Efatha Church Universals

Efatha Church Universals Efatha Church: Healing & Deliverance By The Blood Of JESUS CHRIST

With Great Joy we Announce the coming special event, The Annual Gathering 2024 at Precious Centre Kibaha.Join over 100,0...
05/08/2024

With Great Joy we Announce the coming special event, The Annual Gathering 2024 at Precious Centre Kibaha.

Join over 100,000 believers for 7 days to experience unforgettable encounter with God that will elevate your faith and ignite your spirit. Don’t miss this divine gathering!

Stay tuned for more updates

,

MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI.YESU KRISTO ni Yeye yule, Jana na Leo na hata Milele.Denmark, Chalinze, Mbagala na Congo mkae...
18/06/2024

MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI.

YESU KRISTO ni Yeye yule, Jana na Leo na hata Milele.

Denmark, Chalinze, Mbagala na Congo mkae tayari kwa kupokea Uponyaji na Ukombozi.

YESU Anawapenda.

Unapofanya jambo kwa watu, fanya pasipo kutarajia kitu chochote kutoka kwao© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira
08/04/2024

Unapofanya jambo kwa watu, fanya pasipo kutarajia kitu chochote kutoka kwao

© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira

"Ukielewa kukaa ndani yake YESU kamwe hutopungukiwa"© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira
03/04/2024

"Ukielewa kukaa ndani yake YESU kamwe hutopungukiwa"

© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira

BARAKA KUTOKA KWA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRAKamiliki chochote moyo wako unatamani maana kitakuwa cha kwako. ...
01/01/2024

BARAKA KUTOKA KWA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA

Kamiliki chochote moyo wako unatamani maana kitakuwa cha kwako. Tamka kile unachotaka kumiliki mbele za Bwana.

Anayelaaniwa, aliyekandamizwa au mgonjwa hawezi kumiliki bali yeye aliyeponywa, aliye mshindi na aliyebarikiwa ndiye anayeweza kumiliki. Hakuna mwenye mateso ataondoka nayo mahali hapa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth.

Hata k**a walikufungia ukiwa nyumbani, walichukua jina lako au chochote walichofanya na kukufunga kifungo cha kipepo au cha kichawi leo, moto wa Roho Mtakatifu ukakiteketeze hicho kifungo na minyororo ivunjike kwa jina la Yesu.

Msiba wa jana hauwezi kuwa msiba wa leo. Mateso, maumivu, ugonjwa, talaka na magomvi ya jana hayawezi kuwa ya leo; Nenda kashangilie Ushindi wako.

Ametupa chakula ili tuweze kutembea na tuweze kumiliki milki yetu. Chochote kilicho chema na kizuri kinatoka kwa juu. In...
01/01/2024

Ametupa chakula ili tuweze kutembea na tuweze kumiliki milki yetu.

Chochote kilicho chema na kizuri kinatoka kwa juu. Ingawa bado haujakishika lakini ni chakwako, k**a nyumba ni nzuri basi ni yako, k**a shamba ni zuri basi ni lako, k**a mume au mke ni mzuri basi ni wakwako, k**a mtoto ni mzuri basi ni wakwako, k**a nguo ni nzuri basi ni za kwako, k**a gari, fedha ni nzuri basi ni za kwako. Chochote kilicho kizuri basi ni stahiki yako.

Weka hili katika akili yako; Chochote kilicho kizuri ni chako kwa sababu Bwana wako Yesu alikilipia ili wewe uwe nacho.

Kuanzia leo k**a mtu akikujuia na kukuambia njoo ununue hii nyumba usimwambie sina hela bali mwambie sio sasa, maana ukisema sina hela itakuwa k**a ulivyosema.

Waefeso 1:3 “Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;”

Haujalaaniwa bali umebarikiwa ndani ya Kristo Yesu, Yeye alifanya mambo hayo kwa ajili yako. Chochote Yesu alichokifanya ni chako. Baraka yako imehakikishwa na kutiwa muhuri, zimekabidhiwa kwako, ni zako na huu utakuwa ni wakati wako wa kwenda kuchukua kilicho chako.

© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira

NENO LA MWAKA 2024Mwaka 2024 ni Mwaka wa KUMILIKI VYA KWAKOKumbu kumbu la Torati 1:21 “Tazama, Bwana, Mungu wako, ameiwe...
01/01/2024

NENO LA MWAKA 2024

Mwaka 2024 ni Mwaka wa KUMILIKI VYA KWAKO

Kumbu kumbu la Torati 1:21 “Tazama, Bwana, Mungu wako, ameiweka nchi mbele yako; haya panda, itamalaki, k**a Bwana, Mungu wa baba zako, alivyokuambia; usiogope wala usifadhaike.”

