29/05/2026
Hii usipange kukosa na YESU akusaidie, kambi kubwa la vijana HUIMA kanda ya Pwani itakayokutanisha vijana kutoka majimbo matano (Pwani, Dar es salaam, Mashariki, Kilombero na Kusini)
Kambi itafanyikia Pugu Sekondari kuanzia tarehe 9.6.2026 hadi tarehe 11.6.2026.
Ada ni Tsh 15,000 to kwa ajili ya chakula , malazi na uendeshaji.
Mawasiliano zaidi.
0758 427 381
(Katibu -Kamati ya maandalizi)