Soul Winning For Christ

Soul Winning For Christ Soul Winning for Christ | Matthew 28:19
Reaching the lost with the Gospel of Jesus Christ
Revival • Salvation • Kingdom Impact

14/04/2026

01/03/2026

Soma ushuhuda huu wa Nguvu utakaoinua imani yako

Niliambiwa na daktari nina uvimbe mkubwa kwenye kizazi hivyo sitaweza kupata ujauzito, baada ya miaka kadhaa ya kutozaa, shinikizo, kejeli na mateso kutoka kwa marafiki, majirani na wakwe zangu.. haswa mama mkwe...

Mume wangu alisimama nami na tuliweka imani yetu kwa Mungu,nikafanyiwa maombezi huku tukiamini Mungu pekee ndiye mwenye neno la mwisho juu ya hali yoyote na leo, hatimaye Mungu ametubariki na watoto 3 wazuri, hakika Yesu kristo kaondoa huzuni yangu

.... unayesoma Ushuhuda huu ndiye unayefuata kutendewa na Mungu,na ndivyo itakavyokuwa katika Jina Kuu la Yesu kristo..... Andika Amen iwe ya kwako 🙏

25/02/2026

Usipite bila kusoma ushuhuda huu

Kijana mmoja aliota watu wa nyumbani kwake wakijiandaa kwa mazishi. Lakini hakujua ni nani aliyekufa. Ikabidi aende kwa jirani mmoja na kumuuliza "samahani mzee, hapa ndipo kwetu lakini naona watu wanalia, wengine wanaandaa mazishi. Nani alikufa?" Mzee akajibu, "nenda kwenye jeneza ukajionee mwenyewe"
kijana akaenda kutazama, aliona yupo ndani ya jeneza. Yaani Yeye ndiye aliyekufa. Alipiga kelele kubwa kuwaambia watu, tafadhali msinililie wala msinizike, niko hai. Lakini wakajibu, umechelewa, lazima uzikwe. Mara akainuka kutoka usingizini, kwa hofu. Akapiga magoti na kumwomba Mungu hivi: Baba ikiwa mtu yeyote anatazamia Kuniua Ee Mungu upigane nao kwa ajili yangu, kisha akarudi kulala.
Asubuhi akapokea simu kuwa mjomba wake kijijini amefariki.

Sasa ninakuombea Kwamba watakaonyoosha mikono yao juu yako kwa mabaya, Mungu awashughulikie haraka., Mungu asimame na akupiganie vita dhidi ya maadui zako kwaajili yako, na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo

Andika Amen Iwe ya kwako

Kwa Maombi na maombezi +255714405935

20/10/2024

wewe ndiye Utavunja mnyororo wa umaskini kwenye familia yako .. andika Amen

17/10/2024

k**a unaamini ni Mungu amekulinda kuanzia Asubuhi mpaka usiku huu,tumia dakika moja kuandika Asante Mungu

17/10/2024
Hadithi ya kweli ya MaishaMama mmoja alimwacha mtoto wake kitandani amelala baada ya kumnyonyesha, na kwenda kwenye soko...
17/10/2024

Hadithi ya kweli ya Maisha

Mama mmoja alimwacha mtoto wake kitandani amelala baada ya kumnyonyesha, na kwenda kwenye soko la karibu kununua vyakula.
Aliporudi dakika chache baadaye, alikuta nyoka hai juu ya kitanda. Kwa hofu, alimpiga nyoka kwa kuni na kumuua.
Kwa bahati nzuri mtoto wake alikuwa hajaumwa na yule nyoka mweusi!
.
Unaweza kufikiria kuwa ni kawaida kwa nyoka kutomuuma mtoto? Hapana. Lakini ukweli ni kwamba, Mungu alikuwa akimlinda sana mtoto huyo!
.
.
Ninawaombea wote wanaosoma hadithi hii; Mungu akulinde wakati hatari , Maadui zako watakapotaka kukuangamiza wasifanikiwe kwasababu unalindwa na Damu Ya Yesu Kristo, Wewe, familia yako, na watu wa karibu na wewe,,,na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo

Andika Amen Iwe ya kwako kisha follow page hii ya Biblia

Inasikitisha sana Mzee mmoja alikuwa ndani ya gari-moshi, akasimama na kuwaambia abiria, “YESU ANAKUJA HIVI KARIBUNI!”  ...
16/10/2024

Inasikitisha sana

Mzee mmoja alikuwa ndani ya gari-moshi, akasimama na kuwaambia abiria, “YESU ANAKUJA HIVI KARIBUNI!” Kisha mwanamke mmoja akapaza sauti, “Nyamaza, hujui lolote na Yesu wako hata hayupo.” Mzee aliona aibu na kukaa chini. Lakini Mungu aliendelea kusema naye moyoni mwake kwamba aendelea kuzungumza juu ya kuja kwa Yesu. Alitii sauti ya Mungu na akasimama tena akisema, “Yesu anarudi, tunahitaji kutubu dhambi zetu na kumkubali leo.” Kisha yule mwanamke ambaye alipiga kelele hapo awali aliinuka huku mtoto wake akiwa karibu naye kwenye kiti, na kumshambulia kwa kumpiga vibaya yule mzee masikini. Akiwa anaendelea kumshambulia mzee maskini,,mtoto wake akamwambia. , “Mama acha Kumpiga Babu , ametumwa na Mungu.” Kisha yule mwanamke akapiga magoti na kuanza kulia! 😭
Mzee akamuuliza, “Kwa nini unalia?”

Mwanamke akasema: “Mwanangu alikuwa bubu na sasa anazungumza!”

