22/06/2026
Jana ilikuwa sikukuu ya watoto wetu wazuri. tumebarikiwa sana na huduma yao. Mungu awabariki sana walimu. Mungu akubariki sana mchungaji wetu Daudi Mwashambwa na mama yetu mzuri kabisa Ngoga kwa malezi mazuri. Tunawaombea Neema iwe tele kwenu 🎉