14/06/2021
Nilete wito katika Jina la Yesu:
1. Kadi zipo kwaajili kuwashirikisha marafiki zetu.
2. Tununue mchele na vitu vya Huduma ili kutunisha mfuko wa Misheni. _Unaweza kula na Misheni.
3. Standing Order. Unaweza kuelekeza benki kupeleka kiasi kisichopungua sh 15,000.00 kila mwezi au simu yako - kiasi chochote - kuelekea akaunti za *KUFIKA KUSIKOFIKIWA:*
Benki ya Azania, Jina: JG Foundation. Na. *011000007606.* Au;
Simu *0755 21 30 23* - Jina litakuja *Jesus Glory.*
4. Ahadi. Unaweza kuahidi kumtumikia Mungu kwa kiasi unachosikia moyoni kutumika ili *Kumletea Mungu Watu Wamwabudu.*
5. Ubia. Unaweza kuingia ubia - biashara yako ama kazi yako kuwa kila pato utakalopata utatoa kiasi au asilimia (%) fulani katika kazi ya *Kumletea Mungu Watu Wamwabudu.*
Karibu. Shiriki Kazi hii. *_Tumpelekee Mungu Watu Wamwabudu_*