31/05/2026
Pamoja na kwamba nasi tunaombea watu,tunawatia moyo,na kuwainua waliochoka
Nasi pia huwa Kuna nyakati tunachoka,kuna nyakati tunapata hofu,kuna nyakati nguvu zinaisha .Na ni Katika nyakati hizo tunahitaji nasi watu wa kutuombea na kutuinua mbele za Mungu.
Jana ilikuwa ni siku ya baraka baada ya kuhudumia wengine nasi tukapata muda wa kuombewa na baba ,Mwalimu wetu Mwalimu Mgisa Mtebe .
Ilikuwa nasi ni muda wa kujicharge
Je wewe unao watu wanaoweza kukuombea
Hakikisha kwenye mzunguko wako wanakuwepo watu maalum wa kukuinua mbele za Bwana
ELM YOUTH SUMMIT 2026
Pastor Winnie Kilemo
Empower Life Ministries
Transforming Lives