Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Asizi

Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Asizi Shirika la Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Asizi

MISA YA UFUNGUZI WA KONGAMANO LA 5 LA EKARISTI TAKATIFU
12/09/2024

MISA YA UFUNGUZI WA KONGAMANO LA 5 LA EKARISTI TAKATIFU

ISA YA UFUNGUZI WA KONAGAMANO LA  5 LA EKARISTI TAKATIFU
12/09/2024

ISA YA UFUNGUZI WA KONAGAMANO LA 5 LA EKARISTI TAKATIFU

Share your videos with friends, family, and the world

KONGAMANO LA EKARISTI TAKATIFURATIBA ZA KUWASILI NA KUSAJILIWA NA KUHUDHURIA Waheshimiwa Mapadri,Watawa, na Waamini Wale...
11/09/2024

KONGAMANO LA EKARISTI TAKATIFU

RATIBA ZA KUWASILI NA KUSAJILIWA NA KUHUDHURIA

Waheshimiwa Mapadri,
Watawa, na Waamini Walei

Kristo.

Naomba tuzingatie yafuatayo kuhusu kuwasili katika Kongamano:
1. Tarehe ya kuwasili ni 11.09.2024
2. ⁠Mahali pa kuwasili ni Msimbazi Center kuanzia saa 9:00 Alasiri ili kusajiliwa kwa wale waliolipia malazi. Kisha baada ya kusajiliwa watapelekwa mahali walipopangiwa kwa malazi.
3. ⁠Kwa wa washiriki wa KUTWA wao wafike Msimbazi Center Alhamisi mapema kabla ya saa 3:00 asubuhi ili wasajiliwe na kuendelea na ratiba ya Kongamano.
4. ⁠Siku ya Alhamisi ambayo ndiyo siku ya ufunguzi Misa itaanza saa 3:00 asubuhi.

Tunawatakieni maandalizi mema.

Katika Kristo,

Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.

RATIBA ZA KUWASILI NA KUSAJILIWA KATIKA KONGAMANO LA EKARISTIWaheshimiwa Mapadri,Watawa, na Waamini WaleiKristo.Naomba t...
11/09/2024

RATIBA ZA KUWASILI NA KUSAJILIWA KATIKA KONGAMANO LA EKARISTI

Waheshimiwa Mapadri,
Watawa, na Waamini Walei

Kristo.

Naomba tuzingatie yafuatayo kuhusu kuwasili katika Kongamano:
1. Tarehe ya kuwasili ni 11.09.2024
2. ⁠Mahali pa kuwasili ni Msimbazi Center kuanzia saa 9:00 Alasiri ili kusajiliwa kwa wale waliolipia malazi. Kisha baada ya kusajiliwa watapelekwa mahali walipopangiwa kwa malazi.
3. ⁠Kwa wa washiriki wa KUTWA wao wafike Msimbazi Center Alhamisi mapema kabla ya saa 3:00 asubuhi ili wasajiliwe na kuendelea na ratiba ya Kongamano.
4. ⁠Siku ya Alhamisi ambayo ndiyo siku ya ufunguzi Misa itaanza saa 3:00 asubuhi.

Tunawatakieni maandalizi mema.

Katika Kristo,

Pd. Vincent Mpwaji
Chancellor.

05/05/2024
Atukuzwe Mungu kwani mwema 🤲
04/05/2024

Atukuzwe Mungu kwani mwema 🤲

🤲🤲
26/04/2024

🤲🤲

Address

Mbagala Spiritual Centre
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 16:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Asizi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Asizi:

Share