Hekalu la Maombi

Hekalu la Maombi Tuambie shida yako tukuombee �

NJIA RAHISI YA KUFANYA YALIYO SHINDIKANA YAWEZEKANE💪HAKUNA NAMNA KUKU ANAWEZA KUBADILISHA MAYAI YAKE KUWA VIFARANGA ISIP...
26/03/2024

NJIA RAHISI YA KUFANYA YALIYO SHINDIKANA YAWEZEKANE💪

HAKUNA NAMNA KUKU ANAWEZA KUBADILISHA MAYAI YAKE KUWA VIFARANGA ISIPOKUWA KWA KUATAMIA TU.🐔🐣🐥

Ndiyo maana wakati wakuatamia kuku hujinyima, hata kula na ana jitenga na mambo yote mazuri, 🦃

Anakubali kupoteza kila kitu chenye faida kwake ili tu atimize siku za kuatamia kwake apate vifaranga.

Lakini kuku asie tulia kwenye kuatamia mayai yake, yana yanageuka na kuwa mayai viza na hapati watoto zaidi hupata hasara ya mayai na siku za kuatamia kwake.😪

HAKUNA NAMNA UNAWEZA KUBADILISHA MAISHA YAKO ISIPOKUWA KWA MAOMBI TU🙏💯

Watu wengi kwa kushindwa kutulia na kumsikiliza Mungu anasema nini kuhusu maisha yao binafsi
Nakushindwa kuomba mpaka waone majibu ya maombi yao.

Wamefanya maisha yao kuharibika na kuwa k**a vile mayai viza, wame kuwa k**a kuku asie atamia mayai anavyoweza kufanya mayai yake yageuke kuwa mayai viza, na maisha ya wengi yamekuwa viza.

Hakuna namna unaweza kubadislisha laana kuwa baraka isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha mateso kwenye ndoa yako isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha umasikini kuwa utajiri isipokuwa kwa bidii ya kazi na maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha mumeo asikusariti, isipokuwa kwa kuomba tu, 🙏
Maana k**a ni uzuri wengi ni wazuri na hawana waume📌

Hakuna namna unaweza kubadisha mkeo asikuache isipokuwa kwa kuomba tu. 🙏
Maana k**a nipesa kuna walio achwa na pesa zao📌

Hakuna namna unaweza kubadilisha elimu yako iwe ajira, isipokuwa kwa kuomba tu. 🙏
Maana kuna waliosoma wengi na wako nyumbani tu

Hkuna namna unaweza kubadisha dharau yako iwe heshima isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadisha ugonjwa wako uwe uzima, isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Maana kuna wengi wa walikuwa na madaktari bingwa na hospital za kimataifa na bado walipoteza maisha.

Hakuna namna unaweza kubadislisha kukopa kwako kuwe kukopesha isipokuwa kwa maombi tu.🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha kutoka mahusiano ya uchumba na kuwa ndoa isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha kutoka kuwa mfanyakazi wa kawaida na kuwa boss isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha kukataliwa nakuwa na kibali cha kukubalika isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha walio kusahau wakukumbuke isipokuwa kwa maombi tu 🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha jambo lolote isipokuwa kwa kuomba tu 🙏

NENO LA MUNGU LINASEMA TUOMBE BILA KUKOKOMA 1 WATHESALONIKE 5: 16🙏

Maombi na ushauri Whatsapp 0716 822126 💥

✍By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

DALILI (7) ZA KUJUA MAISHA YAKO YAMEFUNGWA NA ADUI.1. Huoni mambo mapya ya kufurahisha na kutia moyo ya kitokea kwenye m...
24/03/2024

DALILI (7) ZA KUJUA MAISHA YAKO YAMEFUNGWA NA ADUI.

1. Huoni mambo mapya ya kufurahisha na kutia moyo ya kitokea kwenye maisha yako.

Huoni ukipiga hatua chanya kwenye maisha

MFANO
Huoni ukiongezeka. Kuongezeka kimaendeleo.
Kuongezeka kiuchumi, kipato ulichokuwa nacho mwaka juzi ndiyo hicho hicho mpaka leo japo matumizi yameongezeka.

Matokeo yake kuna mambo mengi ya kuondoa pesa kuliko kuingiza ukipata pesa gafla kunatokea tatizo linalodai hiyo pesa itoke,
mtu wamhim anaumwa au kunatokea msiba au tatizo lingine la lazima.

