01/05/2022
From
Prophet
MAKANJA SOSTENES
UNABII UNABII UNABII JUU YA WAFANYA BIASHARA NDOGO NDOGO
Mwishoni mwa mwezi wa nne 2022,Mungu akanifunulia hatma ya wafanya biashara ndogo ndogo,
Nikaoneshwa namna wamama kwa wababa wanavyo jituma kufanya kazi lakini inakuwa ni vigumu kufikia malengo yao,
MUNGU akaniambia,
Tazama,idadi yao kubwa wanafanya biashara bila kufanya tathmini ya biashara namna atakavyo pata faida kwa bidhaa moja moja,tofauti yake wao hufanya biashara kwa jumla na baadae wakitegemea kufanya hesabu baadae pasipo kujua mwishoni atapata faida au hasara,
Hivyo nikaoneshwa mama mmoja akifanya biashara,mwanzo wa biashara hakuhesabu faida itakuwa kiasi gani,na hatimae alipomaliza biashara,mwishoni aliambulia hasara yaani hakupata faida,kinyume chake alipata hasara,
MUNGU,akaniambia
Mama K**a huyu anajituma sana katika biashara yake,lakini
Kamwe
Hawezi kupata mafanikio,atalaumu kila mtu kwamba wanamrudisha nyuma,lakini kumbe tatizo kubwa ni namna unavyo fanya maandalizi na kuwa makini na biashara yako,
Vivyo hivyo,
Hata katika maisha ya kawaida,hatma yako yamaisha yako ya kesho hata kiimani,nimaandalizi yako mazuri ya Leo ili kuifikia kesho yako iliyo njema na yenye upako wa mafanikio,
KAMWE
Usifanye jambo lolote bila kutambua mwisho wake K**a utapata faida au hasara.