15/03/2024
*Salaamu Mtakatifu,*
Huduma ya CROSSLIFE MISSION NETWORK (CMN), na kamati ya maandalizi ya THE AWAKENING CONFERENCE 2024 inakukaribisha katika mkutano uitwao, *THE AWAKENING CONFERENCE 2024 (Mkutano),* wenye lengo la *KUDHIHIRISHA WANA WA MUNGU.* Dhima ya Mkutano huu ni *AWAKE: SLEEPING SOLDIERS, EPHESIANS 5:14,* Mkutano huu utafanyika tarehe 11/04/2024 (EID DAY) utaongozwa na huduma ya CMN Pamoja na *Pastor, Lenhard Kyamba. Esq,* na kuhudumiwa na *Bishop, Dr. Deo Lubala, Pastor, Tony Osborn, Apostle, Elia Joshua* kwa neno la Mungu, na *Minister(s), Pastor EPA, Elia Mtishbi, Moses Mongure, Imani Eric Shoo na Suzelia Jesus,* wakiongozwa na *THE SPRINGS OF LIFE & DOXA WORSHIP TEAMS,* Kwa sifa na kuabudu.
Mungu yupo kwenye mpango wa kudhihirishwa Wana wa Mungu kwa nyakati hizi,wale walio tayari ndiyo watadhihirishwa. Karibu uungane Pamoja nasi katika safari hii ya UAMKO. Karibu tujifunze na kuamshwa kwa ajili ya kumzalia Mungu matunda.
Uli uweze kupata nafasi unaweza kuwasiliana na:
*0710 073 860 na 0621 965 329 au bofya hapa (https://forms.gle/Tg5poyEXpAYc1HYDA)
Umependwa,
*_See you in the realm of Christ._*
CROSSLIFE MISSION NETWORK (CMN) presents to you THE AWAKENING CONFERENCE 2024 with a theme: Awake - Sleeping Soldiers. The primary focus of this conference is to fulfill the mandate of the Church (CMN) of MANIFESTING SONS OF GOD. We believe there is a move in the spirit to rouse men from spiritual s...