2. Mawasiliano yako yanafungwa, hakuna anae kuletea taarifa njema unaletewa tarifa mbaya tu. AYUBU 1: 16 💥

Hata ikitokea ukapigiwa simu nyingi ni zamatatizo kuliko za Habari njema

MFANO
Unaweza pigiwa cm za kuachishwa kazi.

Kuachwa na mtu umpendae,
au simu za kulaumiwa na alie takiwa kukufariji.

Kupigiwa simu na wanaokudai kuliko unaowadai.

3. Hakuna ongezeko la watu wapya wenye msaada au faida kwenye maisha yako.

Zaidi wakiongezeka niwatu ambao inabidi wewe uwasaidie.

Watu wengi wanao kutafuta ni wale wazamani ambao na wao hawajapiga hatua yoyote kimaisha,

na story mnazopiga nikukumbushana historia za nyuma za mambo dhaifu mliyo pitia ambayo hayajengi chochote kwenye maisha yako.

Marafiki walio fanikiwa hata ukiwatafuta huoni wakijali sana kuhusu wewe,
hata k**a ulikuwa wa maana sana kwao
wanakuwa k**a hawana kumbu kumbu yoyote ya maana na wewe.

4. Kila kitu chako unakipata kwa kutumia nguvu nyingi na usumbufu isivyo kawaida.

Hata ikitokea umepata mtaji unataka kufanya biashara yoyote unapata hasara,

au unaambiwa umechelewa ungeifanya mwaka jana ilikuwa inalipa sana.

5. Unakosa kibali na heshima unapingwa na mazingira yako mwenyewe,

MFANO
Waliotakiwa kukuheshim wanakudharau,
hata ukiongea wanakuonyesha mapungufu yako,

Hata mke mume au watoto uliowazaa wanakosa kukuheshim,
Hata ukitoa maagizo hakuna anae tekeleza.

6. Ahadi za mambo mazuri kwako hazitimii

MFANO
Mtu anaweza kuku ahidi pesa ikifika ile siku ukimpigia cm anakuambia nilikuwa nayo pesa lakini kunajambo nimeifanyia,

au akasema nilisahau kabisa k**a nilitakiwa kukupa nimeitumia jana subili wakati mwingine.

Unaweza ukaahidiwa kupewa kazi na CV yako ninzuri hata kuliko hiyo kazi lakini ukashangaa anachukuliwa mtu unae mzidi kwa kila kitu.

Unaweza uka ahidiwa kuolewa au kuoana na mtu, lakini ukashangaa amebadili mawazo mwishoni na kumuoa mtu mwingine ambae hakuwa amemkusudia kabisa
MWANZO 29: 25 💥

7. Hali ya kukata tamaa na kuona kila jambo haliwezekani.

Uwezo ndani yako unafunga kila kitu kwako kinakuwa ni kigumu hata mambo uliyo kuwa unayaweza kirahisi yanageuka mzigo.

Kuna kuwa na vita ya ndani inayokuwa inakuambia usijaribu utashindwa utaanguka uta aibika,
Maana wewe huwezi, k**a alishindwa yule mwenye uwezo kuliko wewe wewe huwezi.

Una kuwa na mifano mingi ya watu walio shindwa, wenye uwezo kuliko wewe,

pia inakukumbusha ulipo anguka zaidi kuliko ulipo simama.🙏

Dalili hizi nimbaya sana kuna watu zimekaa kwenye maisha yao mpaka wame amini ndiyo hali yao na maisha waliyo pangiwa na Mungu,

Mpendwa hayo siyo maisha yako bali nishetani amevamia maisha yako,
na akitoka hapo nikukuua kabisa maana hana huruma.

UKIONA UNA HIZI DALILI KWENYE MAISHA YAKO CHUKUA HATUA YA KUINGIA KWENYE MAOMBI YA TOBA NA KUITIA DAMU YA YESU YA UKOMBOZI NA UPATANISHO,

ILI UKOMBOLEWE KUTOKA KWENYE MIKONO YA ADUI NA NGUVU ZA GIZA.

✍️By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

HATARI YA KIAPO CHA MAHUSIANO ❤‍🩹KUTOKA 23: 32. ''Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.'' Agano/Kiapo,...
01/02/2024

HATARI YA KIAPO CHA MAHUSIANO ❤‍🩹

KUTOKA 23: 32. ''Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.''

