Prophetess Happy Melita

Prophetess Happy Melita Save soul's to Jesus Christ, God's Emblem to all nations, woman of God, preacher, wife, mother of many nations. Welcome for advice, prayers and intercession.

No matter what the situation is , be happy with it, Don't let the enemy to  know what you're going through, because he w...
09/05/2026

No matter what the situation is , be happy with it, Don't let the enemy to know what you're going through, because he will stop you from moving forward by disappointing you 🥹 keep trusting God & you will win 🔥❤️for with God nothing is impossible 🤝🦅


09/05/2026

JE UNAISHI WEWE? MAISHA UNAYOISHI NI YAKWAKO AU UMEBADILISHIWA????...

09/05/2026
09/05/2026

JE UNAISHI WEWE? MAISHA UNAYOISHI NI YAKWAKO AU UMEBADILISHIWA?

09/05/2026

JE UNAISHI WEWE? AU MAISHA UNAYOISHI NI YA KWAKO AU UMEBADILISHIWA?

TUJIFUNZE JINSI YA KUANDIKA HAYA MAJINA NA UTOFAUTI WAKE.  1.  Ukiandika           mungu soma 2korintho 4:4 soma 2wafalm...
09/05/2026

TUJIFUNZE JINSI YA KUANDIKA HAYA MAJINA NA UTOFAUTI WAKE.

1. Ukiandika
mungu
soma 2korintho 4:4
soma 2wafalme 1:2
*kumbe hapo umemaanisha shetani*

2. Ukiandika
MUNGU au
Mungu
soma Yohana 3:16
soma Luka 1:26
*hapo umemaanishaa Muumba mbingu na nchi*

3. Ukiandika
bwana
soma Mathayo 25:5
*kumbe ukiandika herufi ndogo ina maana bwana mume, au boss wako wa kazi*

4. Ukiandika
Bwana au
BWANA
soma Mathayo 22:37
*hapo umemaanisha MUNGU mwenyezi*

5. Ukiandika
roho
soma Luka 9:56
*hapo unakuwa umemaanisha roho yako au roho za mashetani*

6. Ukiandika
Roho au
ROHO
soma Yohana 14:26
*hapo unakuwa umemaanisha Roho wa Mungu mwenyewe*

7. Ukiandika
yesu
hapo ni bar yesu
mchawi yule
matendo 13:6

8. Ukiandika
Yesu au
YESU
soma Mathayo 1:16
hapo unakuwa umememaanisha YESU mwokozi

Hivyo waKristo tuwe makini na uandishi wa majina haya ya MUNGU na BWANA wetu!! Barikiwa na Bwana.

Waheshimu waliokufanya uweze kufika hapo ulipo, sio kwa sababu tu umefanikiwa Basi usahau ulikotoka, "HAPANA " , usiwe m...
09/05/2026

Waheshimu waliokufanya uweze kufika hapo ulipo, sio kwa sababu tu umefanikiwa Basi usahau ulikotoka, "HAPANA " , usiwe mjuaji kwa sababu kabla ya hapo hukuwa hivyo ulivyo leo, lakini Mungu aliwatumia wakakupa maarifa na wakajitoa vile Mungu amewaagiza kufanya kwa ajili yako, na wewe ukafanikiwa kupitia wao , hata ikiwa imetokea sababu ya wewe kutofautiana nao, wewe usiwe na kiburi fahamu nao wana madhaifu yao, jirudi /jishushe... tengeneza nao maana hutopungukiwa na kitu. Nawe utainuliwa zaidi na zaidi...shalom




Yawezekana umewatendea watu mema sana na ukafanyika msaada kwao au daraja,  hata wakavuka kwenda  nga'mbo,  lakini baada...
08/05/2026

