11/08/2026
Ni siku nyingine tena nakukumbusha usikae kimya na ukashindwa kumshukuru Mungu maana wapo wengine waliotamani kuiona siku k**a hii ya pekee lakini hawakupata nafasi kuiona usiache kujua kwamba lipo kusudi la Mungu ndani yako ndicho chanzo cha sababu Kuu kwanini bado upo hai.
Tafuta kulijua hilo kusudi la Mungu ndani yako ili ulitimize na uende na wakati utafanikiwa usichoke kumtumaini Mungu katika hali zote ulizonazo.
Nakukumbusha wewe uliyekwisha kuona umesimama jiangalie usije ukaanguka tena endelea kuwa mnyenyekevu na mwenye kujali wengine na kuwasaidia, Bwana Mungu Awabariki na Kuwalinda