Agano/Kiapo, ni kitu kikubwa sana, kuna nguvu katika maagano. Unapoweka agano unasababisha lile agano liwe linaishi,
Unasababisha maisha yako yawe katika muelekeo wa agano ambalo umelifanya.

Ndiyo maana k**a hauna uhakika na kitu ni bora usiweke agano, usifanye Kiapo kwa sababu kuna saa utatamani ufanye vitu tofauti na kiapo ila lile agano litasimama k**a kifungo, likakuwekea wigo, au ukuta kwenye ulimwengu wa Roho.

Watu wengi wanapokuwa kwenye mahusiano na wanapoona wame pendana na wapenzi wao huwa wanafanya maagano mbali mbali ya kutokuachana.

Maagano ambayo yanaathiri na kumsababisha kijana au binti ashindwe kuingia kwenye ndoa, maagano ambayo
Yana sababisha ndoa yako ambayo imepangwa na Mungu ishikiliwe na shetani kwenye ulimwengu wa roho,

Unapofanya maagano ina maana unayapa mamlaka hayo maagano kuweza kukutawala wewe kwenye ulimwengu wa roho na wa mwili.

AINA ZA MAAGANO AU VIAPO

Kuna maagano ya damu, Maagano ya maneno
maagano ya matendo
maagano

Kiapo cha damu ni kile ambacho wapenzi hutumia damu kufanya maagano kwamba kamwe hawataachana na kwamba hata k**a wakiachana hawaweza kuingia kwenye ndoa na watu tofauti mbali na wao.

Maagano ya damu yanafanyika kwa kuchukua damu ya kijana wa k**e na wa kiume kisha kuichanganya kwa pamoja na kisha kutamka maneno ya kuapa kutokuachana.

Maagano ya maneno.. haya ni maneno ya kuapa ambayo kijana wa k**e na wa kiume wanaambiana.

Mfano : hatutaweza kuachana, wewe ni mke/mume wangu. Vijana wa k**e na wa kiume kuanza Kuitana mke au mme wakati bado hamjafunga ndoa unakuwa unatengeneza maagano kwenye ulimwengu wa roho kwamba nyie ni mke na mme.
Kuna vijana wamepeana hadi pete za ndoa, yaani hawajafunga ndoa ila tayari wanatumia pete za wana ndoa.

Maagano ya kimatendo, ni pale unapotumia mwili wako kwa kushiriki tendo la ndoa na mtu ambaye siyo mke wala mme wako. Mnakuwa mnatengeneza muunganiko kwenye ulimwengu wa roho ambao unakufanya muonekane k**a mke na mume.

Sasa mahusiano ambayo uliyafanyia maagano yanapovunjika, au yanapoisha hapa ndipo shida huanza,

kwa sababu tayari unakuwa umejiingiza kwenye maagano ya ndani halafu mahusiano yanavunjika na unatamani kuingia kwenye mahusiano mengine yanayo pelekea ndoa ila unashindwa kwa sababu ya Yale maagano ambayo umeyafanya yanakuwa bado yanaendelea kuishi kwenye ulimwengu wa roho huku yakikuathiri kwenye ulimwengu wa mwili.

Ili kuyavunja yale maagano yote uliyoyafanya unatakiwa kuingia kwenye toba ya utakaso kwa damu ya Yesu,

Ili ikutenganishe na nafsi ulizo jiunganisha nazo kwa viapo mbali mbali katika ulimwengu wa roho kwa maneno na matendo.

Lakini pia utatakiwa kufanya maombi ya ukombozi ili kukuondoa kutoka katika maagano ambayo umeyafanya ambayo sasa hivi yanaathiri kuolewa/kuoa kwako.

Vijana ambao bado hamja fanya maagano au unampango wa kufanya maagano na mtu uliyenaye kwenye mahusiano, nakushauri usije ukathubutu kufanya maagano na mtu ambaye huna uhakika naye k**a mtafunga ndoa au la!

