23/12/2023
Bwana Yesu asifiwe wa pendwa.
Napenda kuwa karibisha katika ibada ya juma pili ya tar 24/12/2023 ni juma pili ya matendo makuu ya Bwana ntaombea mtu mmoja mmoja na kumpaka mafuta ya kuinuliwa k**a daudi alivyo pakwa mafuta na samweli ili kuinuliwa kuwa mfalme. Muda ni saa 3:30 asubui mpaka 7:00 mchana. Naomba uje juma pili hii mafuta nitakayo kupaka yatakuwa ni mafuta ya kuinuliwa kazini kwako, kuinuliwa kwenye cheo, kuinuliwa kibiashara na utainuliwa kila mahali na Bwana kupitia mafuta haya mwaka 2024.
Mahali ni njia panda ya Tegeta A njia ya kwenda kwa bedui unashuka kituo cha darajani.
Utakuwa umefika au piga simu 0763484094
Wote mnakaribishwa. Ibada hii ni bure.