Kila kilicho chema ni sehemu ya fungu lako kwa sababu Kristo alikifia kwa hiyo ni chakwako.

Yakobo 1:17 “Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.”
Mungu hawezi kukataa wewe kuwa nacho kila kilicho chema, Mungu yupo kukuhakikishia kwamba utakuwa nacho. Mungu tayari amefanya maamuzi kwako kwamba ukapate kila kilicho chema.

Chochote kilicho chema unaweza kukitaja maana umepewa, chochote kilicho chema ambacho kimeinuliwa kinatoka juu (Mbinguni), unastahili kukipokea, chochote ambacho kipo chini ambacho hakijakidhi viwango na hakina thamani ni kitu cha duniani lakini chochote kilicho kizuri na kina thamani maana yake kinatoka juu ni pamoja na wewe kwa maana wewe ni wa thamani. Chanzo chako ni juu. Chochote chenye thamani kinatoka juu.

Kila zawadi njema na zawadi kamili inatoka juu

Siku ya kwanza Mungu alipokwenda kwa Waebrania na alipotaka kuwatoa alitaka kuwaonesha ni jinsi gani alivyo mzuri, aliwaandalia chakula na wakala; hivyo waliona ni jinsi gani Mungu alivyo mzuri. Tumeanza mwaka huu kwa tafrija ili muone ni jinsi gani Mungu ni mzuri, Yeye ametupa chakula ili kutuamuru sisi twende tukamiliki milki yetu.

Mwanangu huu ni wakati wako wa Kumiliki milki Yako.

© Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira

Mungu anakwenda kuzaa mambo mapya katika maisha yako. Utakwenda kung’aa Leo ni siku mpya ya kugeuka kwako. Ni siku ya ku...
01/01/2024

Mungu anakwenda kuzaa mambo mapya katika maisha yako. Utakwenda kung’aa

Leo ni siku mpya ya kugeuka kwako. Ni siku ya kung’aa kwako. Ni siku ambayo Mungu amekupa kutiisha adui zako.

Ibada yako ya mwaka huu haitakuwa ya kawaida, utakuja ibadani ukiwa umechoshwa na mambo lakini utarudi nyumbani ukiwa huru katika hayo mambo. Utakuja ibadani ukiwa na Imani unataka jambo fulani litokee kwako, hautakuja na kulia bali kwa wewe kutokea tu kanisani, adui ambaye alikuwa anakukandamiza atakuachia pasipo wewe kumwambia akuachie kwa sababu nguvu ya Roho Mtakatifu ambayo itafunika mahali hapa itasababisha mambo hayo kutokea kwako na ibilisi hatakuwa na jambo tena kwako.

Magonjwa ambayo madaktari wamekwambia kuwa unapaswa kufanyiwa upasuaji kamwe hautafanyiwa upasuaji kwa maana Bwana wangu ni tabibu mkuu atakufanyia upasuaji Yeye mwenyewe. Ili hayo yote yatokee kwako wewe unapaswa kuwa mwaminifu katika kile ambacho Mungu anachokisema, Mungu akisema fanya hiki kupitia watumishi wake wewe fanya usisubiri mpaka Yeye ashuke na kukwambia kitu ndipo ufanye kwa maana ametuweka hapa duniani sisi Watumishi wake ili aweze kusema na wewe hivyo unapaswa kutii.

Muda wa huzuni kwako UMEKWISHA.

From today God will not deprive you of what you desire, you will eat what your heart desires, this means that you will n...
01/01/2024

From today God will not deprive you of what you desire, you will eat what your heart desires, this means that you will not eat because that is what is there, no! But you will eat what your heart desires.

From today, any disease that comes from food or water or fruit will not be on you because the Lord will bless you. What you eat and drink will not cause illness or pain to you. God will heal the food you eat, the water you drink in the Name of the Lord.

As long as you have agreed to build the Lord's house, God will find a good house for you because you have made a good house for the Lord so that he can be respected in this world, so God is going to glorify your name and you will have a good home.

From today, the enemy will not be allowed to enter your house, witches will not even bewitch you nor the works of your hands and the devil will not touch it.

On this first day of the new year, take note to what I say because it will be yours.

© Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira

Address

Mwenge Near Efatha Bank, Adjacent To JWTZ Lugalo Or Suma JKT Lugalo Kilimo Kwanza
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Universals posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Efatha Church Universals:

Share