30/05/2026
Wanamaombi kutoka mitaa na sharika mbalimbali ya Dayosisi Mashariki na Pwani (DMP) walipokutana leo kuanzia mida ya saa tatu hadi saa saba mchana kwa ajili ya kuombea agenda mbali mbali kuelekea Kongamano kuu la KKKT litakalofanyika tarehe 15 -20 JUNI 2026, katika shule ya sekondari ya Filbert Bayi, Kibaha.
YEREMIA 47: 7
UTAWEZAJE KUTULIA IKIWA BWANA AMEKUPA AGIZO?
#