Apostle of Faith Emmanuel Banzi

Apostle of Faith Emmanuel Banzi Life In Christ Ministries Zoe - Pugu

*LEO KATIKA KUMBUKIZI YA SIKU YA KUZALIWA KWANGU:*SINA MANENO YA KUTOSHELEZA KUELEZEA UZURI NA WEMA WA MUNGU KATIKA KILA...
04/08/2026

*LEO KATIKA KUMBUKIZI YA SIKU YA KUZALIWA KWANGU:*

SINA MANENO YA KUTOSHELEZA KUELEZEA UZURI NA WEMA WA MUNGU KATIKA KILA ENEO LA MAISHA YANGU,

LAKINI KWA SEHEMU TU NISEME MBELE YA ULIMWENGU WOTE KWAMBA NAMSHUKURU MUNGU SANA MAANA KWA HAKIKA AMEKUWA KIMBILIO LANGU,
WA HURUMA NA REHEMA KWANGU,
WOKOVU, MSAADA , MKARIMU NA MWINGI WA FADHILI KATIKA KILA ENEO LA MAISHA YANGU WAKATI WOTE WA SAFARI YA IMANI,

*ZABURI 124:1-8.*

๐Ÿ™ ASANTE YESU KRISTO ULIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU KWA NEEMA HII YA MAISHA YASIYOKUWA NA UKOMO ULIYONIPATIA *"NAMI KWA MSAADA WA ROHO MTAKATIFU NATUMIA NEEMA HII KUKUTUMIKIA MPAKA URUDIPO KULINYAKUA KANISA LAKO."*

HAKIKA WEWE NI EBENEZER.

NI JUMAPILI YA MEZA YA BWANA.                 TAR. 26/7/2026._____________________________________๐Ÿ™ NAKUSALIMU KATIKA JI...
22/07/2026

NI JUMAPILI YA MEZA YA BWANA.
TAR. 26/7/2026.
_____________________________________

๐Ÿ™ NAKUSALIMU KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE LA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU YESU KRISTO SALAAM,

NAAMINI MUNGU AMEENDELEA KUKUTUNZA KATIKA KIPINDI HIKI CHA UKIMYA WANGU "USIHOFU KUNA JAMBO MUNGU ANALIUMBA NDANI YA APOSTLE WAKE KWA AJILI YAKO,

MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA ILI WAKATI HUO ATAKAPODHIHILISHWA KWA UTUKUFU MWINGINE NAWE UKAPATE KUZIDI KUANGAZA KWA UTUKUFU WA MUNGU,

BAADA YA SALAAM SASA NINAYO MACHACHE YA KUKWAMBIA KUELEKEA IBADA YA MEZA YA BWANA ITAKAYOFANYIKA TAREHE 26/7/2026 K**A IFUATAVYO:
๐Ÿ‘‡
MWANADAMU YAANI "ADAMU WA PILI NA WA PEKEE NA WA AJABU" AMBAYE AMEWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI ZAIDI YA MIAKA 2026 ILIYOPITA NI ,

โ—พMIILI MINGINE INAKUFA NA KUOZA,
โ—พDAMU ZINGINE ZINAKUFA NA KUOZA,

LAKINI MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO HATA BAADA YA KIFO CHAKE HAVIKUPATA UHALIBIFU,

LAKINI CHA KUSHANGAZA ZAIDI NI KWAMBA KWA KAWAIDA MWANADAMU AKIFA HAWEZI KUFUFUKA LAKINI YESU KRISTO ALIKUFA NA KUFUFUKA TENA BAADA YA SIKU TATU (3) MAANA ANGEFUFUKA SIKU HIYO HIYO WENGI WANGEPINGA NA KUSEMA ALIKUWA AMEZIMIA TUโ—๐Ÿ˜ณ

KITOKEA MWANADAMU AMEKUFA NA KUFUFUKA ELEWA KWAMBA NI YESU KRISTO KAMFUFUA KWA SABABU NI YEYE PEKEE MWENYE FUNGUO HIZO ZA KUZIMU NA MAUTI",
(Ufunuo 1:18),

:
K**A KATIKA NAMNA YA KAWAIDA WATU WANAWEZA KUPATWA NA MAGONJWA AU UHAI AU VINA 7 ( ) KUPITIA KUSHIRIKI DAMU NA MIILI YA WATU WENGINE KWA NJIA YA KUONGEZEWA DAMU AU KUPANDIKIZIWA VIUNGO VYA MWILI YA WATU WENGINE "BASI KWA DAMU NA MWILI WA YESU KRISTO KWA NAMNA YA ROHONI NI ZAIDI,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
1 Wakorintho 1:9,
[9]Mungu ni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa Mwanawe, Yesu Kristo Bwana wetu.

God is faithful, by whom ye were called unto the fellowship of his Son Jesus Christ our Lord.

USHIRIKA HUU NDANI YA YESU KRISTO โ—๐Ÿ˜ณ

โ—พKWANI YESU KRISTO ANAKUFA โ“
โ—พKWANI YESU KRISTO ANAWEZA KUUMWA AU KUUGUA โ“
โ—พKWANI YESU KRISTO NI MASKINI โ“
โ—พKWANI YESU KRISTO ANASHINDWAโ“
โ—พKWANI YESU KRISTO ANAZUILIKAโ“
โ—พKWANI YESU KRISTO GIZA LA KILA NAMNA YA MABAYA LINAWEZA KUMPATA โ“

๐Ÿ‘† JIBU LA HAYO NA MENGINEYO YOTE KATIKA NAMNA YA UBAYA SIYO SEHEMU YA MAISHA YA YESU KRISTO, NA
KATIKA USHIRIKA WAKE NA SISI TUNAKUWA K**A YEYEโ—๐Ÿ˜ณ

UNAPOFANYA JAMBO KWA UFAHAMU MWEMA LAZIMA LIWE NA MATOKEO MAZURI NDIYO MAANA YESU KRISTO ALISEMA TENA MTAIFAHAMU KWELI NA HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU,
(Yohana 8:32),

HII SI MEZA YA BWANA YA KUKOSA KWA SABABU HAIFANYIKI KWA JINSI YA MAZOEA (MWILINI) ISIPOKUWA YA ROHONI.๐Ÿ”ฅ

KARIBU USHIRIKI MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO (MEZA YA BWANA) ,

IKIWA KUNA VITU UNATAKA VIKOMESHWE NA WEWE UFANYIKE UPYA KATIKA KRISTO YESU BASI USIKOSE KUSHIRIKI MEZA HII YA BWANA ILI LITIMIE LILE NENO K**A LILIVYONENWA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
1 Yohana 3:8 C
Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.

