandals begin because boundaries were ignored.

Oversharing emotionally, late-night counseling without wisdom, unhealthy closeness, or lack of accountability can create serious problems.

Contact 0757109109

07/05/2026

AINA ZA MIFUNGO KI BIBLIA

(1)MFUNGO WA SIKU MOJA
-masaa ishirini na nne (24) nimfungo wa kuji nyeyekeza mbele za mungu juu ya makosa/unajisi
-mfungo wa utambulisho wa rohoni
-nisehemu ya kwanza kufungulia mambo ya rohoni

(2) MFUNGO WA SIKU TATU KAVU
-mfungo huu unaitaji kutembea na utatu mtakatifu na mfungo huu unapo funga kuna vitu vya rohoni utaanza kuviona
-mfungo huu upo nje ya uwezo wako unaitaji utulivu sana
-mfungo huu unaitaji kujitenga nakujifungia ndani kusoma neno la Mungu
-mfungo huu unausika na kushinda malango ya familia, k**a mambo ya mila na desturi za ukoo, matambiko, ibada za wafu, mizimu nk, ni mfungo wa kutembea na utatu mtakatifu

(3) MFUNGO WA SIKU SABA
-mfungo huu unaruhusiwa kunywa maji ya vugu vugu na kulamba asali kunywa uji nusu kikombe au chai kisha maji kidogo lakini unatakiwa usishibe na unakula siku ya nne (4 au 5)
-mfungo huu unatakiwa usianze kwa fujo na hautaji ma pambio hunaitaji kulala na kukaa na kutafakari yaani meditation

-mfungo huu unapo funga unazungukwa na uwepo wa mungu yani unatembea na utakatifu wa Mungu
-mfungo huu unafungulia macho ya roho
Mfungo huu unata kutembea na Roho saba za Mungu
Isaya 11:2 na Efeso 1:17

19/04/2026

KISA CHA MWANA MPOTEVU

katika kisa cha mwana mpotevu, nampenda sana mwana mpotevu ,aliweza kurudi nyuma na kujitathmini na akaamua kurejea kwa baba kuanza upya

NAMPENDA PIA BABA
asiye mchoka mwana
Asiye kubali mwana apotee milele, yupo tayari kupokea tena na tena k**a tu atakuja kwake na kuona jinsi alivyo kosea na kutubu

Hakuna maisha bila makosa
Hakuna kuishi perfect life
Hakuna maisha bila breakdown

Uwezo wa kujitathmini na kurejea nyuma KUANZA upya ndio changamoto kubwa kwetu .

Tukiweza kuondoa hofu ya aibu ,hofu ya kuanza upya , hofu ya matukano au kusemwasemwa n.k
Tukavaa ujasiri wa kurudi kwa baba ,hakika tunaweza kuwa washindi na watu wakasahau kabisa njia yetu ya mwanzo iliyo jaa aibu , na kutapanya .

NAFAHAMU KUHUSU UWEPO WA KAKA MKUBWA WA MWANA MPOTEVU

anaweza asifirahie kurudi kwetu
Anaweza kutamani kuona tunapotelea mbali kabisa
Masuala ya kuvaa vizuri tena na kula ndama na sherehe ,hatayapenda
Maana hata tulipokuwa jalalani hakujali kuja kututafuta

Hakuwaza mdogo wangu Yuko wapi
Hakuwaza anaishi vipi huyu bwana mdogo

Lakini Sasa huyu kaka mkubwa asituwazishe sana kuhusu maamuzi yetu ya kurejea nyumbani

Njoo nyumbani
Baba Hana neno
YUPO TAYARI kupokea tena
YEYE ANAKUPENDA SANA wakati wote

Soma
Luka 15:11-32
[11]Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;

[12]yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali inayoniangukia. Akawagawia vitu vyake.

[13]Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.

[14]Alipokuwa amekwisha tumia vyote, njaa kuu iliingia nchi ile, yeye naye akaanza kuhitaji.

[15]Akaenda akashik**ana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.

[16]Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.

[17]Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.

[18]Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;

[19]sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye k**a mmoja wa watumishi wako.

[20]Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana.

[21]Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.

[22]Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;

[23]mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;

[24]kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.

[25]Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwako shamba na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na machezo.

[26]Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?
[27]Akamwambia, Ndugu yako amekuja, na baba yako amemchinja ndama aliyenona, kwa sababu amempata tena, yu mzima

[28]Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.

[29]Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wo wote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nifanye furaha na rafiki zangu;

[30]lakini, alipokuja huyu mwana wako aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.

