MotoUlao Teaching the Word of God and Healing the Diseases.

MotoUlao Teaching the Word of God and Healing the Diseases. MotoUlao Teaching the Word of God and Healing the Diseases

Permanently closed.
16/02/2026
23/02/2024

Nguvu ya baraka ya Mungu ipo kwenye Kinywa cha Bwana na kwako ipo kwenye Jina lako
Mwanzo 12:2.

JIANDAE KUVUKA
04/05/2022

JIANDAE KUVUKA

16/04/2022

SOMO=MAHUSIANO YAKO NA MUNGU.

*Hapa kuna ujumbe wa muhimu sana sana kwetu leo ambao ni vema ukausoma ili ujue jambo likupasalo kulifanya.
.Mathayo 6:5.
5-Tena msalipo, msiwe k**a wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.

*Hii inatufundisha kitu gani, Watu wengi wanawaza kua hapa tumezuiliwa kuomba kwa Sauti au kwa Nguvu ila tunatakiwa tuombe polepole tena tukiwa ndani alafu asikuone au kusikia mtu hapana, sio maana yake ngoja sasa tujifunze kwa kuona mfano mmoja mdogo hapa.
MFANO MR&MRS wakiwa wote mbele za watu wanaonekana wanapendana na kuheshimiana sana ila kwao wanalala vyumba tofauti.
*Sasa andiko hili linatuonyesha kwa kifupi kua Ukristo ni mahusiano yako na Mungu na sio vinginevyo, Maana unaweza kua kanisani unaomba sana na unaonekana upo shwari kabisa mbele ya macho ya watu ila nyumbani Yesu haupo naye.
*Unajua unapofanya jambo la ki Mungu ondoa kabisa zana ya watu au mtu kuona mfano unapoamua kutoa kitu kanisani kwa ajili ya Mungu huna haja ya mtu ajue kwani ukiruhusu mtu ajue nae akisema hongera ndio tayari ushapata thawabu yako hivyo Mungu hausiki tena hapo, jua kitu kimoja hakina thawabu mbili yaani ya watu na Mungu hapana.
*We hujawahi ona kuna watu hawawezi toa kitu kanisani mpka mchungaji aite watu mbele ili nini waonekane hao ndio waombao pembeni mwa njia na kupiga kelele ila kuna watu hata uiteje mbele hawaji ila utaona wametoa tena kingi hao ndio wanaojibiwa na Mungu mqana wameamua yeye aonaye sirini ndio pekee wakujua na kuwajibu.
*Ndugu usidanganywe na kujidanganya Mungu sio mwana siasa so ili upate chake lazima ufuate maelekezo yake na si vinginevyo jua UKRISTO NA KUTOA KUPO NDANI YA MAHUSIANO YAKO BINAFSI NA MUNGU NA SIO WATU.Barikiwa.
Kutoka 32:30.
30-Hata asubuhi yake Musa akawaambia watu, Mmetenda dhambi kuu; na sasa nitakwenda juu kwa BWANA, labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.
Huko nyumbani kwako wewe na Yesu mnalala chumba kimoja au kanisani ndio tunawaona mpo sawa?

*Katika maisha ya kawaida ni jambo la muhimu sana sana kujua kwamba wapo watu kabisa na viumbe wa kiroho wanaofuatilia  ...
13/12/2021

*Katika maisha ya kawaida ni jambo la muhimu sana sana kujua kwamba wapo watu kabisa na viumbe wa kiroho wanaofuatilia mwenendo wako na mwelekeo wako ili wazuie vitu fulani.
*Hivyo ni muhimu na lazima sana kua makini na mambo yako hasa unapoamini wewe kua kuna mahari unaelekea na lazima ufike huko.Mwanzo 37:1-8.
*Hapa tunaona hawa ndugu wameongeza kiwango cha chuki kwa Yusuph sio bure no wanajua anakoelekea Yusuph kwahiyo wameamsha chuki k**a ishara ya wazi ya wao kupinga safari hiyo.Yohana 11:43-44.
Wewe umeletwa duniani kwa Mpango na kusudi maalum hivyo wapo wanaojua na wanajipanga kila mda ili wakuzuie usifike pale unapokusudiwa, leo nakuombea wote wanaokupinga waanguke nawe uvuke kabisa.

13/12/2021

Mwanzo 24:63.
Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni;akainua macho yake,akaona,kuna ngamia wanakuja.
Tunamwona Isaka alipoenda kumtafakari Bwana ndipo alipoinua macho akamwona punda anakuja aliyembeba Rebeka ambaye ndio mke wake, Unapokua na mambo magumu sana katika maisha yako tafauta sehemu tulivu sana anza mtafakari Bwana Yesu na ukuu wake hakika ndani ya tafakari yako Mungu atayainua macho yako na kukuonyesha kile unachoitaji sio kikiwa mbali ila kimeamliwa kikujie hapo ulipo.

Address

Dar Es Salaam
KINONDONI

Telephone

+255754201111

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MotoUlao Teaching the Word of God and Healing the Diseases. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to MotoUlao Teaching the Word of God and Healing the Diseases.:

Share