YESU KRISTO ANAKWENDA KUDHIHILISHWA KWAKO KUPITIA MEZA HII YA BWANA NA KUKOMESHA KAZI ZOTE ZA IBILISI KATIKA MAISHA YAKO NA KUFUNGUA UKRASA MPYA WA UZIMA NA MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO,

:
ANZA KUANDAA MOYO WAKO KWA TOBA YA KWELI, NA
KISHA ENDELEA KUTAFAKARI MOYONI MWAKO KWAMBA SIKU HII YA TAREHE 26/7/2026 UKISHIRIKI TU MEZA YA BWANA NDO UTAKUWA MWISHO WA MATATIZO YAKO NA KUFUNGUA MWANZO MPYA WENYE USHUHUDA KATIKA MAISHA YAKO NA KWA HAKIKA NDIVYO ITAKAVYOTENDEKA.

๐Ÿ™Œ MUNGU AKUBARI.

06/06/2026

Hebrew 7:7.
IT IS CERTAINLY OUR TURN FOR THOSE OF US WHO ARE LEFT TO FOLLOW THIS EXAMPLE BY DOING THE SAME FOR THE GLORY OF GOD.

*HERI YA PASAKA.*UJUMBE NILIONAO KWAKO KATIKA PASAKA HII NI *MATENGENEZO*Neno la MUNGU linasema katika:       ๐Ÿ‘‡*2 Wafalm...
05/04/2026

*HERI YA PASAKA.*

UJUMBE NILIONAO KWAKO KATIKA PASAKA HII NI *MATENGENEZO*

Neno la MUNGU linasema katika:
๐Ÿ‘‡
*2 Wafalme 23:21-25*
[21]Naye mfalme akawaamuru watu wote, akasema, Mfanyieni BWANA, Mungu wenu, pasaka, k**a ilivyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.

[22]Hakika yake haikufanyika pasaka k**a hiyo, tangu zamani za waamuzi waliowaamua Israeli, wala katika zamani za wafalme wa Israeli, wala za wafalme wa Yuda.

[23]Bali katika mwaka wa kumi na nane wa mfalme Yosia ilifanyika pasaka hii kwa BWANA ndani ya Yerusalemu.

*[24]Tena wenye pepo wa utambuzi, na wachawi, na vinyago, na sanamu, na machukizo yote yaliyoonekana katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, Yosia akayaondoa yote, ili apate kuyathibitisha maneno ya torati yaliyoandikwa katika kile kitabu alichokiona Hilkia kuhani ndani ya nyumba ya BWANA.*

[25]Kabla ya huyo hapakuwa na mfalme mfano wake, aliyemwelekea BWANA kwa moyo wake wote, na kwa roho yake yote, na kwa nguvu zake zote, sawasawa na sheria zote za Musa; wala baada yake hakuinuka mmoja mfano wake yeye.

Kitakacholeta TOFAUTI kati ya Pasaka zilizopita na Pasaka hii ni Matengezo "Vinginevyo itakuwa haina maana kwako".

Kila mwaka tunasherekea Pasaka lakini Kwa Neno hili ni vema kwa mwaka huu na wewe ukaisherekea Kwa namna ya tofauti Kwa kuondokana na mazoea Kwa kufanya matengezo na MUNGU ukiondoa Miungu ndani na nje ya maisha yako ndipo lile kusudi la KRISTO kuja na kukufia msalabani litakapotimia,

YESU KRISTO anafanyika kuwa PASAKA wetu pale ambapo tumemanisha kutoka katika utu wa kale na kufanywa wapya katika KRISTO YESU sawa na Neno lake katika:
๐Ÿ‘‡
*1 Wakorintho 5:7-8*
[7]Basi, jisafisheni, mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa donge jipya, k**a vile mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka, yaani, Kristo;

[8]basi na tuifanye karamu, si kwa chachu ya kale, wala kwa chachu ya uovu na ubaya, bali kwa yasiyochachika, *ndio weupe wa moyo na kweli.*

Pasaka itakuwa haina maana kwako ikiwa utaendelea kuishi katika maisha yale yasiyompendeza MUNGU,

Ni maombi yangu kwamba katika kumbukizi hii ya kufa na kufufuka kwa BWANA na Mwokozi wetu YESU KRISTO kwa ajili ya DHAMBI zetu kulete kufanywa Upya Kwa roho, nafsi na mwili wako,

Ni katika Pasaka hii basi *kaisherekee Kwa weupe wa moyo na kweli* kwa Utukufu wa MUNGU na utimilifu wa Furaha yako katika KRISTO YESU.

03/01/2026

KARIBU KATIKA IBADA YA JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA MPYA WA 2026.
โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–

Yeremia 33:2-3
[2]BWANA alitendaye jambo hili, BWANA aliumbaye ili alithibitishe; BWANA ndilo jina lake; asema hivi,

[3]Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.

:
1. BWANA ALITENDAYE JAMBO HILI,
2. BWANA ALIUMBAYE ILI ALITHIBITISHE,
3. NIITE NAMI NITAKUITIKIA,
4. NAMI NITAKUONYESHA MAMBO MAKUBWA NA MAGUMU USIYOYAJUAโ—๐Ÿ˜ณ

๐Ÿ‘†HAYA HAYAWEZI KUTENDEKA KWAKO UKIWA UMELALA NYUMBANI,

UNAJUA LAKINI HUJUI ,

CHUKUA HATUA,

MWANZO WA KILA SAFARI "USIKIVU", "UELEKEVU", "UTII" NA "UNYENYEKEVU" NI MUHIMU SANA KWA AJILI YA HATIMA NJEMA YA SAFARI YAKO ".

:
KUNA TOFAUTI YA:
โ–ช๏ธ , NA
โ–ช๏ธ ,

WA MUNGU UNAWEZA KUWA KILA SEHEMU "LAKINI MUNGU KILA SEHEMUโ—๐Ÿ˜ณ

MMMMH โ—

MWAKA HUU WA 2026 TAFUTA SEHEMU AMBAPO โ—๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

: UTAPAJUWAJEโ“
:
NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Warumi 8:16
[16]Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;

MTOTO WA MUNGU ATASHUHUDIWA NDANI YA MOYO WAKE WAPI MUNGU ALIPO ILI NA YEYE APATE HAPO NA KUHUDUMIWA SAWA SAWA NA MAPENZI YAKE NA HILO LITAAMBATANA NA ISHARA YA NA UNAYOIPATA UKIWA HAPO BILA KUJALI MAZINGIRA WALA JINA KUBWA LA MTUMISHI WA MUNGU,

๐Ÿ™Œ NAKUTAKIA MAANDALIO MEMA YA IBADA YA KESHO JUMAPILI.
(MITHALI 16:1).

