house_of_grace_klpt

house_of_grace_klpt Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from house_of_grace_klpt, Religious organisation, Dar es Salaam.

BADO LIPO TUMAINIBy Pastor Awesu• Tumaini ni hali ya kuwa na matarajio ya kitu kizuri kutokea katika siku zijazo au mda ...
23/01/2026

BADO LIPO TUMAINI
By Pastor Awesu
• Tumaini ni hali ya kuwa na matarajio ya kitu kizuri kutokea katika siku zijazo au mda fulani
• Tunakua na tumaini kuwa baada ya mda fulani au nyakati fulani tunaamini kuna kitu kinachoweza kwenda kutokea
• Unahisi kuwa na mwanga mwishoni mwa handaki
• K**a umeshawahi ingia katika handaki mbalimbali mfano Amboni caves
• Baada ya kiza kinene cha mda mref na kuangaika vya kutosha
• Kwa mbali sana tumaini likaanza kuja na tutafika ng’ambo
• Kuna mda hauna kabisa tumaini kutokana na vile vitu unavyovipitia
Job 14:7

Karibu katika ibada hapa   tutafurahi kukuona na Mungu atakubariki. Kwa mawasiliano zaidi:+255 767 198 498
03/01/2026

Karibu katika ibada hapa
tutafurahi kukuona na Mungu atakubariki.

Kwa mawasiliano zaidi:
+255 767 198 498

• Tunamtafta Yesu ili tupate urahisi wa maisha kwasababu huko nje MFUMO UMEJAA UDANGANYIFU• KIWANGO CHA MAISHA KINACHOTO...
15/12/2025

• Tunamtafta Yesu ili tupate urahisi wa maisha kwasababu huko nje MFUMO UMEJAA UDANGANYIFU
• KIWANGO CHA MAISHA KINACHOTOKANA NA ELIMU YA BIBILIA HUWEZI KUKIPATA SEHEMU YOYOTE
• Kokote ulipo NIPO HAPA KUTUMIKA
Matthew 20:20-23
• Je hawa wanao kikombe wanachotaka kukinywea watakiweza
• Lakini Baba aliowaandalia ndio watapewa
Akawaambia, Hakika mtakinywea kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kuume na mkono wangu wa kushoto, sina amri kuwapa, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.
• Wengine 10 wakaona k**a wale wengine wanataka kuwa juu yao
• Hata wazazi wamekua wakituhamasisha tuwe wa kwanza.

Neno la Uzima By Pastor Emmanuel Shaidi• Mda ambao tunamlaumu Mungu sana• Na Mungu anakaa na kuangalia kuwa mbona ametuf...
07/12/2025

Neno la Uzima By Pastor Emmanuel Shaidi
• Mda ambao tunamlaumu Mungu sana
• Na Mungu anakaa na kuangalia kuwa mbona ametufanyia mambo mengi sana
• Lakini kwenye bibilia inasema ametufanyia mambo YOTE
• Maana mengi sana kuna mengine yanaweza kuwa yamebaki
• Lakini Mungu ametufanyia YOTE
• Baada ya Neno hili utapunguza kuona shida ipo kwa Mungu na kuona Mungu ameshafanya
• Hivi mnawaza kuhusu Mungu au kuhusu maisha yenu
• Wanadamu most of the time unawaza kuhusu wewe au sisi
• Mungu ametupa neno lake
Matthew 4:1 Then was Jesus led up of the Spirit into the wilderness to be tempted of the devil. Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
• Alipelekwa na Roho nyikani ili ajaribiwe na Ibilisi.

Matthew 4:2

Kumtumainia Bwana By Mr Mshumbusi.• Neno linasema tumtumainie Bwana• Wapo wanaotegemea wake, wanaume, maboss, vyeo na uc...
23/11/2025

Kumtumainia Bwana By Mr Mshumbusi.
• Neno linasema tumtumainie Bwana
• Wapo wanaotegemea wake, wanaume, maboss, vyeo na uchumi, makabila
• Kila mmoja ana kila anachokitegemea
• Lakini Roho wa Mungu anasema tumtumainie yeye
Proverbs 3:1 My son, forget not my law; but let thine heart keep my commandments:
Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.
• Mwanangu uzishike sheria yangu
• Zitakuongezea amani
• Anazidi kumjenga, sisi ni watoto wa Mungu sasa anatuagiza, tufate sheria yake ili tuzidi kumpendeza Mungu•
Proverbs 3:2 For length of days, and long life, and peace, shall they add to thee.
Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani.
Proverbs 3:3 Let not mercy and truth forsake thee: bind them about thy neck; write them upon the table of thine heart: Rehema na kweli zisifarakane nawe;
Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
• Ukakiishi ukakifanyie kazi
• Unapokua unaishi maisha ya kumpendeza Mungu, Mungu atakutumia kuyafanya makuu katika maisha yako
• Kila mtu ana kile anachokitegemea katika maisha yake
• Tumtumainie Mungu yeye ndo ataleta mvua, ataleta msaada wote
• Katika mapito yako tumkiri yeye
• Katika vyote vile sio kwamba una akili sana bali ni Mungu amekufanikisha katika hio hatua nzuri
Proverbs 3:4….

