24/08/2024
Katika Ibada yetu ya Jumapili Utukufu wa Mungu ulishuka Hemani mwa BWANA kwa namna ya tofauti sana na tukapokea mahudumio ya Mbingu kupitia Roho wa Mungu Lakini sio hivyo tu ila pia tulipokea Mafundisho ya Neno la Mungu, Maombi na Maombezi ya Kufunguliwa kwa watu wote kupitia Baba yetu Mchungaji Christopher Robert!
Karibu tena uabudu nasi Jumapili hii ya tarehe 25 August ili uendelee kula na kunywa maji ya uzima kupitia Neno lake litakalokuhuisha na kukufanya kwa upya kabisa.
Tuna ibada mbili:
◇ Ibada ya kwanza: 2.30 — 3.30 asb
◇ Ibada ya pili: 4.30 asb — 7.30 mch
â—‡ Mahali: Goba, njia panda ya Kinzudi.
Walete wagonjwa wote na wenye shida mbalimbali, Mch. kiongozi atawaombea na Yesu atawaponya na kuwaweka huru kabisa!!
Tunakupenda na kukuombea, MUNGU akubariki sana!!! Usipange kukosa ibadani, kuna muujiza wako!
----------------------------