[31]Akamwambia, Mwanangu, wewe u pamoja nami sikuzote, na vyote nilivyo navyo ni vyako.

[32]Tena, kufanya furaha na shangwe ilipasa, kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.

10/04/2026

๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ƒ๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š๐ง๐ข

๐’๐จ๐ฆ๐จ: ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐๐€ ๐Š๐”๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€

Moja kati ya maeneo ambayo yana utata ni fundisho kuhusu Roho Mtakatifu na Kunena kwa Lugha.

Somo hili litashughulikia maswali 10 muhimu kuhusu Roho Mtakatifu na Kunena kwa Lugha:

๐Ÿ. ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐๐ˆ ๐๐€๐๐ˆ?

Roho Mtakatifu ni nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu: Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu. Yeye si nguvu tu au hisia za kiroho, bali ni Mungu mwenyewe, anayefanya kazi kikamilifu katika uumbaji, ufunuo, wokovu, na maisha ya Kanisa.

๐Ÿ. ๐Š๐€๐™๐ˆ ๐˜๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐๐ˆ ๐๐ˆ๐๐ˆ?

Zifuatazo ni baadhi za kazi za Roho Mtakatifu:

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu alihusika katika uumbaji (Mwanzo 1:2)

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu aliwajaza viongozi, manabii, na aliwavuvia waandishi wa Biblia (Waamuzi 6:34; 1 Sam. 16:13; K*t. 31:2-5; 2 Petro 1:20-21)

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu hushawishi kuhusu dhambi, huvuta watu kwa Kristo, huwazaa upya waamini, hukaa ndani yao, na kuwaendeleza katika utakaso (Yoh. 3:5-8; 16:8; War. 8:9-11).

โœ… Mtu hawezi kuwa Mkristo wa kweli bila kazi ya Roho Mtakatifu. Kwa hiyo, kila anayemwamini Yesu Kristo kwa kweli ana Roho Mtakatifu ndani yake.

๐Ÿ‘. ๐Š๐”๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€ ๐๐ˆ ๐๐ˆ๐๐ˆ?

Kunena kwa lugha ni mojawapo ya karama za Roho Mtakatifu, ambapo mwamini hunena kwa uwezo wa Roho katika lugha ambayo hajajifunza kwa akili ya kawaida. Wakati mwingine hizi zilikuwa lugha halisi zilizoeleweka; wakati mwingine zilikuwa mawasiliano ya rohoni yanayohitaji tafsiri au yaliyokuwa kati ya mwamini na Mungu.

๐Ÿ’. ๐‰๐„, ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐˜๐”๐๐Ž ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐‹๐€ ๐Œ๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž ๐€๐” ๐๐ˆ ๐Š๐–๐€ ๐–๐€๐‹๐„ ๐–๐€๐๐€๐Ž-๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€ ๐“๐”?

Hili ni swali kubwa na zuri. Biblia inatuonyesha kwamba hakuna anayekuwa wa Kristo bila Roho wake:

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu ndiye anaye-mvuta mtu kwa Mungu (Yoh. 16:8; 1 Wakor. 12:3; Yoh. 6:44).

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu ndiye analeta hali ya kujutia dhambi na kutubu (Yoh. 16:8; 2 Timoth 2:25).

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu ndiye anayeleta utakaso katika maisha ya Mkristo (1 Petro 1:2; Wagal 5:16)

๐Ÿ“Œ Roho Mtakatifu ndiye anayemsaidia Mkristo kuyaelewa Maandiko na maelekezo ya Mungu (Yoh. 14:26; 16:13; 1 Wakor. 2:10-14).

โœ… Niseme tena: Haiwezekani mtu kuwa Mkristo pasipo kazi ya Roho Mtakatifu. Kwa hiyo, kila mtu aliyempokea Yesu Kristo k**a Bwana na Mwokozi wa maisha yake anae Roho Mtakatifu ndani yake.

๐Ÿ“. ๐‰๐„, ๐ˆ๐๐Ž ๐“๐Ž๐…๐€๐”๐“๐ˆ ๐Š๐€๐“๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐–๐€ ๐๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐๐€ ๐”๐‰๐€๐™๐Ž ๐–๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐Š๐–๐€ ๐ˆ๐’๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€?

