26/07/2020
Kuna wakati changamoto unazopitia zimebeba baraka zako za ajabu sana, upo wakati unaweza pitia magumu na ukaona ni bora ufe au ukimbie changamoto , kumbuka tatizo halitatuliwi kwa kulikimbia Bali tatizo utatuliwa kwa kulikabli, ukiona majaribu yamekuzongaaa na ukahisi kuona Giza hakika ujue NURU inazuka na njia utaiona. Usipende sana kulaumu upitiapo shida nyingi , usipende kukimbia tatizo ukidhani umelitatua maana hata kule ukimbiliako unaweza kuta mengine 100 zaidi ya kule ulikotoka, jifunze kukaa chini, kuweka amani , kutafuta namna ya kusawazisha mahali ambapo hapajakaa sawa kwa kutumia hekima na nakwambia utaishi kwa amani na furaha sana. Kumbuka nimekwambia wewe ni ile NYOTA YA ASUBUHI na nimekwambia haya nkiwa na roho wa mungu na shetani akijaribu kunizuia ila hakuweza. Inuka na uangaze usipende kuyakimbia matatizo maana huo ni utoto wa kiakili na mpango wa shetani au adui kukuzuilia baraka zako.
The Great 01