Hakuna Lisilowezekana Ministry - BCIC

Hakuna Lisilowezekana Ministry - BCIC Huduma ya Hakuna Lisilowezekana inaongozwa na Askofu Sylvester Gamanywa. Kupitia Huduma hii mamilioni wamekuja kwa Yesu Kristo. YOTE YANAWEZEKANA!

Huduma hii ya Hakuna Lisilowezekana inaongozwa na Askofu Sylvester Gamanywa - kiongozi wa WAPO Mission International. Kwa kutumia Vyombo vya Habari na Ibada za kila juma, huduma imejikitia katika kuleta ujumbe wa matumaini, upendo na ushindi duniani kote hasa kujenga Ufalme wa Mungu kwa Kizazi Kipya – Kwa Yesu Kristo YOTE YANAWEZEKANA!

16/08/2013

Kijana, weekend hii inayokuja umekusudia kufanya nini? Tuna taarifa njema kwako. Jumamosi tarehe 3 Aug, Askofu Sylvester Gamanywa atakua na mazungumzo maalum na vijana wa rika zote. Waliooa na Singles. K**a unaishi Dar au maeneo ya karibu, USIKOSE nafasi hii muhimu katika maisha yako. HUTAJUTIA!

Aushibisha mema uzee wako, Ujana wako ukarejezwa k**a tai [Zab 103:5].
06/08/2013

Aushibisha mema uzee wako, Ujana wako ukarejezwa k**a tai [Zab 103:5].

Vijana wazuri wako kwa Yesu!
06/08/2013

Vijana wazuri wako kwa Yesu!

Roho wa Mungu akishukia mamia ya vijana waliofurika na kujihudhurisha mbele za Mungu. Moto wa Roho Mtakatifu unatakasa n...
06/08/2013

Roho wa Mungu akishukia mamia ya vijana waliofurika na kujihudhurisha mbele za Mungu. Moto wa Roho Mtakatifu unatakasa nafsi hizi kuwa vyombo vya HESHIMA, VYA THAMANI na viwezavyo kutumiwa na Mungu. Na wewe ni LAZIMA ujazwe ili uwe na ushindi kamili katika maisha yako.

COME unto me, all you that labour and are heavy laden, and I will GIVE you REST [Matthew 11:28-30]
06/08/2013

COME unto me, all you that labour and are heavy laden, and I will GIVE you REST [Matthew 11:28-30]

Where there is light darkness has to flee...in JESUS NAME!
06/08/2013

Where there is light darkness has to flee...in JESUS NAME!

Watoto wa kuanzia miaka 8 nao wanajazwa Roho Mtakatifu! Mungu ni mwaminifu na anatimiza Neno lake [Mdo 2:17].
06/08/2013

Watoto wa kuanzia miaka 8 nao wanajazwa Roho Mtakatifu! Mungu ni mwaminifu na anatimiza Neno lake [Mdo 2:17].

Shetani ni mwizi. Anaiba maisha ya vijana duniani kote kwa hila na udanganyifu. Utandawazi kupitia mitandao ya kijamii, ...
04/08/2013

Shetani ni mwizi. Anaiba maisha ya vijana duniani kote kwa hila na udanganyifu. Utandawazi kupitia mitandao ya kijamii, redio na televisheni, umeharibu maisha ya vijana wengi dunia kote - Tanzania ikiwemo.

Askofu Sylvester Gamanywa akifundisha kundi kubwa la vijana waliohudhuria
04/08/2013

Askofu Sylvester Gamanywa akifundisha kundi kubwa la vijana waliohudhuria

Beatrice Mwaipaja akijimwaga kumsifu Bwana. Ilikua ni raha iliyoje!
04/08/2013

Beatrice Mwaipaja akijimwaga kumsifu Bwana. Ilikua ni raha iliyoje!

Vijana wakijiandisha kuingina ukumbuni...
04/08/2013

Vijana wakijiandisha kuingina ukumbuni...

Tunamshuru sana Mungu kwa semina nzuri na ya ajabu  tuliyofanya jana hapa BCIC. Mamia ya vijana wa Dar es salam walifuri...
04/08/2013

Tunamshuru sana Mungu kwa semina nzuri na ya ajabu tuliyofanya jana hapa BCIC. Mamia ya vijana wa Dar es salam walifurika. Hakika Roho Mtakatifu alikutana na shauku yao. Maswali juu ya changamoto wanazokutana nazo vijana leo, hasa katika dunia hii ya Utandawazi yalijibiwa. Tutaletea katika ukurasa huu picha za matukio yote ya jana hasa kwa wale waliokosa fursa ya kuhudhuria. Pia baadae utaweza kupata mafundisho kwa ku-download na kusikiliza popote utakapokua na kwa njia yoyote ile - Simu, gari, redio n.k

Address

P. 0. Box 6178
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hakuna Lisilowezekana Ministry - BCIC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category