Zaburi 91:1[1]Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi. Zaburi 32:8[8]Nitakufundisha na k...
31/12/2025

Zaburi 91:1
[1]Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu
Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.

Zaburi 32:8
[8]Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;
Nitakushauri, jicho langu likikutazama.

KUNA WAKATI UNAHITAJI KUKAA KIMYA MAHALI PA SIRI PAKE MUNGU ALIYEJUU YA YOTE ILI AKUFUNDISHE,

BABA YANGU NA MUNGU WANGU ULIYE MBINGUNI ACHA YALIYO MAPENZI YAKO WEWE PEKE YAKE NDIYO YATIMIZWE KWA APOSTLE WAKO EMMANUEL EDES BANZI NA YAKIBATILISHA YALE YOTE YASIYO MAPENZI YAKO SASA NA MPAKA SIKU YA UNYAKUO KWA JINA LA YESU KRISTO WANA ZARETI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMEEEN.

NITASHUKA KWA UTUKUFU WA MUNGU.

30/12/2025

*KUVUKA MWAKA KABLA YA KUVUKA.*
โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–

*HONGERENI SANA WOTE MLIOSHIRIKI IBADA MAALUMU YA JUMAPILI YA KUVUKA MWAKA KABLA YA KUVUKA YAANI KUTOKA 2025 KUINGIA 2026.*

KWA WASIOKUWEPO BASI KWA NEEMA YA MUNGU HII NI NAFASI YAKO NA WEWE KUJIUNGANISHA,

KWA MUJIBU WA NENO LA MUNGU MAJIRA NA NYAKATI ZA *WIKI, MWEZI NA MWAKA USIKU NA MCHANA VINA "MALANGO" YAKE*
(MWANZO 1:14-18).

NA ILI KUVUKA KUTOKA LANGO MOJA KUINGIA LANGO JINGINE INAHITAJI NEEMA YA MUNGU PEKEE KWA SABABU UPINZANI NA KINYUME NA VIZUIZI NI VINGI,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
*1 Wakorintho 16:9*
[9]kwa maana nimefunguliwa mlango mkubwa wa kufaa sana, na *wako wengi wanipingao.*

NENO LA MUNGU LINASEMA KILA UNAPOFUNGULIWA MLANGO MKUBWA TENA WAKUFAA SANA *KUNA WENGI WAPINGAO (VIZUIZI/UPINZANI),*

NDIYO MAANA MAANGUKO NI MENGI, KUJIKWAA NI KWINGI, VILIO NI VINGI, MAJUTO NI MENGI, NK
YOTE HII NI KWA SABABU YA WENGI WAPINGAO NA ILI KUWASHINDA BASI *KANUNI NI KUAMBATANA NA YESU KRISTO,*

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
*Kumbukumbu la Torati 9:1-5*
[1]Sikiza, Ee Israeli; hivi leo unataka kuvuka Yordani uingie kwa kuwamiliki mataifa yaliyo makubwa, na yenye nguvu kukupita wewe, miji mikubwa iliyojengewa kuta hata mbinguni,

[2]watu wakubwa, warefu, wana wa Waanaki, uwajuao, uliokuwa ukisikia wakitajwa *hivi, Ni nani awezaye kusimama mbele ya wana wa Anaki?*

๐Ÿ‘‰*[3]Basi jua siku hii ya leo kuwa BWANA, Mungu wako, ndiye atanguliaye kuvuka mbele yako k**a moto uteketezao; atawaangamiza, tena atawaangusha mbele yako; ndivyo* *utakavyowafukuza na kuwapoteza upesi, k**a alivyokuambia BWANA.*

๐Ÿ‘‰[4]Usiseme moyoni mwako, BWANA, Mungu wako, atakapokwisha kuwasukumia nje mbele yako, ukasema, Ni kwa haki yangu alivyonitia BWANA niimiliki nchi hii; *kwani ni kwa ajili ya uovu wa mataifa haya BWANA awafukuza nje mbele yako.*

*[5]Si kwa haki yako, wala kwa unyofu wa moyo wako, hivi uingiavyo kuimiliki nchi yao;* lakini ni kwa *uovu wa mataifa haya BWANA, Mungu wako, awafukuza nje mbele yako;* tena apate kuliweka imara hilo neno BWANA alilowaapia baba zako Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo.

MOJA YA UPINZANI MKUBWA WALIOKUTANA NAO WANA WA ISRAELI WAKATI WAKITAKA KUVUKA MTO YORDANI NI *WANA WA ANAKI* MIJITU K**A WANEFILI,
LAKINI NENO LA MUNGU LINASEMA BWANA AKATANGULIA MBELE YAO KWA MOTO ๐Ÿ”ฅ NA AKAWANGAMIZA NA KATIKA HILI AKAWATAKA WASIJE WAKAJISIFU KWAMBA ILIKUWA NI HAKI YAO "HAPANA" NI KWA SABABU YA MATAIFA YALIYOKUWA CHUKIZO (YENYE DHAMBI) MBELE ZA MUNGU NDIYO MAANA AKAWAANGAMIZA MBELE ZAO, NA

WASWAHILI WANASEMA UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA WEWE TIA MAJI, *AKAWAMBIA IWAPASAYO HATA WAO NI TOBA NA UNYENYEKEVU MAANA HATA WAO WALISHA MUUDHI MUNGU MALA NYINGI LAKINI KWA MAOMBI YA REHEMA ALIYOKUWA AKIWAOMBEA MUSA WAKAVUKA SALAMA
SOMA ๐Ÿ‘‰ *( KUMB 9: 6-29),*

*NA MIMI NAKUOMBEA:*

HATA WEWE TANGU JANUARY NA SASA NI DECEMBER K**A SI KWA NEEMA YA MUNGU KUTANGULIA MBELE YAKO PAMOJA NA MADHAIFU YAKO YOTE WALA USINGESUBUTU KUINUA MGUU WAKO KUPIGA HATUA KULISOGELEA LANGO HILI LA MWEZI WA 12,