Yawezekana umewatendea watu mema sana na ukafanyika msaada kwao au daraja, hata wakavuka kwenda nga'mbo, lakini baada ya wewe kuwatendea yote hayo hawakujali hata ikafika mahali wakakusahau, wewe usijali wala usiache kuendelea kuwatendea na wengine sababu ya waliokusahau, kwa sababu ipo siku Mungu atalazimisha mioyo yao au fahamu zao kukumbuka kile uliwatendea nao wakafanya Jambo la kukuinuia wewe zaidi, Yusufu akiwa gerezani alitafsiri ndoto za wafungwa na ikawa hivyo K**a alivyowaambia na mmoja wao alivyorudishwa katika nafasi yake akajikuta amemsahau aliyemtafsiria ndoto yake na akaendelea na mambo yake...😥lakini ilifika siku moja bosi wake akaota ndoto iliyompa tabu na ndipo akakumbuka... yupo mtu mmoja aliyeitwa Yusufu alikwishawahi mtafsiria na ndipo anatoa taarifa hiyo na mwisho wa siku Yusuph baada ya kutafsiri ndoto ile ndipo alipoweza kuwa huru na kupewa cheo kikubwa. Je umewatendea mengi mema na wakakusahau??? K**a Yusufu alivyosahaulika?????Endelea kutenda kwa sababu Mungu anaenda kukuinua na kukuweka panapo nafasi yako. Shalom




Unaweza kuchoka, na hata kulia wakati mwingine inapobidi, unaweza kupumzika pia... lakini ni marufuku kukata tamaa au ku...
08/05/2026

Unaweza kuchoka, na hata kulia wakati mwingine inapobidi, unaweza kupumzika pia... lakini ni marufuku kukata tamaa au kukatia tamaa kile unachokifanya...usiache kufanya wala usiishie njiani haijalishi nini kitatokea....songa mbele bila kutazama hali inasemaje, mazingira yanaonekanaje.... we endelea mbeleeee...... Mungu aliyefanya njia katika bahari ya shamu na wana wa Israel wakavuka..... atafanya njia na kwako, usiogope....songa mbele....mbele Kuna njia ya kutokea... shalom.

Isaya 41:10
[10]usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.



Unaweza kukosa unachotaka, kutoka kwa mtu mwingine kwa sababu ya kuhitimisha KUTOKUWEZEKANA kwa jambo, kabla hata haujac...
08/05/2026

Unaweza kukosa unachotaka, kutoka kwa mtu mwingine kwa sababu ya kuhitimisha KUTOKUWEZEKANA kwa jambo, kabla hata haujachukua HATUA.

Kuna watu ambao ukiwaangalia unajua kabisa wana kitu ambacho wanaweza kukusaidia, aidha k**a fursa, pesa au connection fulani.

Changamoto ya watu wengi huwa ni kuogopa “kumface” huyo mtu, kwa Imani kuwa ATAWAKATALIA.

Ukiwauliza wamejuaje k**a atawakatalia, huwa wanatoa sababu za namna walivyomsikia kutoka kwa watu wengine, ama wanavyowajua watu wa namna hiyo.

Usisahau kanuni hii, USIJIAMBIE HAPANA KABLA HAUJAJARIBU.

Kuna wengi wamekosa FURSA kubwa kwa kujiambia hapana kabla hawajajaribu.

Wengine walipojaribu, walishangaa WALIKUBALIWA KIRAHISI tofauti na walivyofikiria.

Leo, amua KUJILIPUA.

Mtafute na mwambie, muombe Appointment, mpigie simu, mwandikie meseji USIKUBALI KUSHINDWA KABLA HAUJAJARIBU.

Chukua Hatua!

Muda wowote ukiwa tayari kujifunza zaidi bofya link ya blue kwenye BIO yangu Instagram

Au Bofya Hapa Sasahivi

>>> https://linktr.ee/joelnanauka

See You At The Top

Joel Arthur Nanauka



.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255655749995

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Prophetess Happy Melita posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Prophetess Happy Melita:

Share