Epuka kujiharibia maisha, kwa kufanya maagano ambayo baadaye yatakuja kukugharimu.
Na hata k**a uliingia kwenye maagano mabaya kiasi gani jua kuwa ipo damu ya Yesu ambayo kazi yake ni kufuta kila kitu na kukuletea mwanzo mpya.
Jua kuwa hakuna la kumshinda Yesu,

Katika jina la Yesu, navunja kila aina ya maagano ambayo yamesimama kwenye maisha yako k**a kizuizi cha kuingia kwenye ndoa yako. Kwa jina la Yesu

Kila agano ambalo lina simama kinyume na ndoa yako, kinyume na kuolewa kwako, kinyume na kuoa kwako naliondoa kwa damu ya Yesu Kristo, Ameen 🙌.
Uko huru sasa kwa jina la Yesu

By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

Maombi na ushauri 0716 822126 Whatsapp

26/01/2024

MAOMBI YA KUVUNJA NIRA YA KUCHEWESHWA KATIKA NDOA*‼️‼️‼️

AJENDA ZA MAOMBI KWA SIKU 7 🔥🔥🔥🔥

1. Moto wa Roho Mtakatifu, badilisha kuchelewa kwangu kuwa mafanikio ya ndoa mwaka huu kwa moto, katika jina la Yesu.

2. Kila kufuli inayoshikilia ndoa yangu iwake moto, kwa jina la Yesu.

3. Minyororo ya kucheleweshwa kwa ndoa na kukatishwa tamaa, inakatika kwa jina la Yesu.

4. Mungu ainuke na maadui wote walio nyuma ya ucheleweshaji wa ndoa yangu watawanyike, kwa jina la Yesu.

5. Miaka yangu iliyopotea, irudishwe kwa moto na na niingie katika ndoa ya mwaka huu, katika jina la Yesu.

6. Ninafuatilia, kuvuka na kuokoa ndoa yangu kutoka kwa mikono ya wazuia ndoa, katika jina la Yesu.

7. Madhabahu yoyote ya kishetani inayofunga ndoa yangu, itawanywe kwa moto, kwa jina la Yesu.

8. Kila mshale wa aibu, unaolenga maisha yangu katika mwaka huu wa 2024, unarudi nyuma, katika jina la Yesu.

9. Kila nguvu iliyoamriwa kunifanya niinuke na kuanguka katika uhusiano wangu bila ndoa, ife, kwa jina la Yesu.

10. Kila nguvu ya nyumba ya baba yangu, inayo chelewesha ndoa yangu inakufa, kwa jina la Yesu.

11. Laana na maagano ya kuchelewa kwa shetani katika maisha yangu kujaribu kunizuia nisiolewe/Kuoa,ife, kwa jina la Yesu.

12. Shimo la kina, kumeza fadhila zangu, upendeleo wangu wa ndoa na nafasi zangu za ndoa zinazitapika kwa moto, katika jina la Yesu.

13. Mlolongo wa kucheleweshwa kwa ndoa na kukatishwa tamaa mara kwa mara, inayoshikilia maisha yangu miaka hii yote, vunjila, kwa jina la Yesu.

14. Wingu la giza karibu na mafanikio yangu ya ndoa, tawanyikeni, kwa jina la Yesu.

15. Ninaangusha kila ngome ya kuchelewa kwa ndoa ya kishetani inayofanya kazi maishani mwangu, katika jina la Yesu.

16. Kila shujaa aliyepewa jukumu dhidi ya maendeleo yangu kuoa miaka baada ya miaka kadhaa na kufa, katika jina la Yesu.

17. Amri ya Shetani juu ya picha yangu kwamba sitaolewa/Kuoa kamwe, kufa, katika jina la Yesu.

18. Kila nguvu mbaya inayomaliza fadhila zangu, juhudi, fedha, na wakati katika uhusiano huu wa sasa kufa, katika jina la Yesu.

19. Kushindwa na msiba hautakuwa utambulisho wangu katika uhusiano huu mahususi, katika jina la Yesu.

20. Nguvu ya kudumaa kwa uhusiano na kufuta ndoa, kauka, kwa jina la Yesu.

21. Nitainuka na kuolewa/Kuoa kwa utukufu mwaka huu

Omba Dondoo za maombi hapo juu kwa imani

Fahim 0716 822126 💥

Mungu akubariki.

