16/10/2024
Hadithi ya kweli ya Maisha
Kijana huyu wa mtaani huwa kila mara anaomba pesa kwenye magari, alivyosogelea gari la huyu mama pichani alimuona ana mtungi mkubwa wa gesi, (ukiangalia picha kwa karibu utauona). Akamuuliza "mama huo mtungi ni wa nini"?
🔸Mama akamjibu ni wa kusambaza hewa ya Oxygen kwenye mwili wangu, Huyu kijana pichani akalia sana machozi yakimbubujika na kumuonea huruma akamshika mkono na kumuombea kwa Mungu ili aweze kumponya pia akampa hela zote alizoomba siku ile kwani yeye ana afya njema,anapumua vizuri. Alijiona mwenye afadhali,asiye na shida akamuomba Mungu msamaha kwa kulalamikia hali yake duni ya maisha.
🔹Huyu mama alikuwa anaishi kwa kutembea na mtungi wa gesi pamoja na ka jenereta kadogo popote anakoenda ili mwili uweze (kupumua) kupata hewa ya oxygen. Na hii ndio ilikuwa hali ya huyu mama kwa miaka mingi iliopita.
Lakini mara baada ya maombi ya huyu mtoto kwa mama huyu,Mama huyu alipona kabisa,na Mama huyu alirudi na kumchukua mtoto huyu na kuamua kuishi naye kwake,akampeleka shule na mpaka sasa mtoto huyu anaendelea na masomo,,,, Hii tunaita miujiza miwili kwa mara moja
◾CHA KUJIFUNZA HAPA
KATIKA MAISHA MDA MWINGINE UNAWEZA KUJIHISI WEWE NDIO UNA SHIDA SANA KUMBE KUNA WENGINE WANA SHIDA ZAIDI YAKO LAKINI HAWAJAKATA TAMAA WANAENDELEA KUPAMBANA NA KUZIDI KUMUOMBA MUNGU....🙏🙏
▶Kwanini wewe Ukate Tamaa ? Inukaa sasa endelea Kupamabana Huku ukimtanguliza Mungu Utashinda..🙏💪
Ni maombi yangu kwamba Mungu atakutendea muujiza katika mazingira ambayo hukuyategemea, maana njia zake hazichunguziki na mawazo yake sio sawa na mawazo ya Wanadamu,,,,Na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo
follow Page Yetu.. Ubarikiwe sana