Kwa mtazamo wangu wa Kipentekoste, na uelewa wangu wa Maandiko, naweza kusema, NDIYO, ipo tofauti:

๐Ÿ“Œ ๐Š๐ฎ๐ง๐š ๐ญ๐จ๐Ÿ๐š๐ฎ๐ญ๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฉ๐จ๐ค๐ž๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐š๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฐ๐จ๐ค๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐ณ๐ฐ๐š ๐š๐ฎ ๐ค๐ฎ๐›๐š๐ญ๐ข๐ณ๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐š๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐š ๐ง๐š ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š.

๐Ÿ“Œ Baada ya kufufuka, Yesu aliwapulizia pumzi wanafunzi wake na kusema, โ€œ๐‘ท๐’๐’Œ๐’†๐’†๐’๐’Š ๐‘น๐’๐’‰๐’ ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–โ€ (Yohana 20:22). Wana-zuoni wengi wanaamini kitendo hiki kilikuwa ni kumruhusu Roho Mtakatifu kuwafanya wanafunzi wa Yesu kuwa sehemu ya "Mwili wa Kristo" yaani Kanisa. Kumbuka, wokovu wa wanadamu ulikamilika baada ya Yesu kufa na kufufuka na kulipa deni la dhambi. Hivyo, baada ya Yesu kufufuka, ikabidi akamilishe huo mchakato kwa wanafunzi wake kwanza.

๐Ÿ“Œ Lakini baada ya hapo, Yesu aliwaagiza wanafunzi hao-hao kwamba wasitoke Yerusalemu hadi ๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ค๐š๐ฉ๐จ๐ฏ๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ ๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š๐จ ๐ฃ๐ฎ๐ฎ, ๐ฒ๐š๐š๐ง๐ข ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ, kwa kusudi la kuwa mashahidi wake kwa ujasiri na nguvu (Luka 24:49; Matendo 1:4โ€“8). Hili lilitekelezwa siku ya Pentekoste.

โœ… Kwa mantiki hiyo, tunaona ipo tofauti ya ๐Œ๐ค๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐ž, na kupokea ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ "๐ณ๐š ๐ฎ๐ญ๐ž๐ง๐๐š๐ฃ๐ข" (๐ƒ๐ฎ๐ง๐š๐ฆ๐ข๐ฌ), ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ณ๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข๐Ÿ๐ฎ kwa ishara ya kunena kwa lugha.

๐Ÿ”. ๐‰๐„, ๐–๐€๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž ๐–๐Ž๐“๐„ ๐–๐€๐๐€๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€?

Tukisoma ๐Ÿ ๐–๐š๐ค๐จ๐ซ๐ข๐ง๐ญ๐ก๐จ ๐Ÿ๐Ÿ:๐Ÿ๐Ÿ—-๐Ÿ‘๐ŸŽ; Mtume Paulo anauliza mfululizo wa maswali ambayo majibu yake ni "HAPANA." Aina hii ya maswali inajulikana k**a "๐ซ๐ก๐ž๐ญ๐จ๐ซ๐ข๐œ๐š๐ฅ ๐ช๐ฎ๐ž๐ฌ๐ญ๐ข๐จ๐ง๐ฌ" (maswali ambayo majibu yake yapo wazi). Paulo anauliza:

"๐‘ฑ๐’†! ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’Š๐’•๐’–๐’Ž๐’†? ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’‚๐’ƒ๐’Š๐’Š? ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’‚๐’๐’Š๐’Ž๐’–? ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’•๐’†๐’๐’…๐’‚ ๐’Ž๐’Š๐’–๐’‹๐’Š๐’›๐’‚? 30๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’Œ๐’‚๐’“๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’›๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’‘๐’๐’๐’š๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’ˆ๐’๐’๐’‹๐’˜๐’‚? ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’๐’†๐’๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’๐’–๐’ˆ๐’‰๐’‚? ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’‡๐’‚๐’”๐’Š๐’“๐’Š?"

โœ… Ijapokuwa siyo wote wanao-nena; bado kunena kwa lugha ni kipawa/zawadi ya Mungu Baba kwa watoto wake wote; hivyo Wakristo wana haki ya kutamani kuipokea karama hiyo na pia tunaweza kuiomba karama hiyo.

๐Ÿ•. ๐‰๐„, ๐Œ๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž ๐€๐’๐ˆ๐˜๐„๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€ ๐€๐๐€๐๐”๐๐†๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐Š๐ˆ๐“๐” ๐‚๐‡๐Ž๐‚๐‡๐Ž๐“๐„?

