Kuludi Kwa Yesu Na Jina Jipya

Kuludi Kwa Yesu Na Jina Jipya Yesu Analudi Kwa jina jipya kua tayali mda unaofaa na usiofaa kwa kuludi kwake mwongozo!! ufunuo 3:12;13

29/05/2023

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–
*πŸ‘‰πŸΏNENO LA MAARIFA NA UZIMA SIKU YA LEO JUMATATU TAREHE 29 MEI 2023*
πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†

*🎯SOMO LA LEO - TUNAPOADHIMISHA PENTEKOSTEJIKUMBUSHE KWAMBA UPAKO WA ROHO MTAKATIFU NI BURE - UKIONA KUNA KUUZIANA UPAKO WA MAJI/MAFUTA N.K UJUE UMEPIGWA NA KITU KIZITO- AMKA ILINDE IMANI YAKO NA KANISA AMBALO LIMENUNULIWA KWA DAMU YA THAMANI🎯*

*(Matendo ya Mitume 8:14-20)*
[14]Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;
[15]ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
[16]kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.
[17]Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
[18]Hata Simoni alipoona ya kuwa watu wanapewa Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono ya mitume, akataka kuwapa fedha akisema,
[19]Nipeni na mimi uwezo huu, ili kila mtu nitakayemweka mikono yangu, apokee Roho Mtakatifu.
[20]Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe, kwa kuwa umedhania ya kuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali.

*✝TAFAKARI YA LEO✝*
_*Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. (Matendo ya Mitume 20:28)*_

*✝ANZA SIKU NA BWANA✝*
_Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure. (Mathayo 10:8)_
πŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•Ž

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–*πŸ‘‰πŸΏNENO LA UZIMA NA MAARIFA SIKU YA LEO JUMAPILI TAREHE 21 MEI 2023*πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†*🎯SOMO LA LEO - ADUI AKIKUDHULUMU KITU...
21/05/2023

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–
*πŸ‘‰πŸΏNENO LA UZIMA NA MAARIFA SIKU YA LEO JUMAPILI TAREHE 21 MEI 2023*
πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†

*🎯SOMO LA LEO - ADUI AKIKUDHULUMU KITU CHA THAMANI BASI USIMWACHE PAMBANA NAYE KUFA NA KUPONA ILI UMPOKONYE KILICHOBAKIA HATA K**A NI KIDOGO KWA JINA LA YESU KRISTO🎯*

*1.0 (1 Samweli 30:8,18-19)*
[8]Daudi akauliza kwa BWANA, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonya wote.
[18]Daudi akawapokonya wote waliokuwa wamechukuliwa na Waamaleki; naye Daudi akawaokoa wakeze wawili.
[19]Wala hawakupotewa na kitu, mdogo wala mkubwa, wana wala binti, nyara wala cho chote walichojitwalia hao; Daudi akavirudisha vyote.

*2.0 (Amosi 3:12)*
[12]Haya ndiyo asemayo BWANA; K**a vile mchungaji apokonyavyo kinywani mwa simba miguu miwili, au kipande cha sikio;.

*✝TAFAKARI YA LEO✝*
_*Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake. (Ayubu 29:17)*_

*✝ANZA SIKU NA BWANA✝*
_Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili; (Wakolosai 2:18)_
πŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•Ž

19/05/2023

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–
*πŸ‘‰πŸΏNENO LA UZIMA NA MAARIFA SIKU YA LEO IJUMAA TAREHE 19 MEI 2023*
πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†

*🎯SOMO LA LEO - FANYA SALA, DUA NA SADAKA ILI KAZI ZAKO/ CHOMBO CHAKO KITUMIKE KWA AJILI YA KAZI YA MUNGU HALAFU UPOKEE FAIDA MARA MIA🎯*
*(Luka 5:1-7)*
[1]Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti,
[2]akaona vyombo viwili vimekaa kando ya ziwa, lakini wavuvi wametoka, wanaosha nyavu zao.
[3]Akaingia katika chombo kimoja, *ndicho chake Simoni*, akamtaka akipeleke mbali kidogo na pwani. Akaketi, akawafundisha makutano ali chomboni.
[4]Hata alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki.
[5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
[6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
[7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, waje kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

