29/05/2026
Unachovaa kinabeba utambulisho wako, kabla hujavaa aina hiyo ya mavazi jiulize kwanza..."wewe ungekutana na mtu kavaa k**a hivyo unavyotaka kuvaa ungemuona ni mtu wa aina gani?"
Maana hivyo ndivyo pia hata watu wengine watakavyokuona.
Kuna msemo mzuri sana ambao huwa naupenda sana, unasema;
"Dress as you desire to be addressed"...watu hawana X-Ray ya kuangalia tabia, hata k**a una tabia nzuri vipi, mavazi yako yanaweza kukufanya ukaonekana una tabia zisizofaa.