Kwa mtazamo wangu wa Maandiko, naweza kusema, NDIYO โ€” Mkristo ambaye hajapokea kipawa hiki anakosa kitu kizuri ambacho Mungu anaweza kumpa. Hata hivyo, haina maana kwamba Mkristo asie-nena kwa lugha hana Roho Mtakatifu ndani yake.

๐Ÿ“Œ Mimi huwa natumia mfano wa GARI: yapo magari ambayo yana-endeshwa kwa nguvu ya ๐ฆ๐š๐ ๐ฎ๐ซ๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐š๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข (๐Ÿ-๐ฐ๐ก๐ž๐ž๐ฅ ๐๐ซ๐ข๐ฏ๐ž); na yapo magari yanayo-endeshwa kwa nguvu ya ๐ฆ๐š๐ ๐ฎ๐ซ๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฆ๐š๐ง๐ง๐ž (๐Ÿ’-๐ฐ๐ก๐ž๐ž๐ฅ ๐๐ซ๐ข๐ฏ๐ž). Japokuwa yote mawili ni magari ni magari mazuri, lakini yapo mazingira ambayo gari moja (2-wheel drive) litapata shida kupita ikilinganishwa na lile la 4-wheel drive.

๐Ÿ“Œ Vivyo hivyo, kunena kwa lugha kunaweza kuwa msaada mkubwa katika maombi na kujijenga kiroho.

โœ… ๐‹๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ญ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ž: ๐ค๐š๐ซ๐š๐ฆ๐š ๐ฌ๐ข ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ฆ๐จ ๐ฉ๐ž๐ค๐ž๐ž ๐œ๐ก๐š ๐ฎ๐ค๐จ๐ฆ๐š๐ฏ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ซ๐จ๐ก๐จ. ๐“๐ฎ๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ฌ๐ข ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ณ๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ ๐ญ๐ฎ, ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐ญ๐š๐›๐ข๐š ๐ฒ๐š ๐Š๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ ๐ง๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐š ๐ฅ๐š ๐‘๐จ๐ก๐จ.

๐Ÿ–. ๐‰๐„, ๐‹๐”๐†๐‡๐€ ๐˜๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” (๐Š๐”๐๐„๐๐€) ๐‡๐”๐–๐€ ๐ˆ๐๐€๐Ž๐๐†๐„๐™๐„๐Š๐€ ๐Œ๐ˆ๐’๐€๐Œ๐ˆ๐€๐“๐ˆ ๐€๐” ๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐‰๐ˆ๐‘๐”๐ƒ๐ˆ๐€-๐‘๐”๐ƒ๐ˆ๐€ ๐“๐”?

Kunena kwa lugha si lazima kubaki kwenye misamiati ileile ya kujirudia-rudia milele. K**a ilivyo kwa karama nyingine za Roho, kunena kwa lugha nako kunaweza kukua kadiri mwamini anavyozidi kujitoa kwa Mungu, kuomba, na kujengwa kiroho.

๐Ÿ“Œ ๐‹๐ฎ๐ ๐ก๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ค๐ฎ๐š๐ฃ๐ข (๐ ๐ซ๐จ๐ฐ๐ญ๐ก) ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ญ๐ข๐ซ๐ข๐ซ๐ข๐ค๐จ ๐ง๐š ๐ฎ๐ญ๐จ๐Ÿ๐š๐ฎ๐ญ๐ข, ๐ฅ๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฌ๐ข ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ข๐ญ๐š๐ญ๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ง๐ข๐ฐ๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ฆ๐จ ๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐ข๐ฌ๐š๐ฆ๐ข๐š๐ญ๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฅ๐ฎ๐ ๐ก๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ฐ๐š๐ข๐๐š.

โœ… Karama hii si ya maigizo, si ya mashindano, na si ya kujionyesha, bali ni zawadi ya Roho kwa ajili ya maombi, kujijenga kiroho, na ushirika wa ndani na Mungu.

๐Ÿ—. ๐‰๐„, ๐Š๐”๐๐€ ๐–๐€๐“๐” ๐–๐€๐๐€๐ˆ๐†๐ˆ๐™๐€ ๐Š๐”๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€?

Jibu ni NDIYO!

๐Ÿ“Œ Wapo wanaoigiza kwa kutaka kuonekana wa kiroho zaidi au kwa kuogopa "๐ค๐ฎ๐ณ๐จ๐๐จ๐ฅ๐ž๐ฐ๐š" ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ง๐š "๐ฆ๐š๐Ÿ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐š๐ฒ๐จ" ๐ค๐š๐ง๐ข๐ฌ๐š๐ง๐ข.

