Mungu Pamoja Nasi

Mungu Pamoja Nasi 1.Ibada za maombi,2.Mafundisho ya Biblia 3.Ibada za kusifu na kuabudu 4.Mfungo na maombi 5.Kuwatembelea wahitaji ,yatima, wagonjwa, wazee, wafungwa nk.

ibada za kila siku , usiku Saa 3:00 online kupitia Google meet.

02/05/2026

30/04/2026

Ninapenda nichukue nafasi hii Kukukaribisha kwenye makusanyiko yetu ya watakatifu siku ya Jumamosi na Jumapili, Tabata Sanene,Dar Es Salaam.

Ni makusanyiko ambayo yatakupa muda wa kutosha kuomba na kujifunza Neno la Mungu kwa kina

Kwenye makusanyiko yetu utajifunza kuomba, kusoma maandiko, namna ya kuwafikia wengine kwa habari njema, utendaji wa Roho na utajifunza kuwahudumia wengine k**a vile utakavyohudumiwa.

Jumamosi: saa 9 Alasiri
Jumapili: Saa 4 Asubuhi

Karibu sana.

Kwa maelezo ya namna ya kufika wasiliana na,

- 0683 732 376
- ⁠0745 152 729
- 0755 738 339⁠

Umebarikiwa

Address

Mungupamojanasi9@gmail. Com
Dar Es Salaam
0000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mungu Pamoja Nasi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Mungu Pamoja Nasi:

Share