13/12/2022
🚨 17/10/2022 | USAJILI.
Idara ya huduma ya vijana inawakumbusha wazazi/walezi kwa vijana kujisajili katika vyama ndani ya idara hii muhimu.
Kuelekea mianzo ya mwaka mpya wa mafunzo ndani ya idara ya huduma za vijana kanisani Nazareth, Jumamosi tutakuwa tunafanya usajili kwa vyama vyote. (Wavumbuzi, Watafuta Njia, Mabalozi na Vijana wakubwa).