Grace Of Christ Embassy

Grace Of Christ Embassy You are not who others say you are. You are who God says you are.

29/05/2026

DIVINE BREAKTHROUGH ENCOUNTER
Thursday, May 28, 10:10 – Saturday, May 30, 11:10
Google Meet joining info
Video call link: https://meet.google.com/nwo-qqsp-wvq
USIKOSE USIKU WA KUFUTA LAANA YA YERIKO

DIVINE BREAKTHROUGH ENCOUNTERThursday, May 28, 10:10 – Saturday, May 30, 11:10Google Meet joining infoVideo call link: h...
28/05/2026

DIVINE BREAKTHROUGH ENCOUNTER
Thursday, May 28, 10:10 – Saturday, May 30, 11:10
Google Meet joining info
Video call link: https://meet.google.com/nwo-qqsp-wvq

KARIBU TUJUMUIKE PAMOJA

DIVINE BREAKTHROUGH ENCOUNTER Karibu katika siku 3 za maombi ya kuvunja minyororo na kuachiliwa kwa nguvu za Mungu katik...
28/05/2026

DIVINE BREAKTHROUGH ENCOUNTER

Karibu katika siku 3 za maombi ya kuvunja minyororo na kuachiliwa kwa nguvu za Mungu katika maisha yako.

⛓️ “Every chain must break in the Presence of God.”

📅 Tarehe: 28 – 30 June 2026
🕙 Muda: Saa 22:00 EAT
📍 Online Services Via Google Meet (VENUS)

🎙️ Pamoja na: APOSTLE PAUL N UTTA

Hii si ibada ya kawaida — ni usiku wa maombi, uponyaji, urejesho, ukombozi na breakthrough ya kiungu.

Usikose kuungana nasi kuanzia usiku wa leo, kesho na jumamosi.

📞 Contact: +255 761 951 999 / +255 619 737 099





🎥 MEET OUR VIDEOGRAPHER FROM GCE MEDIA – ELISHA WILLIAMGrace Of Christ Embassy kwa furaha inamtambulisha mmoja wa wataal...
21/05/2026

🎥 MEET OUR VIDEOGRAPHER FROM GCE MEDIA – ELISHA WILLIAM

Grace Of Christ Embassy kwa furaha inamtambulisha mmoja wa wataalamu wa Media watakaohusika rasmi katika tukio kubwa la GCE GRAND OPENING 2026.

Kijana mwenye ubunifu, maono, na uwezo mkubwa wa kunasa matukio yenye kugusa maisha na kuacha historia kupitia lens ya kamera.

Kupitia huduma yake katika videography, kila wakati wa tukio hili utawekwa katika kumbukumbu ya kizazi kwa ubora, weledi, na ufunuo wa kipekee.

Jiunge nasi tunapoingia katika msimu mpya wa revival, impact, na udhihirisho wa utukufu wa Mungu.

📅 JUMAMOSI, 20 JUNI 2026
⏰ SAA 4:00 ASUBUHI (EAT)
📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki, Dar es Salaam, Tanzania

Njoo ushuhudie mazingira ya kipekee yatakayobadilisha maisha na hatima za wengi.

🔥 GCE GRAND OPENING
“WE’RE JUSTIFIED BY GRACE”





MEET OUR PRESENTER FROM GCE MEDIA - GIVEN MASHISHANGA Grace Of Christ Embassy kwa furaha inamtambulisha mmoja wa washehe...
19/05/2026

MEET OUR PRESENTER FROM GCE MEDIA - GIVEN MASHISHANGA

Grace Of Christ Embassy kwa furaha inamtambulisha mmoja wa washehereshaji wa tukio kubwa la GCE GRAND OPENING 2026.

Mwanamke Mwenye hekima, ubora, na neema — aliyejiandaa kuongoza tukio hili la kihistoria kwa weledi na maono makubwa.

Jiunge nasi tunapoingia katika msimu mpya wa revival, impact, na udhihirisho wa utukufu wa Mungu.

📅 JUMAMOSI, 20 JUNI 2026
⏰ SAA 4:00 ASUBUHI (EAT)
📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki, Dar es Salaam, Tanzania

Njoo ushuhudie mazingira ya kipekee yatakayobadilisha maisha na hatima za wengi.

🔥 GCE GRAND OPENING
“WE’RE JUSTIFIED BY GRACE”





GCE GRAND OPENING 🔥Kwa furaha kubwa tunamtambulisha rasmi  MINISTER LIZZIE 🎶 🔥 akiwa miongoni mwa viongozi wa Sifa na Ku...
15/05/2026

GCE GRAND OPENING 🔥

Kwa furaha kubwa tunamtambulisha rasmi MINISTER LIZZIE 🎶 🔥 akiwa miongoni mwa viongozi wa Sifa na Kuabudu watakaotuongoza katika uwepo wa Mungu siku hii ya kihistoria.

Jiandae kwa mazingira ya ibada, utukufu, na mguso wa kipekee wa Mungu kupitia huduma ya worship yenye neema na nguvu.

📅 Saturday, 20th June 2026
⏰ 10:00 HRS EAT
📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki, Kinondoni – Dar es Salaam, Tanzania

Karibu tuabudu pamoja katika GCE GRAND OPENING.