Ibada ya jumapili  Siku ya wanaume (Huduma ya wanaume Kanisani - HWK) wiki hii ikihitimishwa leo katika makanisa ya KLPT...
23/11/2025

Ibada ya jumapili
Siku ya wanaume (Huduma ya wanaume Kanisani - HWK) wiki hii ikihitimishwa leo katika makanisa ya KLPT.

17/11/2025
John 6:29 Jesus answered and said unto them, This is the work of God, that ye believe on him whom he hath sent.Yesu akaj...
09/11/2025

John 6:29 Jesus answered and said unto them, This is the work of God, that ye believe on him whom he hath sent.
Yesu akajibu, akawaambia, Hii ndiyo kazi ya Mungu, mmwamini yeye aliyetumwa na yeye.
• Walitaka kumk**ata kwa nguvu awe mfalme
• Ukitokana na ishara ambazo aliweza kufanya
• K**a mikate kuwatosha wote wakala
• Swali ni Kazi za Mungu ni ipi
• Ni kumwamini yeye aliyetumwa na yeye
• Kuna watu wengi hawamwamini Yesu
• Kuna watu wanauza bibilia ila hawamwamini Yesu
• Kila kitu kinachohusu kazi za Mungu yote yanatokana na kumwamini Yesu
• Kuna watu wanadhani akibadili dini anadhani anamwamini Yesu
• Lakini ni zaidi ya hapo
• Katika nyumba za ibada kuna huduma nyingi zinatolewa ko wengi wanaenda kwa ajili ya huduma hizo na sio kuwa na imani
• Kuna watu wapo nyumba za ibada ila moyo wao haupo katika huyo anayeabudiwa
• Kazi ya Mungu ni kumwamini yeye aliyetumwa na baba
Hebrews 11:1 Now faith is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen. Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

Neno la Siku Ya Wanawake By Greater Yona (WWK~2025)* Wanawake watumishi katika Kristo* Wanawake wameandikwa kwasababu wa...
28/10/2025

Neno la Siku Ya Wanawake By Greater Yona (WWK~2025)
* Wanawake watumishi katika Kristo
* Wanawake wameandikwa kwasababu walikuepo na walikua wanaenda na Kristo kila mahali.
Matthew 28:8
Wakaondoka upesi kutoka kaburini, kwa hofu na furaha nyingi, wakaenda mbio kuwapasha wanafunzi wake habari.
* Hapa tunaangalia wanawake walivyokua watumishi wa Kristo
* Tunaona wanawake walivyothaminiwa na wamekua watumishi wake
* Neno la Mungu ni dira letu
* K**a wanawake walivyosikia neno la Bwana wakafanyika mabalozi kwa wenzio
* Ukijitambua na kusimama katika nafasi yako Mungu atakutumia
* Kuna baraka za Mungu katika kusikia na Kutenda.

Wiki ya wanawake KLPT
Karibuni sana.

Roho bora By Pastor Emmanuel Shaidi* Una roho bora* Uwezo wa hii Roho iliopo ndani yetu ni Immeasurable* Mwamini ana Roh...
20/10/2025

Roho bora By Pastor Emmanuel Shaidi
* Una roho bora
* Uwezo wa hii Roho iliopo ndani yetu ni Immeasurable
* Mwamini ana Roho wa Mungu ndani yake
* Sisi tuna Roho Bora
* Roho iliyopo ndani yetu ni roho Bora na Yenye Nguvu
* Daniel alikua na roho bora na yenye faida.
* Danieli alipata sifa
* He had distinguished himself ABOVE the others
* Because AN EXCELLENT SPIRIT was in Him
* Kwakua ROHO BORA ilikua ndani yake
* K**a roho bora iko ndani yako hakuna lolote litakalokuja mbele yako litakushinda
* Kuna vitu ambavyo ibilisi anakuonesha kuwa hizi ni hadithi
* Mungu anaweza kufanya na ameshafanya
* Mungu anaishia kwenye ule uchizi wako
* Remove reasoning uache uweza wa Mungu
* Lakini k**a una akili nyingi huwezi kuona mambo ya Mungu
* Yule Roho bora anakudistinguish
* Kwasababu anataka uwe tofauti na wengine
* Inapokuja the things of God usiwe unatumia akili sana maana itazuia imani yako.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when house_of_grace_klpt posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share