30/08/2026
πΊ
π TAG Mbande Christian Centre
π
August 30, 2026
π€ MNENAJI: Mch, Rev Kisinga Ernest
π UJUMBE: MJUE UNAYE MWISHIA NA KUMTUMIKIA
π Ayubu 22:21; Yohana 1:15β17, 29
MAISHA YA WOKOVU HUAMBATANA NA UTUMISHI/UTENDAJI
a)Ni muhimu kujua kwamba anayemwishia na kumtumikia ni Kristo, sio mwanadamu.
b)Kumjua Kristo/Mungu katika maisha yako na utumishi kuna Baraka, Amani na Nguvu.
π Viongozi, wachungaji, nk. ni watumishi tu tunaowalekeza watu kwa Mungu wao.
Mjue Kristo/Mungu, ishi na kumtumikia.
π 1 Nyakati 28:9
β¨ MATOKEO YA KUMJUA UNAYETUMIKIA NA KUMWISHIA
a)Maisha yako yatabadilishwa
π Luka 19:1β9
b)Utamtumikia Mungu kwa furaha bila kusukumwa
π 1 Nyakati 29:9
c)Utamwabudu Mungu katika Roho na kweli
(Ibada zitajaa uwepo wa Bwana)
π Ebrania 12:28β29
ILI KUMJUA MUNGU KIKAMILIFU KATIKA MAISHA YAKO
a)Kujitwika msalaba wake na kujikana mwenyewe
π Luka 9:23β24
b)Kuwa na moyo wa unyenyekevu, uliotayari kuongozwa na kupokea maonyo
π Isaya 66:2
βοΈ CHUKUA HATUA MUHIMU ZA KUMJUA MUNGU KATIKA MAISHA YAKO.