31/05/2026
2Timotheo1:5-6
"nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki,ambayo ilikaa kwanza katika bibi yako Loisi,na katika mama yako Eunike,nami nasadiki wewe nawe unayo. Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu,iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu."
Imani thabiti inaweza kurithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine k**a Timotheo alivyoirithi.
HEBU LEO TUMSHUKURU MUNGU KWA KUWA AMESIKIA MAOMBI NA TOBA YETU NA MALENGO YETU MAPYA KATIKA KUIKABILI NUSU NYINGINE YA 2026, Huku tukiamini tumeacha alama kwa vizazi vijavyo!
AMEN