LEO UNATAKA KUVUKA KWAKA YAANI *LANGO HILI LA MWEZI WA 12 ILI KUINGIA LANGO LA MWEZI WA KWANZA (1)* NAKUOMBEA NEEMA YA MUNGU KUTANGULIA MBELE YAKO ILI KUWAANGUSHA WENYE NGUVU ZAIDI YAKO WAKUPINGAO KWA JINA LA YESU KRISTO,

NI MAOMBI YANGU NA DUA YANGU KWAMBA MUNGU WANGU AWAVUSHE SALAMA KATIKA LANGO HILI LA MWEZI WA 12 NA KUWAINGIZA KATIKA LANGO LA MWEZI WA KWANZA (1) *NINYI BINAFSI SAMBAMBA NA FAMILIA ZENU NA CHOCHOTE KILICHO CHA KWAKO* KWA JINA LA YESU KRISTO WANA ZARETI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMEEEN,

*UJUMBE WA MWAKA HUU 2026 UTAKUWAJE*โ“
_________________

2026 KINABII:
2+0+2+6=10.
*NAMBA 10 KINABII NI NAMBA YA HUKUMUโ—*
(WANA FAMILIA MNAKUMBUKA IBADA MAALUMU YA KUHUKUMU KESI ZILIZOSHINDIKANA KWA WANADAMU INAYOFANYIKA KILA TAREHE 10/10/.......)

*IKO HIVI*

KINYUME CHA HUKUMU NI UPENDO *MAANA UPENDO HUFUNIKA YOTE,*

HIVYO MWAKA HUU WA 2026 NI MWAKA WA NEEMA JUU YA NEEMA KWA WANAOMTEGEMEA MUNGU NA KATIKA HILI NAELEKEZA TAFUTA CHOCHOTE CHA KUFANYA HATA K**A KWA MACHO YA MWILINI KINADHARAULIKA *LAKINI IKITOKEA UKAULIZWA UNA NINI MKONONI MWAKO UTAKIINUA K**A FIMBO YAKO โ—๐Ÿ˜ณ*

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
*Kutoka 4:2-5.*
[2]BWANA akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo.

[3]Akamwambia, Itupe chini; *akaitupa chini, nayo ikawa nyoka; Musa akakimbia mbele yake.*

[4]BWANA akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; *(akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)*

[5]ili kwamba wapate kusadiki ya kwamba BWANA, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amekutokea.

KWA KAWAIDA FIMBO (MKWAJU) NI KITU *DHAIFU NA CHA KUDHARAULIKA* HASA IKITAJWA KUWA MIONGONI MWA SIRAHA PALE AMBAPO KUNA VITA NA ADUI ANATUMIA SIRAHA ZA MOTO, *LAKINI NATAKA UTAMBUE NENO HILI KUWA:*
๐Ÿ‘‡
*1 Wakorintho 1:25*
[25]Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

MUNGU AKITUMIA VITU AMBAVYO TAYARI VIKO JUU VINA SIFA YEYE ATAPATA WAPI SIFA โ“

KWA HIYO MUNGU HUVITUMIA VITU AMBAVYO KWA MACHO YA KI-BINADAMU VINADHARAILIKA ILI ANAPOVITUMIA VISHANGAZE WENGI NA YEYE AJITWALIE UTUKUFU,

TAFUTA CHOCHOTE CHA KUFANYA HATA K**A KWA MACHO YA MWILINI KINADHARAULIKA LAKINI IKITOKEA UKAULIZWA UNA NINI MKONONI MWAKO UTAKIINUA K**A FIMBO YAKO NA KWA NENO LA MUNGU KITAKUWA NA MATOKEO YA AJABU SANA,

MUNGU ALIMUULIZA MUSA UNA NINI MKONONI MWAKO โ“

AKAJIBU ANA FIMBO AKAAMBIWA ITUPE CHINI AKAITUPA IKAWA NYOKAโ—

LAKINI PIA USISAHAU NI KWA FIMBO HIYO HIYO WANA WA ISRAELI WALIAMBIWA WACHUKUE KILA WANACHOKITAKA KWA WAMISRI NA WAONDOKE BAADA YA YALE MAPIGO 10,

LAKINI PIA NI KWA FIMBO HIYO HIYO ILIPOINULIWA BAHARI YA SHAMU ILIGAWANYIKA NA WANA WA ISRAELI WAKAVUKA KWA MIGUU,

MWAKA HUU NI MWAKA WA UDHIHILISHO WA NGUVU NA UWEZA WA MUNGU KUPITIA VITU AMBAVYO KATIKA NAMNA YA MWILINI VIMEDHARAULIKA,

TAFUTA FIMBO (INAWEZA KUWA KAZI, BIASHARA, MIFUGO NA KILIMO) *NAMI KWA MAMLAKA NILIYOPEWA NA BWANA WETU YESU KRISTO "NITAITAMKIA NENO" NAYO ITAKUWA BARAKA KATIKA MAISHA YAKO,*

ANGALIZO:โ—๐Ÿ˜ณ
โž–โž–โž–
*NIMESEMA No.10 KINABII NI ,

HUU NI MWAKA AMBAO MTASHUHUDIA MATUKIO MENGI YA *HUKUMU (ANGUKO)* KWA WANADAMU WASIOMTEGEMEA MUNGU.
(YOHANA 3:18).

KWA LUGHA NYEPESI HUU NI MWAKA WA *MATUMAINI KWA WANAOMTUMAINIA BWANA,*
LAKINI PIA NI *MWAKA WA VILIO, HOFU NA MASHAKA YAANI (HUKUMU) KWA WASIOMTEGEMEA MUNGU.*

MAANDALIO YA MOYO NI YA MWANADAMU NA JAWABU LA ULIMI HUTOKA KWA BWANA.
*(MITHALI 16:1),*

*SI-MAMA NA MUNGU ZAIDI KATIKA MWAKA HUU WA 2026*

๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™ŒMUNGU WANGU AENDELEE KUWATUNZA NA KUWABARIKI SANA KWA JINA LA YESU KRISTO WANA ZARETI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMEEEN.

*๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ HERI YA MWAKA MPYA WA 2026.*

CHRISTMAS IMEISHA LAKINI JE IMEACHA ALAMA GANI KATIKA MAISHA YAKO KIROHO NA KIMWILI โ“ โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–KWA HABARI YA KUZA...
27/12/2025

CHRISTMAS IMEISHA LAKINI JE IMEACHA ALAMA GANI KATIKA MAISHA YAKO KIROHO NA KIMWILI โ“
โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–

KWA HABARI YA KUZALIWA KWA YESU KRISTO KUNA MAPOKEO YA AINA MBILI:
1. MATOKEO KWA UPANDE MMOJA, NA
2. MATOKEO KWA UPANDE MWINGINE,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Isaya 53:1
[1]Ni nani aliyesadiki habari tuliyoileta?
Na mkono wa BWANA amefunuliwa nani?