SAVE THE DATE ✍️
USIPANGE KUKOSA ❗

📞 +255 761 951 999 | +255 619 737 099
📧 [email protected]

KUELEKEA GCE GRAND OPENINGTunaendelea kumshukuru MUNGU kwa namna anavyoendelea kuwagusa watumishi wake kuungana pamoja n...
13/05/2026

KUELEKEA GCE GRAND OPENING

Tunaendelea kumshukuru MUNGU kwa namna anavyoendelea kuwagusa watumishi wake kuungana pamoja nasi katika siku hii muhimu na adhimu ya ibada ya ufunguzi wa huduma ya Grace Of Christ Embassy (GCE GRAND OPENING). 🙏🔥

Na katika hilo, tunafurahi kupokea uthibitisho wa uwepo wa mtumishi wa Mungu Pastor Emmanuel Simkonda ambaye atajumuika pamoja nasi.
Karibu uwe sehemu ya kusanyiko hili la kihistoria ambalo Mungu ameandaa kwa ajili ya watu wake.

📅 Jumamosi, 20 Juni 2026
⏰ Saa 10:00 Asubuhi (EAT)
📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki, Kinondoni – Dar es Salaam
🔥 GCE GRAND OPENING
“We’re Justified By Grace”

SAVE THE DATE ✍️
USIPANGE KUKOSA ❗




KUELEKEA GCE GRAND OPENING 2026 🔥Hakika tunamtukuza MUNGU BABA Kwa neema na kibali anachoendelea kutupatia kuelekea kwa ...
12/05/2026

KUELEKEA GCE GRAND OPENING 2026 🔥
Hakika tunamtukuza MUNGU BABA Kwa neema na kibali anachoendelea kutupatia kuelekea kwa kuruhusu tushiriki jambo hili na watumishi wake mbalimbali , miongoni mwa watumishi ambao MUNGU ameruhusu tuwe pamoja nao ni mtumishi wa MUNGU Pastor : Leonard Samuel.

Jiandae kwa siku ya kipekee yenye uwepo wa Mungu, mafundisho yenye uzima, maombi ya nguvu na uamsho wa kiroho utakaoacha alama katika maisha ya wengi.
Hii si ibada ya kawaida — ni mkusanyiko wa neema, maono na sauti za ufalme wa Mungu kwa ajili ya kizazi hiki. 🔥👑

📅 Saturday, 20th June 2026
⏰ 10:00 HRS EAT
📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki, Dar es Salaam – Tanzania
Karibu sana uwe sehemu ya historia hii ya kiroho pamoja nasi.





DIVINE VISITATION NIGHT 🔥Usikose usiku wa kipekee wa maombi, ibada na miujiza mbele za Mungu.✨ Worship🙏 Prayers💫 Healing...
11/05/2026

DIVINE VISITATION NIGHT 🔥

Usikose usiku wa kipekee wa maombi, ibada na miujiza mbele za Mungu.

✨ Worship
🙏 Prayers
💫 Healing
🔥 Miracles

📅 Ijumaa tarehe 15
🕙 Saa 4:00 Usiku (22:00HRS EAT)
📍 Boko Chama, karibu na Boko Primary – Dar es Salaam, Kinondoni

🎙 Host: Bishop Eric Mhagama
🎙 Guest: Apostle Paul N Utta

Njoo ukiwa na matarajio makubwa… Mungu bado anatenda miujiza!

📞 +255 619 737 099
📞 +255 656 624 011

🔥 SHE IS COMING TO GCE GRAND OPENING 2026 🔥Hakika tunamshukuru MUNGU kwa NEEMA na Pendo lake kuelekea GCE GRAND OPENING....
11/05/2026

🔥 SHE IS COMING TO GCE GRAND OPENING 2026 🔥

Hakika tunamshukuru MUNGU kwa NEEMA na Pendo lake kuelekea GCE GRAND OPENING. Hakika ni baraka kushiriki ibada hii pamoja na mtumishi wa MUNGU aliyebarikiwa kipawa cha uimbaji na sauti ya kipekee MINISTER TINA MAREGO.

👑 GCE GRAND OPENING 2026 👑

Hii haitakuwa kawaida.

Jiandae kushuhudia:
🔥 Ibada yenye utukufu
🔥 Neno lenye nguvu
🔥 Uamsho wa rohoni

📅 SATURDAY • 20TH JUNE 2026
🕙 10:00 HRS EAT
📍 NURU NJEMA GROUND — TEGETA NYUKI
KINONDONI, DAR ES SALAAM

HOSTED BY: 👑 GRACE OF CHRIST EMBASSY

“Bwana anakaa katikati ya sifa za watu wake.”
— Zaburi 22:3

🚨 SAVE THE DATE
🚨 INVITE YOUR PEOPLE
🚨 DON’T MISS THIS ENCOUNTER

Kuelekea GCE GRAND OPENING 2026 🔥Kwa neema ya Mungu, tunafurahi kuwa na mmoja wa wageni wetu waalikwa, mtumishi wa Mungu...
08/05/2026

Kuelekea GCE GRAND OPENING 2026 🔥

Kwa neema ya Mungu, tunafurahi kuwa na mmoja wa wageni wetu waalikwa, mtumishi wa Mungu Minister Herieth Michael, anayehudumu kwa uaminifu katika kazi ya Bwana na kutoka katika familia ya mtumishi wa Mungu Bishop Michael Peter Imani.

Hakika huu ni wakati wa neema, nguvu na ufunuo wa kipekee mbele za Mungu. Usikose kushiriki nasi katika ibada hii ya kihistoria yenye kugusa maisha ya wengi.

📍 Nuru Njema Ground, Tegeta Nyuki – Dar es Salaam
📅 Saturday, 20th June 2026
⏰ 10:00 HRS EAT




Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Grace Of Christ Embassy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Grace Of Christ Embassy:

Share