*✝TAFAKARI YA LEO✝*
_*Kwa sababu hiyo huutolea wavu wake sadaka, na kulifukizia uvumba juya lake; kwa sababu kwa vitu vile fungu lake limenona, na chakula chake kimekuwa tele. (Habakuki 1:16)*_

*✝ANZA SIKU NA BWANA✝*
_Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa k**e, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele. (Mathayo 19:29)_
πŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•Ž

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–*πŸ‘‰πŸΏNENO LA UZIMA NA MAARIFA SIKU YA LEO ALHAMISI TAREHE 18 MEI 2023*πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†*🎯SOMO LA LEO - DUNIA YA LEO IMEPUNGUK...
18/05/2023

πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–πŸ“–
*πŸ‘‰πŸΏNENO LA UZIMA NA MAARIFA SIKU YA LEO ALHAMISI TAREHE 18 MEI 2023*
πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†πŸ”†

*🎯SOMO LA LEO - DUNIA YA LEO IMEPUNGUKIWA NA UAMINIFU- UWE MWAMINIFU HATA KWA MADOGO KWA KUWA HIYO NDIO SIRI YAKO YA KUCHOTA BARAKA NA KUFANIKIWA🎯*

*1.0 (Mithali 20:6)*
[6]Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?

*2.0 (Mithali 25:13,19)*
[13]K**a baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.
[19]Kumtumaini asiye mwaminifu wakati wa taabu Ni k**a jino lililovunjika, au mguu ulioteguka.

*✝TAFAKARI YA LEO✝*
_*Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia. (Luka 16:10)*_

*✝ANZA SIKU NA BWANA✝*
_Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele;. (Mithali 28:20)_
πŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•ŽπŸ•Ž

13/03/2023

Sasa ni nyakati mbaya Mungu anahitΓ ji waombaji adui nae anawafuta waombΓ ji ili awazimishe kanisa la Mungu tuombeΓ ne sΓ na kΓ ma mwili wa kristo

ufunuo  2:17Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya i...
21/11/2022

ufunuo 2:17

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.

jukumu la israel au kanisa ni kumuuliza Roho Mtakatifu juu ya ujilio wa jina jipya la Kristo

Bwana yesu asifiwe Mungu wa umoja atukuzwe!Natumini nyote ni wazima wa afya tele iliojaa Amani ya bwanaNajua umeshangaa ...
05/10/2022

Bwana yesu asifiwe
Mungu wa umoja atukuzwe!
Natumini nyote ni wazima wa afya tele iliojaa Amani ya bwana
Najua umeshangaa kusikia Mungu wa umoja atukuzwe yes upo sawa kujiulza ilo swali ila nipende kukufahamisha kwamba Yesu analudi na jina jipya la kuja kutunyakulia sisi waisrael/kanisa
je!! umewai fikilia kwamba yesu analo jina jipya nalo ni mungu wa umoja skia nikwambie kitu em tusome vitabu ambavyo vinatuongoza

Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.

Ufunuo wa Yohana 3:12

Yesu wakati anamfunulia maono yohana amenena kwamba analo jina jipya.
swali? Je tunalitambuaje hilo jina?

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.

Ufunuo wa Yohana 2:17
Mpokeaji ni nani? Mpokeaji ni mimi na wewe yaani kanisa/israel ya Rohoni
Swali? tunalipokeaje hilo jina!!

Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
Yohana 16:13
Anhaaa tunakumbushwa kwamba kulipata jina hili na kulijua ni lazima tuwe kwenye maombi ili tumuulize Roho wa kweli yaan Roho Mtakatifu basi sasa ni mda wa kumuulza roho wa kweli
Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
1 Wakorintho 2:10
basi kwa andiko hili nalo linatupa taswila ya na njia ya kujua kumuliza Roho Mtakatifu

kwa nini MUNGU WA UMOJA?

tunaendelea.....πŸ™

16/09/2022

kiwete humuimbia mungu na kusifu wewe mwenye bahati ya kupata kila kitu lakini humuimbii bwana mungu wako _jichunguze_

πŸ™πŸ™πŸ™
16/09/2022

πŸ™πŸ™πŸ™

16/09/2022

Address

Tegeta Wazo Hill
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 22:00
Sunday 02:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kuludi Kwa Yesu Na Jina Jipya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Kuludi Kwa Yesu Na Jina Jipya:

Share

Category