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

Maombi na ushauri 0716 822126 Whatsapp

NYOTA💥 YA MAHUSIANO💕 NA NDOA💞WENGI SIYO KUWA HAWAOLEWI/HAWAOI KWA SABABU HAWANA SIFA ZAKUWA WAKE ZA WATU AU WAUME ZA WAT...
29/12/2023

NYOTA💥 YA MAHUSIANO💕 NA NDOA💞

WENGI SIYO KUWA HAWAOLEWI/HAWAOI KWA SABABU HAWANA SIFA ZAKUWA WAKE ZA WATU AU WAUME ZA WATU. BALI WENGI WAME IBIWA NYOTA AU KIBALI CHA NDOA,

NDIYO MAANA UNAWEZA KUWA KWENYE MAHUSIANO NA MTU MUDA MUREFU
LAKINI SIKU AKIONYESHA NIA YA KUKUOA TU HUJUI SHIDA INATOKA WAPI NA MNAJIKUTA MMEACHANA KATIKA HALI ISIYO KUWA NA SABABU YA MSINGI AU INATOKEA TU HAKUTAFUTI TENA UKIONA HII HALI KWAKO JUA UMEIBIWA KIBALI CHA NDOA

MWINGINE UNAKUTA PALE UNAPOMPATA MTU SAHIHI TU NDIYO HAMDUMU KWENYE MAHUSIANO LAKINI AKIJA MTU AMBAE HANA MPANGO NA WEWE MNAKAA SANA HII NAYO NI SHIDA

MWINGINE ULIKUWA NA AMANI NA FURAHA KWENYE NDOA YAKO GAFLA MWENZIO AKABADILIKA BILA SABABU INAYOELEWEKA JUA KUNA MTU ALIKUIBIA NYOTA YA NDOA YAKO KATIKA ULIMWENGU WA KICHAWI ILI NDOA YAKO IVUNJIKE

UKIONA HIZI DALILI UNAZO KWENYE MAHUSIANO YAKO JUA UMEIBIWA NYOTA YA MAHUSIANO NA USIPO ANGALIA UNAWEZA USIOLEWE AU USIDUMU KWENYE NDOA HIVYO UNAHITAJI MAOMBI YA UREJESHO WA NYOTA NA KIBALI CHAKO CHA NDOA

By Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee upokee muujiza wako 🙏

Ushauri na maombi 0716 822126 Whatsapp 💚
Mtumishi Fahim

KILA NGUVU ILIYOFUNGA MAHUSIANO YAKO USIOLEWE USIZAE USIDUMU KWENYE NDOA IKUACHIE KUANZIA SASA KWA JINA LA YESU Kila man...
27/12/2023

KILA NGUVU ILIYOFUNGA MAHUSIANO YAKO USIOLEWE USIZAE USIDUMU KWENYE NDOA IKUACHIE KUANZIA SASA KWA JINA LA YESU

Kila maneno ya laana uliyo tamkiwa na maadui zako kuwa hutaoa hutaolewa, hutazaa, hutadumu kwenye ndoa, nayafuta kuanzia sasa kwa jina la Yesu

Nakutangazia kwa jina la Yesu Utaolewa Utazaa Utadumu kwenye mahusiano mpaka Ndoa, na utapata Watoto na furaha kwenye ndoa kwa jina la Yesu 💟

Kila giza lililofunika nyota yako na uzuri wako ili usionekane na watu sahihi wa kukuoa naliondoa kwenye maisha yako kwa jina la Yesu.

Nuru ya uzuri wako na nyota yako ionekane kwa watu sahihi kwa jina la Yesu 💥

Kila uganga na uchawi uliotumwa kuharibu hatima yako ili thamani yako isionekane na uteketeza kwa moto wa Mungu kuanzia sasa ukuachie kwa jina la Yesu.

Nakuvua kila vazi baya ulilovalishwa linalofanya ukataliwe na watu sahihi kwa jina la Yesu nalichana hilo vazi la giza likuachie

Kila mizimu ya kwenu inayopinga wewe kuolewa na mtu sahihi inayotaka uolewe na watu watakao endeleza uchawi na mira zakwenu ili udidimie kimaisha naivunja hiyo mazabahu ya mizimu kwenye maisha yako kwa jina la Yesu, kuanzia sasa uko huru
🙌

Kila mizimu ya kwenu iliyofunga tumbo ulipo olewa na mtu asiye wakwenu ili uachike na uteseke kwenye ndoa, naiteteketeza kwa moto wa Mungu ikuachie wewe siyo fungu lao kwa jina la Yesu

Kuanzia sasa utapata mimba utazaa, na uzao watumbo lako umefunguliwa kwa jina kuu la Yesu 💯