โœ… Hata hivyo, uwepo wa waigizaji na "๐ฐ๐š๐ง๐ž๐ง๐š๐ฃ๐ข- ๐Ÿ๐ž๐ค๐ข" hauondoi uhalisia na ukweli wa karama hii.

๐Ÿ๐ŸŽ. ๐‰๐„, ๐ˆ๐๐Ž ๐Š๐€๐๐”๐๐ˆ ๐€๐” ๐…๐Ž๐‘๐Œ๐”๐‹๐€๐‘ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐Œ๐’๐€๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐€ ๐Œ๐Š๐‘๐ˆ๐’๐“๐Ž ๐Š๐”๐‰๐€๐™๐–๐€ ๐๐€ ๐‘๐Ž๐‡๐Ž ๐Œ๐“๐€๐Š๐€๐“๐ˆ๐…๐” ๐๐€ ๐Š๐”๐๐„๐๐€ ๐Š๐–๐€ ๐‹๐”๐†๐‡๐€?

Kimsingi, hakuna kanuni au formular maalum ya kumfanya mtu ajazwe na Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha. Kunena kwa lugha ni karama ya Roho Mtakatifu, si kitu cha kuzalishwa kwa mbinu ya kibinadamu.

๐Ÿ“Œ Baadhi ya Watumishi huwahimiza watu kurudia maneno fulani k**a โ€œAsante Yesu, Asante Yesuโ€ kwa kasi hadi lugha itoke.

๐Ÿ“Œ Kilicho muhimu ni moyo wa mwamini kuwa na njaa ya Mungu, imani, kujitoa, na utayari wa kupokea. Yesu alisema Baba huwapa Roho Mtakatifu wale wamwombao (Luka 11:13).

โœ… Hivyo, unaweza kuombewa na mtumishi wa Mungu, na hilo ni jambo jema; lakini pia unaweza wewe mwenyewe kumuomba Mungu kwa imani, ukijisalimisha mbele zake, na Mungu akakujaza kwa Roho Mtakatifu.

BARAKA ZA MUNGU zinapokuja kwako, huwa zina malengo 4....1. Kupitia Baraka hizo, umtukuze Mungu na kumuinua yeye peke ya...
04/09/2024

BARAKA ZA MUNGU zinapokuja kwako, huwa zina malengo 4....

1. Kupitia Baraka hizo, umtukuze Mungu na kumuinua yeye peke yake, maana yeye ndiye aliyekuwezesha kuzipata.

2. Kupitia Baraka hizo, ufalme wake ujengwe na KUKUA.

3. Kupitia Baraka hizo uwasaidie wengine waliopigwa na JUA KALI la maisha.

4. Kupitia Baraka hizo na wewe ufurahie ukuu wa Mungu na kuwa na maisha ya utoshelevu.

NB: Watu wengi huzingatia hilo lengo la 4 na kusahau hayo 3 ya juu..

Mtukuze Mungu hata kwa Baraka chache anazokupa.

Tukutane kileleni...

TIMIZA KUSUDI

JE, UNGEPENDA Kuungana Nasi ( Pais Tanzania) Kupitia Mchango wako kiasi chochote ( Kuanzia tsh1,000  tunapokea) ili tuwe...
03/09/2024

JE, UNGEPENDA
Kuungana Nasi ( Pais Tanzania) Kupitia Mchango wako kiasi chochote ( Kuanzia tsh1,000 tunapokea) ili tuweze kuwafikia Vijana wengi Kupitia INJILI MASHULENI na kuyasaidia makanisa yetu kueneza Injili ?

Pais Tanzania ni shirika ambalo Linasaidia makanisa Kuwafikia Vijana na watoto Mashuleni, mtaani kwa kupitia Neno la Mungu na kuwafanya Watambue Kusudi la Mungu ktk maisha yao.
K**A UNGEPENDA K*tuunga Mkono kwa Mchango wako wa kiasi chochote Basi Unakaribishwa sana na Mungu akubariki.

Namna Ya K*toa mchango wako.
M PESA 0757109109
LIPA NAMBA : 56820093
www.paismovement.com
KARIBU.

Giving Tuesday so today I'd love to invite all friends to consider supporting/donating to our Pais Tanzania ministry. Cu...
03/09/2024

Giving Tuesday

so today I'd love to invite all friends to consider supporting/donating to our Pais Tanzania ministry.

Currently we're reaching out Young people in Schools to encounter Jesus Christ and disciple their world and also we're equipping and resourcing local churches in the areas of Evangelism and Discipleship.

