Mwananyamala Catholic Church

Mwananyamala Catholic Church Ukurasa huu wa Mwananyamala Catholic Church (MCC) ni maalumu kwa ajili ya taarifa mbalimbali za Parokia ya Mt. Martin De Porres, Pamoja tutangaze Injili.

29/09/2020

Tyk

Tunamshukuru Mungu kwa makuu aliyotutendea Parokia ya Mwananyamala kwa tukio la jana, la kutabaruku Kanisa, asante Mungu tumeuona mkono wako

Pili tunaishukuru k**ati nzima ya Kutabaruku Kanisa ikiongozwa na mwenyekiti ngugu Caesar na Katibu Bi Blandina, k**ati imefanya kazi yake kwa mafanikio na weledi makubwa. Hongereni sana

Kwa namna ya pekee nizipongeze k**ati zote kwa kazi nzuri, pongezi za pekee kabisa kutoka rohoni ziende kwa k**ati ya chakula ikiongozwa na Mama Nyambo imefanya vizuri sana, kwenye chakula ndio eneo lililokuwa na wasiwasi kwani watu wasiporidhika inafuta mema yote. Hongereni sana

Tunawapongeza wana Halimashauri wote, viwawa, wawata, Uwaka, utoto Mtakatifu kwa kila mmoja kuona sherehe hii inatuhusu wote.

Baba Kanali Tarimo hakika umekuja na wazo jipya ambalo hata sisi k**a Kamati Tendaji hatukulitegemea, hongera sana baba.

Hata nasi Kamati Tendaji team work ilikuwa juu kufikia kilichofanyika tunamshukuru Mungu

Ni vigumu kumtaja kila mtu kwa alichokifanya ila kweli tunatambua jitihada zilizofanyika eg mapambo, picha, video, nk

Tunawashukuru Makleri wetu kwa kutuongoza hatua kwa hatua kuelekea mafanikio haya

Team work iliyooneshwa hapa iendelee kuwa chachu ya maendeleo kwa Parokia yetu

Mt Martin de Porres Utuombee

Mchomvu
Mwenyekiti H/W Parokia

29/09/2020

Baba Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi akiweka jiwe la Msingi nyumba ya Mapadre Parokia ya Mt. martine De Pores Mwananyamala Jimbo Kuu Dsm

Baba Paroko Benedict Ndeyekiyo akiwa na Mwenyekiti wa H/W, Katibu na Katibu Msaidizi
29/09/2020

Baba Paroko Benedict Ndeyekiyo akiwa na Mwenyekiti wa H/W, Katibu na Katibu Msaidizi

29/09/2020

Watoto na walezi wa Parokia ya Mwananyamala wakicheza kwa furaha baada ya kutabarukiwa Kanisa lao

29/09/2020

Cheki Baba Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi akitabaruku Altare Parokia ya Mt. Martin De Porres Mwananyamala Jimbo Kuu Dsm

Karibuni sana
24/09/2020

Karibuni sana

24/09/2020

Tyk wapendwa. Karibuni sana kwenye Ibada ya Misa Takatifu ya Kutabaruku Kanisa Parokia ya Mt. Martin de Porres- Mwananyamala itakayoongozwa na Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Jumapili tarehe 27/09/2020 kuanzia saa 4.00 Asubuhi, karibuni sana

Sherehe ya WAWATA na Somo wa Parokia 2o18
05/11/2018

Sherehe ya WAWATA na Somo wa Parokia 2o18

Paroko, Masista na waamini wa Mwananyamala
05/11/2018

Paroko, Masista na waamini wa Mwananyamala

12/12/2017

MABADILIKO YA MISA ZA JUMAPILI

MISA YA KWANZA SAA 12. 00 - 200 ASUBUHI

MISA YA PILI 2.00 - 4.00 ASUBUHI

MISA YA TATU 4.00 -6.00 MCHANA

MISA YA WATOTO 6.00 -'7.15 MCHANA

MAFUNZO YA DINI DOMINIKA YATAANZA SAA 4.00 ASUBUHI KABLA YA MISA YAO

MISA ZA ASUBUHI NI 12.30 ASUBUHI

MUNGU ATUBARIKI

02/02/2017

RATIBA ZA MISA KILA JUMAPILI

1. MIA YA KWANZA SAA 12.30 ASUBUHI HADI SAA 2.30 ASUBUHI

2. MISA YA PILI SAA 2.30 HADI SAA 4.30 ASUBUHI

3. MISA YA TATU SAA 4.30 HADI SAA 6.00 MCHANA

4. MISA YA NNE SAA 6.00 HADI SAA 7.15 MCHANA. MISA HII NIYA WATOTO AMBO HUANZA KWANZA NA MAFUNZO YA DINI SAA 4.30 ASUBUHI KABLA YA KUINGIA KWENYE MISA YAO.

MISA ZA KATIKATI YA WIKI

12.30 ASUBUHI KUANZIA JUMATATU HADI JUMAMOSI

23/12/2015

Thaks all viwers, the church is not as the picture is, we expect to start renovation early 2016. After renovation we expect to have the church as the picture is. Welcome for your contribution.

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam
BOX6026

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwananyamala Catholic Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share