Furahini Katika Bwana Ministry

Furahini Katika Bwana Ministry karibu tumwabudu Mungu na Tumsifu Mungu wetu.

13/10/2022

yako itaishia pale dharau zako zinapoanzia #
Watu wengine kuwapitiliza ktk vituo walivyotakiwa kushukia ni kujiweka ktk hatari kubwa huko mbeleni,siyo rahisi kumaliza safari na wale wote tulioanza nao!!

Aibu ya milele ni kuikana nguvu ya msalaba,aibu zingine zote hazidumu!!
30/04/2021

Aibu ya milele ni kuikana nguvu ya msalaba,aibu zingine zote hazidumu!!

28/11/2020

Kila maumivu unayoyapitia ktk wakati huu siku moja yatakuwa na maana k**a hutokata tamaa,ufahamu ya kwamba nyuma ya kila historia ya shujaa kuna machozi mengi!!

30/06/2020

Mungu hatafuti vyombo vya dhahabu wala vya fedha ili avitumie, badala yake anatumia chombo cha mfinyanzi!!

Address

Luguruni , Kwembe Container
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:30
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Furahini Katika Bwana Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Furahini Katika Bwana Ministry:

Share