23/11/2025
Kumtumainia Bwana By Mr Mshumbusi.
• Neno linasema tumtumainie Bwana
• Wapo wanaotegemea wake, wanaume, maboss, vyeo na uchumi, makabila
• Kila mmoja ana kila anachokitegemea
• Lakini Roho wa Mungu anasema tumtumainie yeye
Proverbs 3:1 My son, forget not my law; but let thine heart keep my commandments:
Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.
• Mwanangu uzishike sheria yangu
• Zitakuongezea amani
• Anazidi kumjenga, sisi ni watoto wa Mungu sasa anatuagiza, tufate sheria yake ili tuzidi kumpendeza Mungu•
Proverbs 3:2 For length of days, and long life, and peace, shall they add to thee.
Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani.
Proverbs 3:3 Let not mercy and truth forsake thee: bind them about thy neck; write them upon the table of thine heart: Rehema na kweli zisifarakane nawe;
Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
• Ukakiishi ukakifanyie kazi
• Unapokua unaishi maisha ya kumpendeza Mungu, Mungu atakutumia kuyafanya makuu katika maisha yako
• Kila mtu ana kile anachokitegemea katika maisha yake
• Tumtumainie Mungu yeye ndo ataleta mvua, ataleta msaada wote
• Katika mapito yako tumkiri yeye
• Katika vyote vile sio kwamba una akili sana bali ni Mungu amekufanikisha katika hio hatua nzuri
Proverbs 3:4….