Somo

haijalishi unakabiliana na nini maishani kamwe usiache kumwamini Mungu na kamwe usimkasirikie Mungu na kukataa Mambo yahusuyo Mungu kutokana changamoto unazopitia kwenye maisha yako

Tambua kwamba Mungu Yuko Hai na Wakati wowote anaweza kukutendea muujiza kwenye maisha yako Hali unayopitia ikabakia Historia

Naomba ukumbuke kulike ukurasa wetu na pia Itakuwa vizuri zaidi ukiwashirikisha wengine Ushuhuda huu na hadithi hii

Mungu akubariki sana

Hadithi ya kweli ya MaishaKijana huyu wa mtaani huwa kila mara anaomba pesa kwenye magari, alivyosogelea gari la huyu ma...
16/10/2024

Hadithi ya kweli ya Maisha

Kijana huyu wa mtaani huwa kila mara anaomba pesa kwenye magari, alivyosogelea gari la huyu mama pichani alimuona ana mtungi mkubwa wa gesi, (ukiangalia picha kwa karibu utauona). Akamuuliza "mama huo mtungi ni wa nini"?
🔸Mama akamjibu ni wa kusambaza hewa ya Oxygen kwenye mwili wangu, Huyu kijana pichani akalia sana machozi yakimbubujika na kumuonea huruma akamshika mkono na kumuombea kwa Mungu ili aweze kumponya pia akampa hela zote alizoomba siku ile kwani yeye ana afya njema,anapumua vizuri. Alijiona mwenye afadhali,asiye na shida akamuomba Mungu msamaha kwa kulalamikia hali yake duni ya maisha.

🔹Huyu mama alikuwa anaishi kwa kutembea na mtungi wa gesi pamoja na ka jenereta kadogo popote anakoenda ili mwili uweze (kupumua) kupata hewa ya oxygen. Na hii ndio ilikuwa hali ya huyu mama kwa miaka mingi iliopita.

Lakini mara baada ya maombi ya huyu mtoto kwa mama huyu,Mama huyu alipona kabisa,na Mama huyu alirudi na kumchukua mtoto huyu na kuamua kuishi naye kwake,akampeleka shule na mpaka sasa mtoto huyu anaendelea na masomo,,,, Hii tunaita miujiza miwili kwa mara moja

◾CHA KUJIFUNZA HAPA
KATIKA MAISHA MDA MWINGINE UNAWEZA KUJIHISI WEWE NDIO UNA SHIDA SANA KUMBE KUNA WENGINE WANA SHIDA ZAIDI YAKO LAKINI HAWAJAKATA TAMAA WANAENDELEA KUPAMBANA NA KUZIDI KUMUOMBA MUNGU....🙏🙏

▶Kwanini wewe Ukate Tamaa ? Inukaa sasa endelea Kupamabana Huku ukimtanguliza Mungu Utashinda..🙏💪

Ni maombi yangu kwamba Mungu atakutendea muujiza katika mazingira ambayo hukuyategemea, maana njia zake hazichunguziki na mawazo yake sio sawa na mawazo ya Wanadamu,,,,Na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo

follow Page Yetu.. Ubarikiwe sana

Hadithi ya kweli ya  maisha,Nilihitimu miaka 8 iliyopita na Tangia hapo nilianza kutafuta Ajira Nilihitimu kwa kupata ma...
16/10/2024

Hadithi ya kweli ya maisha,

Nilihitimu miaka 8 iliyopita na Tangia hapo nilianza kutafuta Ajira
Nilihitimu kwa kupata matokeo mazuri sana lakini Kazi kwangu ilikuwa Tatizo

Niliingia kwenye mahusiano na mchumba wangu miaka 5 kabla ya kuhitimu na alikuwa na matumaini kwamba nitapata kazi baada ya kumaliza Shule na tutafunga ndoa na kuishi pamoja k**a mume na mke , lakini hapo ndipo hofu yangu ilipoanzia

Nilienda kwenye interview kwenye taasisi zaidi ya 9 lakini wote waliniambia kitu kile kile.... "Samahani haujakidhi vigezo vya kupata ajira hii"....Haa!😳 Wakati ninaufaulu wa hali ya juu

Siku moja mchumba wangu alinialika kwenye Kanisa lake na baada ya mchungaji kumaliza kuhubiri Alingia kwenye maombi na neno lake la kinabii lilikuwa maalumu kwaajili yangu

Alitoa unabii akisema,, kuna kijana ambaye hatima yake imefungwa na shetani na hii imesababisha ashindwe kupata kazi kwa miaka mingi, baada ya mchungaji kuomba niliitikia Amen kwa sauti kubwa huku nikiwa na imani,na niliamini alikuwa anaongea na Mimi

Wiki iliyofuata kampuni kubwa ya mafuta iliniita haraka na kunipa Ajira,walinipa usafiri wangu binafsi,walinipa nyumba mpya na waliadhimia kunihudumia kwa kila ambacho nitakuwa nakihitaji
Hakika bado Mungu wetu yupo kwenye biashara ya kufanya Miujiza

Sasa Ninatamka kwamba ikiwa utajinyenyekeza na kusema Amen kwa Imani,, mambo mawili yatatokea kwako

{1}kila mipango ya shetani ambayo imekuzuia kubarikwa na kufanikiwa itaharibiwa

{2} Baraka zako zitakupata kabla ya Mwaka 2024 kuisha na hadithi ya maisha yako itabadilika

Na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo

Ikiwa wewe ndio huyo mtu ninaye ongea naye Andika Amen Yenye Nguvu usisahau kuffolow ukurasa huu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soul Winning For Christ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share