NI MUHIMU SANA KUWA NA HAKIKA YA CHANZO CHA HABARI UNAZOPEWA KWA SABABU NI MATOKEO YA JINSI ULIVYO LEO,

ISSUE SIYO TU KUAMINI HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO MAANA HATA SHETANI NAYE ANAAMINI,

MAANA HATA KIJAKAZI MWENYE PEPO WA UAGUZI ALIWATAMBUA NA KUWATAJA AKINA NA KUWA NI WATUMISHI WA KWELI WA MUNGU,
(MATENDO 16:16-18),

LAKINI KIUHALISIA K**A MGANGA WA KIENYEJI ALIKUWA NA LENGO LAKE MAANA ALIKUWA AMEWAPOTOSHA WENGI WAKIACHA NJIA YA BWANA NA KUIABUDU MIUNGU MINGINE,

ISSUE NI NANI HASA ANAYEKULETEA HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO NA KUSUDI HALISI LA KUZALIWA KWAKE โ“

:

HABARI SAHIHI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO ZIKITOLEWA NA MTU SAHIHI NDIPO ZINALETA MATOKEO YA KILE KILICHOMLETA YESU HAPA DUNIANI,

LAKINI PIA HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO ZILITOLEWA NA MTU ASIYE SAHIHI KWA NAMNA YA HILA (UPOTOSHAJI) NDIPO ZINALETA MATOKEO MBALI NA KILE KILICHOMLETA YESU HAPA DUNIANI,

1. : (HABARI CHANYA)
NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Luka 2:8-20
[8]Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.

[9]Malaika wa Bwana akawatokea ghafula, utukufu wa Bwana ukawangโ€™aria pande zote, wakaingiwa na hofu kuu.

[10]Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;

[11]maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.

[12]Na hii ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelala katika hori ya kulia ngโ€™ombe.

[13]Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema,

[14]Atukuzwe Mungu juu mbinguni,
Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.

[15]Ikawa, malaika hao walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji waliambiana, Haya, na twendeni mpaka Bethlehemu, tukalione hilo lililofanyika, alilotujulisha Bwana.

[16]Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini.

[17]Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.

[18]Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.

[19]Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.

[20]Wale wachungaji wakarudi, huku wanamtukuza Mungu na kumsifu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona, k**a walivyoambiwa.

HABARI NJEMA ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO NA KUSUDI LA KUZALIWA KWAKE HAPA DUNIANI ZILITOLEWA KWA USAHIHI NA AKIWAPA WACHUNGAJI WALIOKUWA WAKILINDA MAKUNDI YAO KWA ZAMU USIKU (WATU WA IMANI WANAELEWA MAANA YA MCHUNGAJI KULINDA MAKUNDI LAKE USIKU "MAANA YAKE WALIKUWA WAOMBAJI") NA
HABARI WALIYOILEZA MALAIKA NI HII:
๐Ÿ‘‡
MSIOGOPE KWA KUWA MIMI NINAWALETEA HABARI NJEMA YA FURAHA KUU ITAKAYOKUWA KWA WATU WOTE MAANA LEO KATIKA MJI WA DAUDI AMEZALIWA KWA AJILI YENU MWOKOZI NDIYE KRISTO BWANA,
KUKAWA NA FURAHA KUU NA NA WAKAMSIFU MUNGU KWA PAMOJA WAKISEMA:
๐Ÿ‘‡
ATUKUZWE MUNGU JUU MBINGUNI NA DUNIANI IWE AMANI KWA WATU ALIOWARIDHIA,

HABARI HIZI NJEMA ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO ZILIZOLETWA NA MOJA KWA MOJA KUTOKA MBINGUNI WAKIWAPASHA NA KWA HABARI YA ZILE HUDUMA TANO K**A ZILIVYONENWA KATIKA (WAEFESO 4:11) HUWENDA PIA , , NA , AU
KUMJILISHA KILA AAMINIYE K**A APENDAVYO ROHO WA MUNGU WALIPEWA HABARI NJEMA,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA ULE MSTARI WA 15A AKIISHA KULETA HABARI NJEMA ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO WALIONDOKA HUKU WAKIACHA FURAHA KUU NA SHANGWE KWA WACHUNGAJI NA MAKUNDI YAO,

HALLELUJAH ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

2. : (HABARI HASI)
LAKINI KWA UPANDE WA PILI HALI ILIKUWA TOFAUTI KABISA NENO LA MUNGU LINASEMA HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO ZILIZOLETWA NA ZILIMFANYA MFALME HERODE AFADHAIKE NA YERUSALEMU PAMOJA NAYE โ—๐Ÿ˜ณ

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Mathayo 2:1-18
[1]Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,

[2]Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

[3]Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.

[4]Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?

[5]Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii,

[6]Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda,
Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda;
Kwa kuwa kwako atatoka mtawala

[7]Kisha Herode akawaita wale mamajusi faraghani, akapata kwao hakika ya muda tangu ilipoonekana ile nyota.

[8]Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie.

[9]Nao waliposikia maneno ya mfalme, walishika njia; na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, hata ikaenda ikasimama juu ya mahali alipokuwapo mtoto.

[10]Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno.

[11]Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.

[12]Nao wakiisha kuonywa na Mungu katika ndoto wasimrudie Herode, wakaenda zao kwao kwa njia nyingine.

[13]Na hao walipokwisha kwenda zao, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto, akasema, Ondoka, umchukue mtoto na mama yake, ukimbilie Misri, ukae huko hata nikuambie; kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto amwangamize.

[14]Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;

[15]akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema,
Kutoka Misri nalimwita mwanangu.

[16]Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale mamajusi, alighadhabika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wanaume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake mwote, tangu wenye miaka miwili na waliopungua, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale mamajusi.

[17]Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

[18]Sauti ilisikiwa Rama,
Kilio, na maombolezo mengi,
Raheli akiwalilia watoto wake,
Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawako.

