14/06/2024
Ufanisi katika utumishi si jambo la bahati mbaya ni matokeo ya Maandalizi. Katika eneo la Maandalizi hauwezi kamwe kuepuka mafundisho. Hatuna mashaka na ukweli ama uhalisia wa wito wako lakini moja kati ya mambo yatakayosema kiwango chako cha unyenyekevu ni utayari wa kujifunza kwa wengine. Wito si mbadala wa kujifunza.
Tukutane kwenye DARASA LA UTUMISHI kesho. Fuata taratibu za kwenye tangazo na usikose.