08/06/2025
Shalom Shalom wana wa Kristo aliye Hai,✊🏻
KARIBU katika IBADA kubwa ya Kusifu na kuabudu, ijulikanayo k**a THE WORSHIP UNION S5. iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana KKKT MBEZI BEACH. Ibada hii ni ya watu wote, Ambayo itafanyika Tarehe 15/6/25, siku ya Jumapili, Kuanzia Saa 10 Jioni Mpaka Saa 2 Usiku
Neno la Mwaka huu Linatoka katika Kitabu Cha Mambo ya Nyakati 4:10,
“Huyo Yabesi Akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibarikia kweli kweli, na kunizidishia hozi yangu, na mkono wako ungekuwa pamoja nami, nawe ungenilinda na uovu, ili usiwe kwa huzuni yangu! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Tunakukaribisha na Umkaribishe na Mwenzio ili Mje Pamoja Kumsifu Katika Hema La Sifa na Kuhudumiwa katika Kristo.