KWA UJUMLA TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KATIKA HILI LAKINI KWA UFUPI SANA UKICHUNGUZA HABARI ZILIZOLETWA NA NA ZILE ZILIZOLETWA NA NI VITU VIWILI TOFAUTI NA MATOKEO TOFAUTI โ—๐Ÿ˜ณ

:
1. MALAIKA WALILETA HABARI NJEMA ZA FURAHA KUU YA KUZALIWA MWOKOZI,
(LUKA 2:10-11) NA
HABARI HIZI ZIKAACHA MATOKEO ,

2. LAKINI MAMAJUSI WAO WAKALETA HABARI ZA KUZALIWA HABARI AMBAZO ZILIZUA TAHARUKI KWA UFALME ULIOKUWEPO KATIKA TAWALA ZA WANADAMU NA KWA SABABU MFALME HAKUWA NA UFAHAMU JUU YA NENO LA MUNGU MATOKEO YAKE YALIKUWA YAKISABABISHA MAUAJI MAKUBWA KWA WATOTO KATIKA TAIFA ZIMA,
(MATHAYO 2:2-3).

NENO LA MUNGU LINASEMA "MBONA MATAIFA NA MAKABILA NA WAFALME WANATAFAKARI UBATILI NA KUFANYA SHAURI PAMOJA JUU YA BWANA NA MASIHI WAKE, "ANAENDELEA KUSEMA KINACHOWEZA KUWASAIDIA WAFALME NA WAAMUZI WA DUNIA NIKUFANYA AKILI KWA KUMTUMIKIA BWANA KWA KICHO HUKU WAKIMSHANGILIA NA KUTETEMEKA WAKISHIKA YALIYOMEMA ILI MUNGU ASIJE AKAWAUA,
(ZABURI 2:1-12 ),

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
MATHAYO 2:3-5
[3]Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.

[4]Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?

[5]Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii,
๐Ÿ‘†
NENO LA MUNGU LINATUONYESHA JINSI AMBAVYO MFALME HERODE HAKUWA NA UFAHAMU JUU YA KILICHOANDIKWA NA MANABII KWA HABARI YA UJIO WA YESU KRISTO NA KUSUDI LAKE HAHA DUNIANI NA
SIYO YEYE TU LAKINI PIA PAMOJA NA KUNDI LAKE (YERUSALEMU) WALIOFADHAIKA PAMOJA NAYE WAKIAMINI HABARI KUTOKA KWA (MAMAJUSI) KWAMBA KUNA MFALME MWINGINE WA WAYAHIDI AMEZALIWA HIVYO UFALME WA HERODE ULIKUWA MASHAKANI KUPINDULIWA โ—๐Ÿ˜ณ

HILI LIKAZAA MAUAJI YA MAELFU YA WATOTO, NA
HATA WALE WALIOMUUNGA MKONO MFALME WAKIHUZUNIKA PAMOJA NAYE PIA MKONO WA UOVU HAUKUWAPITA โ—๐Ÿ˜ญ

HATA KATIKA KANISA LA LEO KUNA WENGI WAMEPOKEA HABARI TOFAUTI JUU YA YESU KRISTO (KI-BIBLIA ZINAITWA HABARI ZILIZOOGOSHIWA),

WENGINE WALIAMINISHWA KWAMBA YESU KRISTO NI WA DINI FLANI TU,

LAKINI UKWELI NI KWAMBA YESU KRISTO HAKULETA DINI WALA DHEHEBU DUNIANI AMBAVYO WENGI WAMESHIK**ANA NAVYO KULIKO KUSHIK**ANA NA YEYE MWENYEWE ALIYETULETEA MAISHA YA MUNGU YAANI UZIMA WA MILELE KWA KILA AAMINIYE NA BADALA YAKE WAKASHIK**ANA NA MATENDO YA MWILINI NAYO YAKAZAA CHUKI NA MAFARAKANO,

โ–ช๏ธSIJUI WEWE KATIKA CHRISTMAS HII UMEPATA WAPI HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO โ“
1. JE NI KUTOKA KWA KUPITIA NAZO ZIMEKUACHIA AMANI NA FURAHA NA TUMAINI JIPYA KATIKA UZIMA WA MILELE, AU
2. JE NI KUTOKA KWA WASOMA NYOTAโ“ (MAMAJUSI/WAGANGA WA KIENYEJI) NAZO ZIMEACHA MAUMIVU, UCHUNGU, CHUKI, VISASI NA MENGINEYO YANAYOFANANA NA HAYO โ“

MATOKEO ULIYONAYO KWA HABARI YA KUZALIWA KWA YESU KRISTO YANATOKANA NA HABARI ULIYOIPOKEA KATIKA NAMNA CHANYA AU HASI,

NAPENDA LEO UFAHAMU KWAMBA YESU KRISTO SIYO MILKI YA MTU FLANI AU DINI AU DHEHEBU FLANI TU HAPANA,

YESU KRISTO ALIKUJA KWA AJILI YETU SOTE ILI KILA ATAKAYE MWAMINI ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE,
(YOHANA 3:16),

BAADA YA DHAMBI YA ADAMU WOTE TULISTAHILI KIFO LAKINI NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Maombolezo 3:22
[22]Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii,
Kwa kuwa rehema zake hazikomi.

It is of the LORD'S mercies that we are not consumed, because his compassions fail not.

ACHA KUJITABISHA YESU KRISTO HANA HAJA YA CHEO CHAKO, AMA UTUME WAKO, AMA UNABII WAKO, AMA UCHUNGAJI WAKO, AMA UASKOFU WAKO, AMA UPADRI WAKO, AMA USHEMASI WAKO, AMA UWAZIRI WAKO, AMA UBUNGE WAKO, AMA URAIS WAKO ISIPOKUWA ROHO YAKO ILI APATE KUIPONYA ISIPOTEE,โ—๐Ÿ˜ณ

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Yakobo 4:1
[1]Vita vyatoka wapi, na mapigano yaliyoko kati yenu yatoka wapi? Si humu, katika tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu ?