Kila majini mahaba yanayokutesa yakizuia watu sahihi na mafanikio kwenye maisha yako, nayakemea kwenye kila eneo la mwili wako na maisha yako kwa jina la Yesu yakuachie, hayana nafasi kwenye maisha yako, wewe ni mali ya Mungu hutamilikiwa na majini na mizimu kwa jina la Yesu

Sema mimi ni mali ya Mungu sitamilikiwa na mashetani kwa jina la Yesu 🙏

Kila mapepo yaliyo kuingia kwa njia ya tendo la ndoa ulilofanya na watu wasio sahihi, au kwa ndoto za wachawi usiku, yanayo sababisha wewe kupoteza nuru yako mume mke hana furaha na wewe. Nayaondoa ndani yako kwa jina la Yesu

Nakutakasa kwa damu ya Yesu kuanzia sasa wewe ni kiumbe kipya kwa damu ya Yesu, mumeo atakufurahia mkeo atakufurahia kwa jina la Yesu.

Nafuta roho ya taraka na kuachika inayosumbua ukoo wenu na kabila lenu. Wewe hutaachika kwa jina la Yesu.

NAKUTANGAZIA KUWA KUANZIA SASA UMEKUWA HURU VIFUNGO VIMEKUACHIA KWA JINA LA YESU. NAKUANZIA SASA UTAONA MABADILIKO KWENYE MAHUSIANO, NDOA, UCHUMI, NA MAISHA YAKO.

✍by Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee🙏

Maombi na ushauri 0716 822126 Mtumishi Fahim

19/08/2023

WEWE SIO WA KWANZA! 😊

1.Nuhu nae alikuwa mlevi lakini alipendwa na Mungu akaokoka katikati ya gharika.

2.Ibrahimu alikuwa mzee mwenye miaka 75 lakini Mungu alimuita.

3.Rahabu alikuwa kahaba lakini aliokoka kwenye maangamizi ya Yeriko na ingawa hakuwa Muisraeli alikuja kuwa Bibi yake Yesu.

4.Mfalme Daudi alizini na mke wa mtu alafu akaua mme wake bado akaja kuwa mfalme mkuu wa Israeli.

5.Ana alikuwa tasa na mke wa pili lakini alipata mtoto Samweli Muamuzi na Nabii Mkubwa wa Israeli.

6.Elizabeth nae Alikuwa tasa na zaidi pia KIKONGWE cha miaka pamoja na mumewe Wote Wakongwe lakini wakaja kupata mtoto Nabii Mukubwa Wa Israeli Yohana.

7.Musa alikuwa anakigugumizi mtu asiyeweza kuongea vizuri kwa ufasaha lakin akaja kuongoza kundi LA watu zaidi ya Milioni moja.

8.Malkia Esta alikuwa mtumwa tu kabla hajawa malkia kisha akainuliwa na kuli okoa taifa LA Mungu.

9.Yusufu alikuwa mtu asiependwa hata na ndugu zake wa damu, akawa mfungwa wa miaka mingi sana akawa kiongozi mkuu wa Misri.

10.Mwisho! Yesu nae alisurubiwa k**a Muarifu, na Kuteswa hadi kifo msalabani lakink akafufuka na mpaka sasa yeye ndie Bwana na mwokozi wa Ulimwengu wote.

Usiongope Mungu anakupenda na anaweza kukubadilisha kutoka kwenye hali uliyo nayo mwamini Mungu tu yeye anaweza kukubadilisha💯

HAYO YOTE UNAYO PITIA MPENDWA WAKO WATU WAMEPITA NA WENGINE SASA WANAENDELEA KUPITIA..... USIOGOPE WALA KUKATA TAMAA MAANA HAKIKA HAKUNA JARIBU LISILO NA MLANGO WA KUTOKEA UKO WAKATI NA WALA HAUKO MBALI KWA AJIRI YA VIFUNGO VYAKO KUFUNGULIWA.

