Nsyani E.J

Nsyani E.J ACCOUNTANT~CPA(T)~PREACHER~AUTHOR

29/06/2023

▪️Hatuokolewi kwa sababu tuna matendo mema,wala matendo mema sio surprise kwa Mungu sababu alituumbia hayo tangu mwanzo.

✍🏼WOKOVU NI KIPAWA,NI ZAWADI,TUNAOKOLEWA KWA NEEMA KWA KUKUBALI KAZI YA YESU MSALABANI.
☑️Matendo mema yana faida sana yakitokana na WOKOVU.

[8 Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9 wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.(Waefeso 2:8-9)]

.

✝️Jumapili hii,KKKT Mbagala.▪️SISI TUNAABUDU TUKIJUACHO.Kuna hasara kubwa sana kufanya Ibada kwa Mungu usiye mjua.[22 Ni...
01/06/2023

✝️Jumapili hii,KKKT Mbagala.

▪️SISI TUNAABUDU TUKIJUACHO.Kuna hasara kubwa sana kufanya Ibada kwa Mungu usiye mjua.

[22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Yohana 4:22]

👉🏽Uzima wa milele unadai UMJUE MUNGU NA YESU KRISTO ALIYEMTUMA.

[3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.(Yohana 17:3)]

.

God bless you Pastor Rev Prosper Kinyaha.

✳️TUMEZALIWA KWA MBEGU ISIYOHARIBIKA.[23 Kwa kuwa  ;  , bali kwa ile isiyoharibika;  , lidumulo hata milele.(1Petro 1:23...
28/01/2023

✳️TUMEZALIWA KWA MBEGU ISIYOHARIBIKA.

[23 Kwa kuwa ; , bali kwa ile isiyoharibika; , lidumulo hata milele.(1Petro 1:23)]

THE GRACE OF GOD PREVAILS.✝️

Address

Majohe, Ilala
Dar Es Salaam

Telephone

+255752114288

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nsyani E.J posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Nsyani E.J:

Share

Category