03/08/2022
NAFASI ZA KAZI
Kampuni ya Airtel Tanzania inapenda kuwatangazia vijana nafasi ya kazi ya kusambaza na kusajili laini za Airtel kwa mfumo wa alama za vidole.
SIFA ZA MWOMBAJI
1. Awe anajua kusoma na kuandika
2. Awe na umri miaka 18 na kuendelea
3. Aje na barua ya utambulisho wa serikali ya mtaa
WANAOTOKEA MIKOANI NAFASI ZIPO
OFISI ZIPO (KITUO) MBEZI MWISHO round about ya Goba
MAFUNZO YATATOLEWA KWA WATAKAOKIDHI VIGEZO..
MAWASILIANO ZAIDI: PIGA |SMS |WHATSAPP
0789858381