Gezaulole SDA Church

Gezaulole SDA Church Huu ni ukurasa wa Kanisa la Waadiventista Wasabato Gezaulole. Katika ukurasa huu utakutana na habari mbali mbali kuhusu kanisa la wasabato Gezaulole.

Hii ni pamoja na Siku za ibada, muda wa ibada, matukio mbali mbali yatakayojiri kanisani.

Sabato ya leo tumebarikwa Sana
15/01/2022

Sabato ya leo tumebarikwa Sana

04/09/2021

One day at time... Tunabarikiwa na shule ya Sabato

Mhubiri wa leo Muinjili Magot
31/07/2021

Mhubiri wa leo Muinjili Magot

31/07/2021

Mwalimu Enock akiimba wimbo unao husu fungu kuu. Hii ni baada ya Mhubiri kumtaka atunge wimbo huo wakati wa shule ya sabato ili auimbe wakati wa ibada kuu....

31/07/2021

Somo la sadaka....Mwalimu Shadraka

31/07/2021
31/07/2021

Mzee Peter Daudi akitoa utangulizi

31/07/2021

Tumeanza ibada kuuu

Sasa ni matangazo ya kanisa mzee Amos Magala anatangaza
31/07/2021

Sasa ni matangazo ya kanisa mzee Amos Magala anatangaza

Tunasikiliza somo la nchi za mbali....
31/07/2021

Tunasikiliza somo la nchi za mbali....

31/07/2021

Mpe Yesu nafasi ya kwanza

Tumeanza shule ya sabato....leo inaongozwa na idara ya afya
31/07/2021

Tumeanza shule ya sabato....leo inaongozwa na idara ya afya

Address

Dar Es Salaam
255

Telephone

0753350429

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gezaulole SDA Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share