All Youth For Christ ministry -TZ

All Youth For Christ ministry -TZ ( warumi 12:1-2)

AYFC ministry ni taasisi ya kiRoho yenye lengo la kusaidia vijana wawe na mwenendo mzuri wa kiimani wenye kuleta mabadiliko katika maisha, kitabia na kimwenendo hatimaye awe raia mwema mwenye mabadiliko chanya kwenye jamii.

May this week become a week of restoration, peace and stability in your life. Everything that has been destroyed or brok...
25/09/2023

May this week become a week of restoration, peace and stability in your life. Everything that has been destroyed or broken let it be restored in mighty name of Jesus Christ. No any weapons fashioned against you will prosper in Jesus name. Blessings be apon you and Everything you will touch this week. I command destiny helper to come to you. Favor of God be with you and his mercy guard you.
Amen.
Happy Monday.

Hello karibu tuweze jifunza kwa pamoja. Tutafanya uchambuzi wa kitabu cha kwanza cha  samweli. Tutaanza jumatatu saa mbi...
23/09/2023

Hello karibu tuweze jifunza kwa pamoja. Tutafanya uchambuzi wa kitabu cha kwanza cha samweli. Tutaanza jumatatu saa mbili usiku. Tutachambua pia na kitabu cha pili cha samweli na tukimaliza vitabu vyote tutatoa maswali na atakaye jibu vizuri atapata zawadi ya shiling elfu 50,000 k**a motisha.
Jiunge nasi kupitia whatapp platform yetu.
Stay blessed

Huduma ya   tuna program inaitwa love and hope program. Ni program maalumu kwaajili ya kutembelea vituo vya watoto yatim...
22/02/2022

Huduma ya tuna program inaitwa love and hope program. Ni program maalumu kwaajili ya kutembelea vituo vya watoto yatima, nyumba za kutunza warahibu zinazo julikana k**a sober house,jela na maabusu pamoja na wagonjwa na wahitaji wengine. Wakati huu mwezi huu wa pili tunaenda kwa watoto yatima kituo cha tuyata. Kiko magomeni. Napenda kukukaribisha rafiki yangu uweze kushiriki pamoja nasi.

Watu wengi wakienda kwa watoto yatima hupenda kwenda kupeleka vitu mbalimbali na kisha kuondoka. Sisi tumepanga licha ya kupeleka vitu tutakaa nao na kuzungumza nao. Wanahitaji kupata maneno ya hekima toka kwetu kuhusu makuzi, malezi yao, malengo na kujitambua k**a watoto wengine. So karibu twende tukawape maarifa watoto hawa...

Hope to se you ..

22/02/2022
Karibu tuweze kujifunza.Mahusiano yamekuwa yakichukua nafasi kubwa sana kwenye maisha ya vijana. Imepelekea mpaka mtu as...
18/01/2022

Karibu tuweze kujifunza.

Mahusiano yamekuwa yakichukua nafasi kubwa sana kwenye maisha ya vijana. Imepelekea mpaka mtu asipokuwa na mpenzi anajiona kuto kukamilika.... okey sio vibaya maana ni k**a ni ukamilisho wa andiko ndani ya biblia kuwa si vyema mtu huyu awe peke yake, nitamfanyia msaidiazi wa kufanana naye.

Kuwa na mchumba sio tatizo bali tatizo ni kuwa na mtu asiye sahihi kwenye maisha yako. Kulingana na maandiko tunaamini kila mwanamke ametokana na ubavu wa mwanaume. Kwahiyo tunaamini kila mtu ana mchumba au mwenza wake sababu wewe binti ni ubavu wa mtu na wewe mwanaume kuna ubavu wako ulitolewa na akafanywa mwanamke... kwahiyo tuachane na ile dhana ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ... okey inawezekana ni sawa lakini maandiko hayatuambii hivyo...tunaamini kila mtu ana mwenzake.

Sasa tuangalie ni adhari gani hutokea pale unapokuwa na mahusiano na mtu asiye wako..

* #1. Soul tie.* / *muunganiko wa kinafsi na roho.*

Kwanza kabla sijaelezea hii naomba nikwambie nafsi ni nini???
Biblia inatuambia mtu ana sehemu kuu tatu ambazo ni mwili, nafsi na roho. Nafsi ya mwanadamu ndio kiunganishi kati ya mwili wa mwanadamu na roho yake. Roho ni utu wa ndani wa mwanadamu wenye mahusiano ya moja kwa moja na roho ya Mungu na mwili ni utu wa nje huu unao shikika na kuonekanika.

Sasa nafsi ni nini???
Ndani ya nafsi ya mwanadamu tunakuta vitu vitatu..
Akili, hisia na utashi..
Sasa unapo ingia kwenye mahusiano eneo la hisia ndio linalo hadhiriwa sana... inaweza kuwa hisia nzuri au hisia mbaya.

Unapokuwa kwenye mahusiano tuu kihisia mnaungalika na yule mtu...yaani anakuwa na nafasi kubwa ndani yako sababu yuko kwenye hisia zako. Utakuta kunawatu wanakuwa kwenye mahusiano ya kingono halafu wanaachana lakini baada ya muda wanajikuta wanakutana kimwili while mahusiano yalisha kufa... tatizo ni nini???

Hawa watu wameunganika katika nafsi zao kiasi kwamba kila mtu ananguvu ndani ya hisia za mwenzake.

Sasa ukiwa hauko na mtu sahihi tambua unampa nafsia kubwa ya kuadhiri hisia zako na kuutawala yaani kuutawala mwili wako... hii ilo kibiblia kabisa. Watu wakisha kutana kimwili kila mtu hana utawala juu ya mwili wake wala hisia zake isipokuwa mwenziwe.

Inaendelea.....

Ni leo...Mwambie na mwenzako naye asikilize.Karibu
13/01/2022

Ni leo...

Mwambie na mwenzako naye asikilize.

Karibu

Maandalizi yanazidi kupamba moto...Utapangaje kukosa sasa...Karibu uweze shiriki mkesha huu...Itakuwa ni baraka sana.Ita...
11/01/2022

Maandalizi yanazidi kupamba moto...
Utapangaje kukosa sasa...
Karibu uweze shiriki mkesha huu...
Itakuwa ni baraka sana.
Itakuwa ni kuanza upya na Yesu wetu..
Alika na mwenzako... tukutane nane nane KKKT NANENANE... IJUMAA HII

Unapangaje kukosa mkesha mzuri wa mabinti....Njoo na ma binti wenzako muweze kusifu pamoja, kujifunza pamoja, kuzungumza...
09/01/2022

Unapangaje kukosa mkesha mzuri wa mabinti....
Njoo na ma binti wenzako muweze kusifu pamoja, kujifunza pamoja, kuzungumza na kunetwork na mabinti wa rika lako...
Itakuwa furaha sana...
Ni pale Kkkt nanenane arusha
Siku ya ijumaa tarehe 14/01/2022

Mwalike na mwenzako.









🇹🇿









Sweta la maana....Jipatie kwa shiling 30000 tuu...Rangi tofauti tofauti.
08/01/2022

Sweta la maana....
Jipatie kwa shiling 30000 tuu...
Rangi tofauti tofauti.

Zipo kwa kila rangi...Weka oda yako leo...
08/01/2022

Zipo kwa kila rangi...
Weka oda yako leo...

Address

Buza, Mnarani
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when All Youth For Christ ministry -TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to All Youth For Christ ministry -TZ:

Share