11/04/2026
Bwana Yesu asifiwe! Ni siku nyingine njema ya baraka ambayo Mungu ametujalia.
Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu katika ibada zetu za Jumapili hii tulivu na yenye neema. Ibada ya kwanza itaanza saa 1:00 kamili asubuhi, na ibada ya pili itaanza saa 4:30 asubuhi.
Karibu sana mpendwa na rafiki yangu. Usikose kushiriki nasi, kwa sababu kuna jambo zuri na la kipekee ambalo Mungu amekuandalia. Tunakungoja kwa furaha!