LAITI K**A MFALME HERODE ANGEPATA HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO TOKA KATIKA CHANZO SAHIHI BILA SHAKA ANGETAMBUA KWAMBA YESU KRISTO HAKUWA NA HAJA YA UFALME WAKE HIVYO ASINGEJITANISHA KWA KUFADHAIKA NA KUUA WATOTO AKILINDA NAFASI YAKE AMBAYO MWISHO ALIIPOTEZA,

BAADA YA CHRISTMAS NI WAKATI WA KUTAFAKARI UZURI WA MUNGU KATIKA MAISHA YAKO HATA AKAMTOA YESU KRISTO KWA AJILI YAKO HILO LITAKUOKOA,

ULIMWENGU HAUPENDI UJUE KWELI,
ULIMWENGU UNATAKA UWE K**A HERODE BADALA YA KUMFURAHIA YESU KRISTO UISHIE KUFADHAIKA,

โ–ช๏ธCHRISTMAS MAANA YAKE NI KUSANYIKO LA KRISTO,

โ–ช๏ธLAKINI ULIMWENGU UNAPINGA HILO KWA NAMNA YA UJANJA-UJANJA,

MFANO:
โ–ช๏ธULIMWENGU UNAMUONDOA CHRISTO KWA ALAMA YA "X" NA KUACHA "MAS" TAFSIRI YAKE IKIWA NI KRISTO HAKUZALIWA NA WALA HANA KUSANYIKO (X-MAS) BE VERY CAREFUL โ—๐Ÿ˜ณ

๐Ÿ‘†HUU NI MFANO HALISI KATIKA KIPINDI HIKI CHA CHRISTMAS JINSI AMBAVYO MTU ANAWEZA KUPOKEA HABARI ZA KUZALIWA KWA YESU KRISTO ISIVYO SAHIHI NA KWA SABABU HIYO AKAISHIA KATIKA NAMNA YA MATESO MBALI NA FURAHA ALIYOKUWA AMEKUSUDIWA,

BAABA YA CHRISTMAS TAFUTA KUMJUA SANA YESU KRISTO KWA MAPANA NA MALEFU, KIMO NA KINA NA KWA KUIFAHAMU KWELI NAYO HIYO KWELI ITAKUWEKA HURU,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Ayubu 22:21
[21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
Ndivyo mema yatakavyokujia.

BAADA YA CHRISTMAS NAKUTAKIA SAFARI NJEMA YA MAISHA YA IMANI KWA JINA LA YESU KRISTO WANA ZARETI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

MERRY CHRISTMAS ๐ŸŽ„ ๐ŸŽ„ ๐ŸŽ„ AND
HAPPY NEW YEAR 2026.

 .KATIKA SOMO LILILOPITA NILITOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA WALE WENYE UKOMA 10,(LUKA 17:11-18).NENO LA MUNGU LINASEMA WALIP...
24/12/2025

.

KATIKA SOMO LILILOPITA NILITOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA WALE WENYE UKOMA 10,
(LUKA 17:11-18).

NENO LA MUNGU LINASEMA WALIPOMUONA YESU WALIPAZA SAUTI ZAO WAKIMUOMBA AWAPONYE , "NAYE AKAWAJIBU AKISEMA NENDENI MKAJIONYESHE KWA MAKUHANI WENU,


๐Ÿ‘‡
KUMBE HAWA WENYE UKOMA 10 WALIKUWA NA YAANI BABA ZAO WA KIROHO LAKINI UKOMA HAUKUWAACHA BALI ULIENDELEA KUWATAFUNA โ— ๐Ÿ˜ณ

YESU AKAWAMBIA NENDENI MKAJIONYESHE KWA MAKUHANI WENU NA WALIPOKUWA WAKIENDA WALIPONA โ—๐Ÿ˜ณ

MJANJA MMOJA (MSAMARIA MTU WA MATAIFA "SIYO MLOKOLE) AKARUDI KWA YESU KRISTO (KATIKA MADHABAHU ILIYOMPONYA KUSHUKURU),

KWA SWALI LA YESU AKIULIZA WALE KENDA YAANI 9 WAKO WAPI MBONA NAO HAWAKUJA KUMPA MUNGU UTUKUFU โ“

NDIPO TUNAPATA KUELEWA KWAMBA KUMBE WALE 9 NAO ILIWAPASA KURUDI KUSHUKURU LAKINI HAWAKUFANYA HIVYO HUWENDA NI KWA SABABU ZA KIMAPOKEO โ—๐Ÿ˜ณ,

LAKINI KWA NEEMA YA MUNGU ILI UJUE IKUPASAYO PALE UNAPOKUWA UMEPATA NEEMA YA KUTENDEWA NA MUNGU BILA KUJARI DINI AU DHEHEBU LAKO AU HUNA DINI KABISA JIFUNZE KUSHUKURU PALE ULIPOTENDEWA,

NI KWELI WATUMISHI WA MUNGU WANAWEZA KUWA WENGI,
LAKINI TAMBUA KUWA:
๐Ÿ‘‰ WANA KARAMA TOFAUTI,
๐Ÿ‘‰(NEEMA TOFAUTI),
KWA KIFUPI WAMETOFAUTIANA NA KWA SABABU HIYO TUJIFUNZE KUTHAMINI NA KUHESHIMU NEEMA ITENDAYO KAZI PAMOJA NA KILA ALIYE MTEULE WA MUNGU MAANA SI KILA MTU ANAYO,
( 1 Wakorintho 12:4-11),

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Wagalatia 2:21
[21]Siibatili neema ya Mungu; maana, ikiwa haki hupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure.

KILA MMOJA WETU ANAHESABIWA NA SIYO KWA SHERIA, NA
KWA SABABU HIYO ANASEMA HAIBATILI NEEMA YAANI HAIPUUZI WALA KUIDHARAU WALA KUITUPA KWA SABABU NI UWEZA WA MUNGU ULETAO WOKOVU NA MAFANIKIO KWA KILA AAMINIYE,

:
ASIYEIBATILI NEEMA YA MUNGU INAYOTENDA KAZI NA BAADHI YA WATUMISHI WA MUNGU NI NANI โ“
NI YULE MTU WA SHUKRANI ASIYESAHAU FADHIRI ZA MUNGU SAWA NA NENO LAKE KATIKA 103:2, NA
MTU HUYU HUMTUKUZA MUNGU KWA HUTOA DHABIHU ZA SHUKRANI SAWA NA NENO LA MUNGU KATIKA 50:23,

JE โ—HIZI DHABIHU ZA SHUKRANI ZINATOLEWA KWA YESU KRISTO MPONYA UKOMA AU KWA MAKUHANI AMBAO HAWANA CHA KUFANYA JUU YA UKOMA WA WATU WAO โ“


NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Kumbukumbu la Torati 12:10-14,
[10]Lakini mtakapovuka Yordani na kukaa katika nchi anayowarithisha BWANA, Mungu wenu, akawapeni raha, akiwaokoa na adui zenu pande zote, mkakaa salama;

[11]wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.

