06/11/2021
Shalom shalom wa Mungu........๐๐๐
Jioni ya Leo wakati unajiandaa kwa ajili ya ibada ya kesho jumapili nikukumbushe Jambo.....
Kuna wakati tumekuwa watu ambao tunapenda ibada Sana kuliko kitu chochote katika maisha yetu.Lakini tunapokuwa katika nyumba ya ibada hatupokei K**a inavyotakiwa.... Kwanini ????????
SOMA NAMI HADITHI HII๐๐๐๐
---------------------------------------------------------
โ๏ธSiku moja Yesu Alikuwa anatembea na Wanafunzi wake,Yesu alitambua kuwa wanakokwenta hakuna uwezekano wa kupata chakula na mpaka wafike watakuwa Wana njaa Sana.Alichokifanya akawaambia kila mmoja abebe jiwe kadri ya uwezo wake.Kiukweli walibeba lakini sio wote walilitumia agizo la Yesu kikamilifu wote walibeba lakini hawakubeba kwa kadri ya uwezo wao, wengine walibeba makubwa Sana mpaka wakashindwa ktembea, wengine makubwa kiasi na wengine kadogo la kuweka begani na wengine walibeba vidooogoo wakaweka kwenye mifuko ya kazi zao lakini ilimladi liitwe jiwe tu.Yesu aliuliza Tena wote mmebeba mawe wakaitikia NDIOOOOOOO๐๐
โ๏ธSafari ilipokuwa inaendelea wakafika mahali wakachoka Sana na wengine walilalamika na kumwambia Yesu anawatesa kubeba mawe watembee nayo safari na WALIOKUWA na WALIOKUWA na madogomadogo waliwacheka walibeba mawe makubwa.
โ๏ธYesu alipoona mti mkubwa wenye kivuli kizuri akawaambia KILA MMOJA AKAE APOMUZIKE LAKINI CHUKUENI MAWE YENU MYASHIKE MKONONI MAANA NITAOMBA YABADILIKE KUWA MKATE ILI TULE๐๐๐๐.wote wakaguna Mmmmmmh ๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ hasa waliobeba mawe madogo wakaanza kusema naomba nibalishe jiwe kwanza usiombe kwanza, ๐ YESU ASEMA HAPANA NISHATOA MUDA WAKUTOSHA HIVYO JIWE DOGO KAMKATE KADOGO NAJIWE KUBWA LIMKATE LIKUBWAAAAA๐๐ NA HAKUNA KUMGAWIA MWENZIO UKIBKIZA KULA BADAEE๐๐๐.
UJUMBE WANGU
๐นUNAPOINGIA KANISANI UNAFASI KUBWA YA KUCHUKUA HAZINA KUBWA KUTOKA MADHABAHUNI HASA WAKATI WA MAFUNDISHO.WATU WENGI TUMEKUWA NA TABIA YA KUCHAMBUA JUMBE AMBAZO MNAHU IRIWA NA WATUMISHI WENU.MTU ANAKWAMBIA UJUMBE HUU UNAMHUSU FULANI HILO NI TATIZO KABISA UKIONA MTU KAFIKA HUKO JUA HUYO ANASHIDA ROHONI.
UNAPOKUWA MADHABAHUNI PAKIA KABISA MAANA UNAHUBIRIWA KITAKUSAIDIA BADAE K**A SIO LEO BASI KITAKUSAIDIA HATA KESHO MAANA SAFARI BADO INAENDELE.
โ๏ธMUNGU AKUBARIKI SANA PIA NIKUTAKIE JUMAPILI NJEMA.
KWA MKAZI WA KAHAMA KARIBU KESHO TUPO IGOMELO MILANGO 15
KWA MAWASILIANO PIGA-:0743802169/0628202169.