Uamsho wa Injili Afrika

Uamsho wa Injili Afrika Tunamhubiri Kristo, tunajenga imani na kuwaongoza watu kwa Kristo. ONE AFRICA, ONE MISSION, ONE JESUS

Uamsho wa kweli unaanzia moyoni.

Hadithi ya kweli ya  maisha,Nilihitimu miaka 8 iliyopita na Tangia hapo nilianza kutafuta Ajira Nilihitimu kwa kupata ma...
11/08/2026

Hadithi ya kweli ya maisha,

Nilihitimu miaka 8 iliyopita na Tangia hapo nilianza kutafuta Ajira
Nilihitimu kwa kupata matokeo mazuri sana lakini Kazi kwangu ilikuwa Tatizo

Niliingia kwenye mahusiano na mchumba wangu miaka 5 kabla ya kuhitimu na alikuwa na matumaini kwamba nitapata kazi baada ya kumaliza Shule na tutafunga ndoa na kuishi pamoja k**a mume na mke , lakini hapo ndipo hofu yangu ilipoanzia

Nilienda kwenye interview kwenye taasisi zaidi ya 9 lakini wote waliniambia kitu kile kile.... "Samahani haujakidhi vigezo vya kupata ajira hii"....Haa!๐Ÿ˜ณ Wakati ninaufaulu wa hali ya juu

Siku moja mchumba wangu alinialika kwenye Kanisa lake na baada ya mchungaji kumaliza kuhubiri Alingia kwenye maombi na neno lake la kinabii lilikuwa maalumu kwaajili yangu

Alitoa unabii akisema,, kuna kijana ambaye hatima yake imefungwa na shetani na hii imesababisha ashindwe kupata kazi kwa miaka mingi, baada ya mchungaji kuomba niliitikia Amen kwa sauti kubwa huku nikiwa na imani,na niliamini alikuwa anaongea na Mimi

Wiki iliyofuata kampuni kubwa ya mafuta iliniita haraka na kunipa Ajira,walinipa usafiri wangu binafsi,walinipa nyumba mpya na waliadhimia kunihudumia kwa kila ambacho nitakuwa nakihitaji
Hakika bado Mungu wetu yupo kwenye biashara ya kufanya Miujiza

Sasa Ninatamka kwamba ikiwa utajinyenyekeza na kusema Amen kwa Imani,, mambo mawili yatatokea kwako

{1}kila mipango ya shetani ambayo imekuzuia kubarikwa na kufanikiwa itaharibiwa

{2} Baraka zako zitakupata kabla ya Mwaka 2026 kuisha na hadithi ya maisha yako itabadilika

Na ndivyo itakavyokuwa katika Jina la Yesu kristo

Ikiwa wewe ndio huyo mtu ninaye ongea naye Andika Amen Yenye Nguvu

11/08/2026
10/08/2026

Jumatatu yako imebarikiwa

08/08/2026

Mtu wa Mungu hapigi Mke๐Ÿ˜Š..Bishop Moses Kulola

๐Ÿ”ฅ MJUE MAMA CATHERINE KUHLMAN ๐Ÿ”ฅMAMA WA MIUJIZALeo naomba nikuambie hadithi ya mwanamke mmoja... Mungu alimtumia sana. Ji...
07/08/2026

๐Ÿ”ฅ MJUE MAMA CATHERINE KUHLMAN ๐Ÿ”ฅ
MAMA WA MIUJIZA

Leo naomba nikuambie hadithi ya mwanamke mmoja...
Mungu alimtumia sana. Jina lake ni CATHERINE KUHLMAN.

Yeye alikuwa nani?
Alikuwa mwanamke wa kawaida tu. Lakini alimpenda Roho Mtakatifu sana.
Kila siku alikaa peke yake na Mungu. *Alilia. Aliomba ๐Ÿ˜ญ
Alisema: "Bwana, bila Wewe siwezi kufanya kitu."

*Mungu alifanya nini kupitia yeye?
Watu walikuja maelfu kwenye mikutano yake.
Waliolemaa wakasimama.
Waliokuwa wagonjwa wakapona.
Lakini yeye alisema kila wakati kwa machozi: *"SIKUWA MIMI. NI ROHO MTAKATIFU" ๐Ÿ˜ญ

SIRI YAKE ILIKUWA NINI?
Watu walimuuliza: "Mama, unafanyaje kupata nguvu hii?"
Akajibu kwa sauti iliyovunjika: ๐Ÿ˜ญ

Kuna gharama ya kulipa mpenzi wangu.
Ni kuomba usiku. Ni kutojipenda wewe.
Ni kumwambia Mungu: Nitumie mimi tu.
Roho Mtakatifu hatembea na mtu anayemchezea. Anatafuta mtu aliyejitoa kabisa. ๐Ÿ˜ญ

Neno lake linalogusa moyo:
Roho Mtakatifu si upepo. Si nguvu
Yeye ni Mtu. Na mimi nampenda sana.

LEO MUNGU ANAKUULIZA WEWE:
Je, uko tayari kulipa hiyo Gharama? ๐Ÿ˜ญ
Je, uko tayari kujitoa ili Mungu akutumie?

Mungu wa Catherine bado yuko hai leo.
Anaweza kukutumia na wewe pia.

K**a umeguswa andika: BWANA NITUMIE MIMI ๐Ÿ™


,

26/12/2025

Mauti haitatajwa kwako wala kwa familia yako mtaingia 2026 kwa ushindi mkubwa,Andika Amen

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uamsho wa Injili Afrika posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share