[12]Nanyi mtafurahi mbele za BWANA, Mungu wenu, ninyi, na wana wenu, na binti zenu, na watumishi wenu wanawaume na wanawake, na Mlawi aliyemo malangoni mwenu; kwa kuwa hana sehemu wala urithi kwenu.

๐Ÿ‘‰[13]Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;

๐Ÿ‘‰[14]bali katika mahali atakapopachagua BWANA katika kabila zako mojawapo, ndipo utakapotoa sadaka zako za kuteketezwa, ndipo utakapotenda yote nikuamuruyo.

NI MAHALI GANI ALIPOPACHAGUA BWANA ILI KULIKALISHA JINA LAKE NA AMBAPO IMEKUPASA KUTOA SADAKA ZAKO โ“
NI PALE AMBAPO BAADA YA KUPAKANYAGA ULIVUSHWA TOKA KATIKA TESO FLANI AU JAMBO FLANI AU ULIPOKEA JAMBO FLANI,

NI MAHALI AMBAPO BAADA YA KUPAKANYAGA ULIPATA AMANI NA UTULIVU KIROHO NA KIMWILI PANDE ZOTE NA UNAYO HAKIKA KWAMBA UWEPO WAKO MAHALI HAPO HUGUSIKI, HUK**ATIKI, HUSHIKIKI NA HUZUILIKI KWA JINA YESU KRISTO,

NENO LA MUNGU LINASEMA USITOE SADAKA ZAKO KILA SEHEMU,

NARUDIA TENA KUSEMA:
๐Ÿ‘‡
SI KILA SEHEMU UMETAKIWA KUTOA SADAKA ZAKO "HAPANA"
ISIPOKUWA NI PALE TU ALIPOPACHAGUA BWANA,
: UTAPAJUAJE โ“
: NI KWA KUVUSHWA MTO YORDANI YAANI (TOKA KATIKA AINA FLANI YA TESO ULILOKUWA UNALIPITA) YAANI KUNA AINA FLANI YA UKOMA ULIKUWA UNAKUTESA LAKINI BAADA YA KUKANYAGA HAPO UKAWA HURU),

:
AMBAO BAADHI YA WANA FAMILIA KATIKA HUDUMA HII WANAUFAHAMU,
๐Ÿ‘‡
KUNA MAMA MMOJA ALINIJIA AKANIELEZEA JINSI ALIVYOKUWA AKIPITIA HALI MBAYA SANA KIUCHUMI KWA SABABU BIASHARA ZAKE ZILIKUFA, ALIKUWA NA MADENI MENGI NA KUKATALIWA KILA SEHEMU โ—๐Ÿ˜ณ

NIKAMUULIZA JE ! MUNGU ALIKUWA NA FAIDA GANI KATIKA HIZO BIASHARA ZAKE"โ“

AKANIJIBU AKASEMA "ALIKUWA MWAMINIFU KUMTOLEA MUNGU ZAKA" LAKINI ZAIDI KUNA SEHEMU ALIKWENDA KUKOPA PESA KWA AJILI YA KILIMO, NA

KABLA HAJAZIINGIZA KATIKA KILIMO ALIPITA TENA KATIKA HIYO MADHABAHU YAKE AKATOA ZAKA LAKINI MATOKEO YAKE NA ULE MLADI (PROJECT ILIKUFA)โ—๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

NENO LA MUNGU LINASEMA SI KILA SEHEMU PA KUTOA SADAKA ZAKO ISIPOKUWA PALE TU ALIPOPACHAGUA MUNGU,
(KUMBUKUMBU LA TORATI 12:13),

SIKU ZOTE TUMIA MFANO HUU WA WAKOMA 10 UTAKUSAIDIA,

NARUDIA TENA:
๐Ÿ‘‡
SIKU ZOTE TUMIA MFANO HUU WA WAKOMA 10 UTAKUSAIDIA,

WENYE WAKOMA 10 WALIKUWA NA YAANI KWA LUGHA NYEPESI WALIKUWA NA (MADHABAHU ZAO) LAKINI UKOMA HAUKUWAACHA MPAKA KRISTO YESU ALIPOINGILIA KATI MAISHA YAO,

LEO HII YESU KRISTO ANAO WATEULE WAKE WANAOSIMAMA KWA NIABA YAKE ANAWATUMIA KWA NAMNA YA AJABU NA YA KUSHANGA SANA "LAKINI CHA AJABU SANA HAO HAO NDIO WANAODHARAULIKA NA KUCHUKILIWA WA KAWAIDA SANA KANA KWAMBA SI LOLOTE WALA CHOCHOTE,

๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ ,

NENO LA MUNGU LINASEMA KATIKA:
๐Ÿ‘‡
Kumbukumbu la Torati 14:22-23
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.

[23]Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ngโ€™ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha BWANA, Mungu wako, daima.

NILITOA MFANO NIKASEMA KATIKA MAKANISA MAMA TULIFUNDISHWA VYEMA KATIKA ENEO HILI LA UTOWAJI,
TUKILETA MAVUNO SAWA NA NENO LA MUNGU NA
TULIKUWA NA BAHASHA ZA AHADI KWA MWAKA NA KILA JUMAPILI TULITOA SEHEMU YA 10 (ZAKA) JE โ—KWA MAKANI YA KIROHO ENEO HILI LINA SHIDA GANI โ“

MUNGU ATUSAIDIE SANA.

KWA MSAADA WA ROHO WA MUNGU NILIONGOZWA KUFUNDISHA SOMO HILI TANGU MWEZI WA 12 ULIPOANZA, NA

KUSUDI LA MUNGU NI HILI KWAMBA:
๐Ÿ‘‡
TENA MTAIFAHAMU KWELI NAYO HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU.
(Yohana 8:32)

:

MPENDWA WANGU WEWE ULIYEPATA NEEMA YA KUFATILIA SOMO HILI , ILIYODHIHILISHWA KWAKO KUPITIA WATEULE WAKE MUNGU HAKOSEI BALI SIKU ZOTE KUSUDI LAKE NI JEMA SANA KWETU,

MAFANIKIO YETU/ KUMILIKI KWETU MSINGI WAKE NI HUU:
HUWEZI KUVUNA USIKOPANDA.
(WAGALATIA 6:7),

LIKAWE BARAKA KWAKO BINAFSI NA FAMILIA YAKO KWA UJUMLA KWA JINA LA YESU KRISTO WANA ZARETI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMEEEN.

BY: Apostle Emmanuel Banzi.
โ˜Ž๏ธ0754750006.

Address

Pugu
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Apostle of Faith Emmanuel Banzi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category