UBARIKIWE. 🙏🙏🙏🙏

By Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp 💥

03/03/2023
MAOMBI KWA AJILI YA WATOTO WETU MASHULENI🙏 SHUKURANI*: Asante kwa kutupa zawadi ya watoto, kwa kuwa *wana ni urithi wa B...
09/01/2023

MAOMBI KWA AJILI YA WATOTO WETU MASHULENI🙏

SHUKURANI*: Asante kwa kutupa zawadi ya watoto, kwa kuwa *wana ni urithi wa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu*. Zaburi 127:3

1. *Mungu Baba, uwape watoto wetu KIBALI wanapoanza msimu huu wa Masomo*,
a.machoni pako BWANA
b.waalimu wote
c. Watendaji wote wa shule
*Na yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA na kwa watu pia* (1Samweli 2:26)

2. *Msimu huu Mungu Baba, mtume malaika AENDE MBELE ya watoto wetu, ili AWALINDE*.
a.Aende mbele ya njia wanazopita na kuwalinda
b.Aende mbele ya vyombo vya moto vyote wanavyotumia na kuwalinda
c. Aende mbele yao wanapokua njiani awalinde
d.Aende mbele yao wanapokua shuleni wakati wote(darasani, kwenye michezo), awalinde katika jina la Yesu.
*Tazama, mimi namtuma malaika aende mbele yako, ili akulinde njiani na kukupeleka mpaka mahali pale nilipokutengenezea* (Kutoka 23:20)

3. *Mungu Baba wafundishe watoto wetu KUHESHIMU NA KUTII MAMLAKA YA SHULE*;
a. Sheria za shule
b. Uongozi wa shule
c. Sheria za nchi
d. Wanafunzi wote
*Kila mtu na atii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka iliyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu* (Warumi 13:1)

4. *Wape watoto wetu marafiki WEMA*, waepushe na marafiki/makundi mabaya na ushawishi mbaya
*Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi, wewe usikubali* (Mithali 1:10)

5. *ROHO MTAKATIFU tembea na AKILI ZAO*, wafunulie akili zao waweze kuelewa masomo yao.
*Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko* (Luka 24:45)

6. *Kwa msaada wa ROHO MTAKATIFU wasaidie watoto wetu KUJUA mambo/vitu ambayo yamewekwa kuwadhoofisha KIROHO* wanapokua SHULENI.
*Lakini Danieli aliazimu moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme, wala kwa divai* (Danieli 1:8)

7. *Mungu Baba WATENGE KWA DAMU YA YESU watoto wetu na uovu wote*.
a.Watenge majina yao yasiwe katika orodha mbaya
b.Watenge na ubakaji/kubakwa
c.Watenge na kulawitiwa/ iana
d.Watenge na mimba mashuleni
e.Watenge na uvutaji bangi
f.Watenge na utoro shuleni
g.Watenge na kiburi/ ujeuri
h. Watenge na watu wabaya(waalimu) wenye roho chafu
*Nami siku hiyo nitatenga nchi ya Gosheni, na watu wangu wanayokaa ...*(Kutoka 8:22)

8. *Msimu huu, watoto wetu wakathibitike katika HAKI; na kuwa mbali na kUONEWA*.
a.Wasionewe wa wanafunzi wenzao
b.Wasionewe wanapokua njiani katika vyombo vya usafiri
c.Wasionewe darasani na waalimu
d.Wasionewe katika matokeo yao shuleeni WAPATE HAKI Jina la Yesu.
*Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa* (Isaya 54:14)

b. Wape ujasiri WASIOGOPE, na HOFU ISIWAKARIBIE
*....Kwa maana hutaogopa; na mbali na Hofu, kwa maana haitakukaribia*

NI MAJIRA YA USHINDI....🙏🙏🙏🙏

MAOMBI MAALUM YA KUKOMBOA👉MUME👉MKE👉NDOA👉MAHUSIANO👉UCHUMI👉BIASHARA👉KAZI👉WATOTO👉AFYA, NA KURUDISHA YALIYO POTEA😪 KWA JINA ...
28/11/2022

MAOMBI MAALUM YA KUKOMBOA👉MUME👉MKE👉NDOA👉MAHUSIANO👉UCHUMI👉BIASHARA👉KAZI👉WATOTO👉AFYA, NA KURUDISHA YALIYO POTEA😪 KWA JINA LA YESU Sema ameen🙏🙏

Tuandikie inbox 📥 majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako tukuombee 👏

28/11/2022

Tuambie shida yako tukuombee💯

MGONJWA YEYOTE POPOTE ULIPO IWE HOSPITALINI AU NYUMBANI POKEA UPONYAJI💚 KWA JINA LA YESU🙏🙏🙏
28/11/2022

MGONJWA YEYOTE POPOTE ULIPO IWE HOSPITALINI AU NYUMBANI POKEA UPONYAJI💚 KWA JINA LA YESU🙏🙏🙏

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758601212

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hekalu la Maombi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category