Since march we have seen over 352 people accepted Jesus
Over 8 schools are reached every week for Christ Jesus
We have helped churches to grow children Ministries
People has been integrated into the local Churches

I am so excited about what God is doing in Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ & I pray that people of God will consider supporting us to take the gospel to every corner of Tanzania.

How to give
Online - https://paismovement.com/give
M-PESA +25575109109
M-PESA PAYBILL : 56820093

12/06/2024

GHARAMA UNAYOLIPA

1. Inaamua UMBALI utakaokwenda kwenye jambo unalofanya au kimaisha

Anayelipa shilingi mia tano kwenye bajaj au daladala anakwenda tu vituo kadhaa mbele, anayelipa 16,000 anaelekea Mkoa mwingine jirani, anayelipa zaidi anaelekea zaidi!
KUKWEPA KULIPA GHARAMA NI KUAMUA KUISHIA NJIANI NA KUTOKWENDA MBALI

2. Inaamua KASI utakayokwenda nayo kuelekea unakokwenda kwenye jambo ufanyalo kwenye maisha,

Anayelipa 75,000 kuelekea Mwanza kutokea Dar Es Salaam kwa basi la abiria atatumia masaa 18, na mtu mwingine akilipa laki kadhaa kwenye ndege atatumia saa 1 tu kuwa Mwanza!
Mmoja AMEKWEPA GHARAMA KUBWA katumia muda mrefu, mmoja AMELIPA GHARAMA KUBWA katumia muda mfupi zaidi kufika eneo lile lile!

3. Inaamua UHAKIKA WA KUFIKA au kutofika kwa mhusika anapokwenda au kuishia njiani

Aliyepanda basi na kulipa nauli kiduchu kuelekea Mwanza, akifika Dodoma akachoka kukaa na mgongo unamuuma anaweza kughairisha safari na kushukia njiani, LAKINI aliyelipa nauli ya ndege hata angetamani kushuka na ndege nzima yeye ni abiria pekee HAIWEZEKANI lazima afikishwe mwisho wa safari kwanza!

Kwenye huduma hautakuwa zaidi ya gharama unazolipa sirini na wazi,

Kwenye biashara hautakuwa zaidi ya gharama unazolipa,

Kwenye ndoa na familia hautakuwa na ndoa au familia zaidi ya gharama unazolipa,

MAISHA YA MTU YATAKUWA BORA AU OVYO KUTEGEMEA NA UTAYARI WAKE KULIPA GHARAMA,

Askofu Dickson Cornel Kabigumila
ABC GLOBAL DUNIANI
11.06.2024

12/06/2024

12th June 2024.
SPM Inspirational Word.
TO GODLINESS, BROTHERLY KINDNESS.

Kindness is the language that the deaf can hear and the blind can see.โ€ _ Mark Twain.

Kindness can be defined as being selfless, compassionate, and merciful.

Kindness is a fruit of the Spirit that needs to be cultivated and practised daily. It should be a believer's lifestyle.

The opposite of kindness is meaness, cruel, hurtful, or unfeeling.

๐Ÿน๐Ÿน *Ruth was kind to Naomi* . When Naomi lost everything, Ruth became a daughter she didn't have. She was kind and compassionate toward Naomi.

๐Ÿน๐Ÿน *Dorcas a was kind woman* _ She was loved in Joppa because she cared for the poor and provided for them.

๐Ÿน๐Ÿน *Joseph was a kind man* _ Joseph, though sold to slavery by his own brothers, he showed compassion on them and cared for them.

๐Ÿน๐Ÿน *The widow of Zeraphath_* Though this woman had a great need, she was compassionate and was kind to Elijah.

๐Ÿน๐Ÿน *WHAT OF JESUS* _ Jesus did unthinkable and broke protocol to extend kindness to those thought to be undeserving like the demon possessed, tax collectors, samaritans, woman with the issue of blood, and many more.

As Christians, we've called to be kind even to our enemies. To do good always even when it costs us. Kindness can win many to Christ. It's a language everybody can understand.

I know you might be hurting, bitter, and angry, perhaps, but I would love you to surrender your heart to the Holy Spirit for healing so that this does not hinder you from being kind.

I pray for us that we shall always choose kindness. Amen.

*Treasure word.*
โ€ญEphesians 4:32 NKJVโ€ฌ
[32] And be kind to one another, tenderhearted, forgiving one another, even as God in Christ forgave you.

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255757109109

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ufalme WA MUNGU Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share